Pengine ulikuwa hujui kuhusu broker TEMPLERFX, ngoja nikujuze
[emoji959]Makao makuu yake yapo Uingereza(United Kingdom)
[emoji959]Ni broker ambaye ana miaka 15 Katika biashara hii ya Forex. Alianza kufanya kazi mwaka 2004.
[emoji959]Miaka mitatu badae akasajiliwa na kutambulika na Taasisi zinazosimamia biashara ya forex duniani.
[emoji959]Kitu kimoja broker huyu anapendwa na watu wengi hasa Tanzania Ni hii njia yake ya kudeposit na kuwithdraw kupitia M-PESA, Na unapata hela yako ndani ya dakika moja tu,, kitu ambacho Ni tofauti kwa broker wengine ambao wanatumia M-PESA, unatoa saizi hela unaipata baada ya masaa 12 nakuendelea kitendo hicho huwa watu hawapendi,.
[emoji959]Pia minimum deposit kwa huyu broker huwa inambeba Sana , Ni kuanzia $1(TSH 2,300) na kuendelea , tofauti na broker wengine minimum deposit zao inakuwa kuanzia $100 (TSH 230,000) kwenda juu.
so hata ukiwa na elfu 30 unaweza kudeposit templer na ukaanza kutrade..
[emoji959]Hana commission Katika trades utakazoingia (zero commission)
[emoji959]Kwa mtu ambaye Bado hujaiva vizuri Katika forex na unahofu ya kupoteza hela yako[emoji16] Templer anakupa nafasi ya kufungua cent account ambayo ukideposit $1 kupitia M-PESA , kwenywe trading platform itatokea $100 (cent)
Utaweza kutrade na ukipata faida utawithdraw. Maelezo Zaidi unaweza kunichek inbox.
[emoji959]Ni broker pekee ambaye ili aweze kuverify account yako itabidi uwe na vitu vifuatavyo
*Email
*Namba ya simu (Vodacom)
*Kitambulisho kimojawapo Kati ya (Lessen ya udreva,kura,uraia au passport ya kusafiria)
Ukishamtumia ataverify haraka account yako na utaanza kutrade..
Tofauti na broker wengine wanataka uanze Kwanza kudeposit ndipo wataverify account yako[emoji706]
[emoji959]Kama Bado hujafungua account unaweza kufungua kupitia link hii
https://secure.templerfx.com/main?rid=109740