Wazee wa FOREX mtanielewa vyema

Kama ana trading strategy, trading system au trading plan niite mbwa!!
 
Hongera sana mkuu kwa kumake profit hiyo. Mimi bado najikongoja na mitaji midogo midogo ambayo ni rahisi sana kuchoma ila ninaamini sana forex is the real deal.
 
Hiili group nalipenda sana. Acha ni show love [emoji7][emoji7]

 
Kama ana trading strategy, trading system au trading plan niite mbwa!!
Kwa akaunti ya 10,000 USD kutrade lot ya 5.0 ni kubaka akaunti (gambling). Very poor risk management hata kama utasclap inaweza kuku cost in future. TUSITAKE UTAJIRI WA HARAKA HIVYO. WENGI TUNAUNGUZA AKAUNTI ZETU ZA FOREX KWA SABABU YA GREEDY (KUTAKA KUPIGA PESA NDEFU KWA MUDA MFUPI WAKATI VIAKAUNTI VYETU VYA FOREX NI KIDUUCHU). SIJUL SL YAKE ALIWEKA NGAPI?
 

Nijikute!
 

Can you attach any proof?
 
Traders wenzangu ni kweli templer ana michezo ya kucheza na chart ili akutoe sokoni?
 
Mpaka leo unamtumia templer? Uko serious kweli? Au umepagawa na mpesa?
Kwani ana manipulate pips ngap zinazid 10? Aya kamishem ya kutumia bank transfer kwa mabroker wengine vip?, muache kumlaumu broker nae anafamilia bana anawafanyakazi atawalipaje? Na si kwamba anamove market no but anacheza na spread zake ambazo wide yake hairuhusiwi kuzid 20pip kwa baadh ya pair, cha msingi kwanza jua manipulation za soko husika si unabuy au kusel ovyo tu 1.chek volatility ,price movement, physicology of candles, phase(either give liquidity or gaining liquidity, market trap, time/season

Wengi wanamsingizia broker ila soko ndo lenye kuingiza watu chaka
 
Stl 10pips
 
Once again eurjpy buysss 14,000$ banked within 2hrs
 
Congrats, kuna wanigeria wanaitandika forex kama ni ya bibi yao na nyanya yao.
Kweli mkuu.tatizo sisi watanzania ni wachoyo...mtu akishajua kitu kumfundisha mwenzake ni taabu kweli.....naona huko kwenye magroup ya whatsap, unamuuliza mtu jamba fulani..aisee anakujibu kwa nyodo kama vile mbingu na ardhi ni vyake..
 
Kweli mkuu.tatizo sisi watanzania ni wachoyo...mtu akishajua kitu kumfundisha mwenzake ni taabu kweli.....naona huko kwenye magroup ya whatsap, unamuuliza mtu jamba fulani..aisee anakujibu kwa nyodo kama vile mbingu na ardhi ni vyake..
Jiunge group hapo juu huta jutia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…