Wazee wa First Car: Nunua Mazda Verisa chap chap kabla TRA hawajapandisha kodi!

Wazee wa First Car: Nunua Mazda Verisa chap chap kabla TRA hawajapandisha kodi!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
TRA Tanzania wametumwa kodi na sisi tunataka kuendesha vyuma kutoka Japan sio kwa Sossi Magari.

Sasa kuna tabia ya hawa ndugu zetu kupandisha kodi ya gari maradufu wakiona uhitaji unakua mkubwa, nina mifano mingi ila naomba niwape miwili.

Wa Kwanza

Mwaka jana (2023) nilikua nasaidiana na rafiki yangu wa karibu kutafuta gari, na macho yetu yatatua kwenye Honda Fit Hybrid 2013-2016.

Iligusa kila angle tunayotaka, kuanzia bei ya Japan hadi TRA. Kwa TRA kodi ilikua Mil 5 hadi 6.8 ndio ilikua kubwa.

Sasa hivi kodi Mil 10.

Wa Pili

Mwaka jana pia tulikua katika kutafuta Mazda Atenza 2015 kutoka JP. Ushuru tulilipa Mil 7.2 hivi, sasa hivi same car ni Mil 10.4

Sikumbuki vizuri data za CX5 kwa mwaka jana, ila nayo sasa hivi ushuru umeshoot kama rocket.

Sasa kuna hii Mazda Verisa, bado haijashika moto mtaani lakini waagizaji wenye showroom wameanza kuzileta kwa kasi. Kama upo kwenye mchakato wa kutafuta gari dogo, iweke na hii kwenye mtazamio.
IMG_0045.jpeg

CIF yake ni ya kawaida ni kuanzia $2,800 hadi $3,500 unapata gari safi. Na ushuru pia unacheza kwenye Mil 6 hadi 7 kasoro chache.
IMG_0046.jpeg

Ni moja ya gari nzuri sana, inapambana na Demio au kwa Toyota wakina IST na Porte.
IMG_0047.jpeg


Kwa engine ya cc 1500 na fuel consumption ya 16km/L au zaidi average nadhani ni moja ya gari nzuri kwa kuanzia, ambayo unaweza kuagiza mwenyewe kwa chini ya Mil 15 hivi.
 
TRA Tanzania wametumwa kodi na sisi tunataka kuendesha vyuma kutoka Japan sio kwa Sossi Magari.

Sasa kuna tabia ya hawa ndugu zetu kupandisha kodi ya gari maradufu wakiona uhitaji unakua mkubwa, nina mifano mingi ila naomba niwape miwili.

Wa Kwanza

Mwaka jana (2023) nilikua nasaidiana na rafiki yangu wa karibu kutafuta gari, na macho yetu yatatua kwenye Honda Fit Hybrid 2013-2016.

Iligusa kila angle tunayotaka, kuanzia bei ya Japan hadi TRA. Kwa TRA kodi ilikua Mil 5 hadi 6.8 ndio ilikua kubwa.

Sasa hivi kodi Mil 10.

Wa Pili

Mwaka jana pia tulikua katika kutafuta Mazda Atenza 2015 kutoka JP. Ushuru tulilipa Mil 7.2 hivi, sasa hivi same car ni Mil 10.4

Sikumbuki vizuri data za CX5 kwa mwaka jana, ila nayo sasa hivi ushuru umeshoot kama rocket.

Sasa kuna hii Mazda Verisa, bado haijashika moto mtaani lakini waagizaji wenye showroom wameanza kuzileta kwa kasi. Kama upo kwenye mchakato wa kutafuta gari dogo, iweke na hii kwenye mtazamio.
View attachment 3110390
CIF yake ni ya kawaida ni kuanzia $2,800 hadi $3,500 unapata gari safi. Na ushuru pia unacheza kwenye Mil 6 hadi 7 kasoro chache.
View attachment 3110391
Ni moja ya gari nzuri sana, inapambana na Demio au kwa Toyota wakina IST na Porte.View attachment 3110392

Kwa engine ya cc 1500 na fuel consumption ya 16km/L au zaidi average nadhani ni moja ya gari nzuri kwa kuanzia, ambayo unaweza kuagiza mwenyewe kwa chini ya Mil 15 hivi.
Vigari vya mademu!
 
pia

mazda versa ni cheap , sana hasa upande wa mentanace !!compare to IST na VITZ
Tabu ya hivi vigari kutoka kampuni tofauti na Toyota hasa kwa nchi yetu ni linapo kuja swala la spea utaambiwa zipo dar nyingi tuu, wakati mimi nipo tunduru huku kwa hiyo nitalazimika kupaki ili kuisubiri spea itoke dar.
 
Tabu ya hivi vigari kutoka kampuni tofauti na Toyota hasa kwa nchi yetu ni linapo kuja swala la spea utaambiwa zipo dar nyingi tuu, wakati mimi nipo tunduru huku kwa hiyo nitalazimika kupaki ili kuisubiri spea itoke dar.
Kama gari umesubiri kutoka Dar kwa nini hiyo parts usiagize daslm tu ingekua hayo magari yanatokea Tunduru ningekuelewa..
 
Back
Top Bottom