Wazee wa betting nimeamua kuwasaidia, siogopi mtu

Wazee wa betting nimeamua kuwasaidia, siogopi mtu

Hilo li signature hapo chini ndio limeharibu utamu wote.
 
Betting hata mimi siiamini kwa kweli. Haiwezekani iweke 100 halafu uje upate millions of money! Kumbuka ni watu wengi wanacheza. Na hata wakikosea hizo mia mia zinatakiwa ziwe ngapi uje upate milion!?
Kuna kitu hapa. Hakuna mtu anafanya biashara kwa hasara.
 
Betting hata mimi siiamini kwa kweli. Haiwezekani iweke 100 halafu uje upate millions of money! Kumbuka ni watu wengi wanacheza. Na hata wakikosea hizo mia mia zinatakiwa ziwe ngapi uje upate milion!?
Kuna kitu hapa. Hakuna mtu anafanya biashara kwa hasara.
Mwamba uko deep sana Big up.



MAGUFULI4LIFE.
 
Anachomaanisha nadhani ni ile Wao wanaochezesha hii michezo wanaona mapema kabisa kwamba timu fulani imepewa ushindi kwenye mikeka mingi so wanakuwa na uwezo wa kupanga matokeo ili wasipate hasara.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Wewe Nimekuelewa kuliko mtoa Uzi
 
Back
Top Bottom