Unajua kwasababu gani unaona mtaji ni changamoto, sababu kichwani mwako tayari umenasa na picha ya taasisi au biashara iliyokamilika. Unaona ofisi ya kisasa, wafanyakazi 50 unawalipa zaidi ya milioni kadhaa kwa mwezi. Ndio maana picha ni ya gharama sana kwako.
But fikiria kwa sura hii, ni vipi kama hicho unachotakiwa kukifanya unatakiwa ukianze hata kesho utaanzaje kwa namna yoyote.....ndio hauna mtaji so what, unaanzaje hiyo kesho... Yaani umeamka asubuhi paaap unatakiwa kuanza hicho unachotamani kufanya....
Kwa mfano, jamaa huyu anaoparate kwa mashine hiyo... But hii biashara ipo tokea hata haya maji ya chupa hayajaanza kuonekana sokoni enzi za mwaibula sijui makamba.
Jamaa wanauza maji kwenye ndoo shillingi 50. Au uongo?!
So ukisema mtaji me nitasema hauna mbinu za kuanza mtaji ni sababu ila sio kikwazo katika kuanza....