Wazee wa CCM wataka wajumbe waridhie Rais Samia kugombea 2025

Wazee wa CCM wataka wajumbe waridhie Rais Samia kugombea 2025

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Mzee Yusuph Makamba alipewa nafasi ya kuzungumza kwenye mkutano huo alisema kama kweli wote waliosimama na kumsifia Dkt. Samia Suluhu wameongea wakimaanisha basi wasimame na kupitisha azimio la kuwa Samia Suluhu ndiye atakua mgombea pekee kwa mwaka 2025.

"Naona kila mmoja akisimama hapa anasema 2025 ni Dkt. Samia. Sasa kama sio wanafki tupitishe maazimio leo hapa hapa kuwa hakuna mgombea mwengine CCM ni Dk. Samia, hapo hata wale wanaoumezea mate urais wataacha.” Mzee Makamba.

Aidha Mzee Makamba akaongelewa suala la watu Kumsifia Rais na Kusema anaupiga mwingi
"Kama mnataka mumchague mtu lazima mumsifu watu wajue ana sifa, kwahiyo hata wale wanaopinga tukisema umeupiga mwingi ni nahau, nina shemeji yangu pale ana tatizo na kuupiga mwingi, kuupiga mwingi maana yake ni mtu aliyefanya kazi nyingi na kubwa."Mzee Makamba.

"Wapinzani hoja zao ni mbili, katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mama yangu kule kijijni hawezi kushiba katiba, kwanza ukimwambia kuhusu katiba atakujibu ni kitu gani" Yusuf Makamba, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM

1670508404755.png
 
Kazi kweli kweli wajukuu zetu watatupiga middle finger wakija ona haya.
 
Wazee wamesimama na mzee mwenzao.

Ila naamini 2025 vijana wa CCM hawatatuangusha.
 
Makamba:We mwandishi una Elimu gani?

Mwandishi?Nina Elimu ya chuo

Makamba:Hicho chuo alikijenga baba yako?
 
Unadhani kwann wajumbe walipuuza HOJA ya Mzee KAMBA kupitisha azimio la mgombea moja pekee wa kupita bila kushindanishwa?
 
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Mzee Yusuph Makamba alipewa nafasi ya kuzungumza kwenye mkutano huo alisema kama kweli wote waliosimama na kumsifia Dkt. Samia Suluhu wameongea wakimaanisha basi wasimame na kupitisha azimio la kuwa Samia Suluhu ndiye atakua mgombea pekee kwa mwaka 2025.

"Naona kila mmoja akisimama hapa anasema 2025 ni Dkt. Samia. Sasa kama sio wanafki tupitishe maazimio leo hapa hapa kuwa hakuna mgombea mwengine CCM ni Dk. Samia, hapo hata wale wanaoumezea mate urais wataacha.” Mzee Makamba.

Aidha Mzee Makamba akaongelewa suala la watu Kumsifia Rais na Kusema anaupiga mwingi
"Kama mnataka mumchague mtu lazima mumsifu watu wajue ana sifa, kwahiyo hata wale wanaopinga tukisema umeupiga mwingi ni nahau, nina shemeji yangu pale ana tatizo na kuupiga mwingi, kuupiga mwingi maana yake ni mtu aliyefanya kazi nyingi na kubwa."Mzee Makamba.

"Wapinzani hoja zao ni mbili, katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mama yangu kule kijijni hawezi kushiba katiba, kwanza ukimwambia kuhusu katiba atakujibu ni kitu gani" Yusuf Makamba, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM

View attachment 2439706
wazee kama hawa ndo wanaochelewesha nchi kwenda mbele.tuwakatae kwa nguvu zote ni vibaraka hawa walioiba sana serikali wakati wako madarakani.
 
1. Watu wazuri hawafi.
2. Wazee tulisema " sasa basi"

Huyu mzee muuaji.

Anaua na nchii. Alaaniwe yeye na kizazi chake
 
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Mzee Yusuph Makamba alipewa nafasi ya kuzungumza kwenye mkutano huo alisema kama kweli wote waliosimama na kumsifia Dkt. Samia Suluhu wameongea wakimaanisha basi wasimame na kupitisha azimio la kuwa Samia Suluhu ndiye atakua mgombea pekee kwa mwaka 2025.

"Naona kila mmoja akisimama hapa anasema 2025 ni Dkt. Samia. Sasa kama sio wanafki tupitishe maazimio leo hapa hapa kuwa hakuna mgombea mwengine CCM ni Dk. Samia, hapo hata wale wanaoumezea mate urais wataacha.” Mzee Makamba.

Aidha Mzee Makamba akaongelewa suala la watu Kumsifia Rais na Kusema anaupiga mwingi
"Kama mnataka mumchague mtu lazima mumsifu watu wajue ana sifa, kwahiyo hata wale wanaopinga tukisema umeupiga mwingi ni nahau, nina shemeji yangu pale ana tatizo na kuupiga mwingi, kuupiga mwingi maana yake ni mtu aliyefanya kazi nyingi na kubwa."Mzee Makamba.

"Wapinzani hoja zao ni mbili, katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mama yangu kule kijijni hawezi kushiba katiba, kwanza ukimwambia kuhusu katiba atakujibu ni kitu gani" Yusuf Makamba, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM

View attachment 2439706
Rubbish
 
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM, Mzee Yusuph Makamba alipewa nafasi ya kuzungumza kwenye mkutano huo alisema kama kweli wote waliosimama na kumsifia Dkt. Samia Suluhu wameongea wakimaanisha basi wasimame na kupitisha azimio la kuwa Samia Suluhu ndiye atakua mgombea pekee kwa mwaka 2025.

"Naona kila mmoja akisimama hapa anasema 2025 ni Dkt. Samia. Sasa kama sio wanafki tupitishe maazimio leo hapa hapa kuwa hakuna mgombea mwengine CCM ni Dk. Samia, hapo hata wale wanaoumezea mate urais wataacha.” Mzee Makamba.

Aidha Mzee Makamba akaongelewa suala la watu Kumsifia Rais na Kusema anaupiga mwingi
"Kama mnataka mumchague mtu lazima mumsifu watu wajue ana sifa, kwahiyo hata wale wanaopinga tukisema umeupiga mwingi ni nahau, nina shemeji yangu pale ana tatizo na kuupiga mwingi, kuupiga mwingi maana yake ni mtu aliyefanya kazi nyingi na kubwa."Mzee Makamba.

"Wapinzani hoja zao ni mbili, katiba mpya na tume huru ya uchaguzi, mama yangu kule kijijni hawezi kushiba katiba, kwanza ukimwambia kuhusu katiba atakujibu ni kitu gani" Yusuf Makamba, Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM

View attachment 2439706
MZEE asiye na BUSARA anatamka Eti WATU wa uri HAWAFI
 
Back
Top Bottom