Wazee wa FOREX mtanielewa vyema

Wazee wa FOREX mtanielewa vyema

Habari zenu natafuta mentor wa forex mm nipo Tanzania institute of accountancy singida
 
Habari zenu natafuta mentor wa forex mm nipo Tanzania institute of accountancy singida

Buree
 
Wadau kama kuna anaetumia Pure Price Action naomba anicheki PM nimuulize baadh ya vitu
 
Umetisha mzee baba ..ukiwa siriyaz kwenye forex unatoboa fresh tu
 
Pengine ulikuwa hujui kuhusu broker TEMPLERFX, ngoja nikujuze

[emoji959]Makao makuu yake yapo Uingereza(United Kingdom)

[emoji959]Ni broker ambaye ana miaka 15 Katika biashara hii ya Forex. Alianza kufanya kazi mwaka 2004.
[emoji959]Miaka mitatu badae akasajiliwa na kutambulika na Taasisi zinazosimamia biashara ya forex duniani.

[emoji959]Kitu kimoja broker huyu anapendwa na watu wengi hasa Tanzania Ni hii njia yake ya kudeposit na kuwithdraw kupitia M-PESA, Na unapata hela yako ndani ya dakika moja tu,, kitu ambacho Ni tofauti kwa broker wengine ambao wanatumia M-PESA, unatoa saizi hela unaipata baada ya masaa 12 nakuendelea kitendo hicho huwa watu hawapendi,.

[emoji959]Pia minimum deposit kwa huyu broker huwa inambeba Sana , Ni kuanzia $1(TSH 2,300) na kuendelea , tofauti na broker wengine minimum deposit zao inakuwa kuanzia $100 (TSH 230,000) kwenda juu.
so hata ukiwa na elfu 30 unaweza kudeposit templer na ukaanza kutrade..

[emoji959]Hana commission Katika trades utakazoingia (zero commission)

[emoji959]Kwa mtu ambaye Bado hujaiva vizuri Katika forex na unahofu ya kupoteza hela yako[emoji16] Templer anakupa nafasi ya kufungua cent account ambayo ukideposit $1 kupitia M-PESA , kwenywe trading platform itatokea $100 (cent)
Utaweza kutrade na ukipata faida utawithdraw. Maelezo Zaidi unaweza kunichek inbox.

[emoji959]Ni broker pekee ambaye ili aweze kuverify account yako itabidi uwe na vitu vifuatavyo
*Email
*Namba ya simu (Vodacom)
*Kitambulisho kimojawapo Kati ya (Lessen ya udreva,kura,uraia au passport ya kusafiria)
Ukishamtumia ataverify haraka account yako na utaanza kutrade..
Tofauti na broker wengine wanataka uanze Kwanza kudeposit ndipo wataverify account yako[emoji706]

[emoji959]Kama Bado hujafungua account unaweza kufungua kupitia link hii https://secure.templerfx.com/main?rid=109740
nmeipenda hii
 
Kiongoz Linko Nimejaribu kuingia hyo link naona inanikatalia so naomba nikupe namba yangu uniunganishe na hilo group..natanguliza shukurani +255 744 624 781

Asante
 
Kiongoz Linko Nimejaribu kuingia hyo link naona inanikatalia so naomba nikupe namba yangu uniunganishe na hilo group..natanguliza shukurani +255 744 624 781

Asante
 
Kiongoz Linko Nimejaribu kuingia hyo link naona inanikatalia so naomba nikupe namba yangu uniunganishe na hilo group..natanguliza shukurani +255 744 624 781

Asante
Nime jaribu kuku add naona nime shindwaa ila jaribuu hiyoo

 
Wakuu nataka nianze kutrade volatility index 75 naombeni msaada wenu Na ushauri
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer https://secure.templerfx.com/main?rid=107946
 
wazee wa forex munajua jinsi inavyonoga kwenye skrini pana..

nauza hii skrini panaa smart slimm monitor ya hp inch 27..

bei 370k pekee..

unaunganisha na Hdmi au Vga whatever..
wasap 0752992783
 
Back
Top Bottom