Sivan
JF-Expert Member
- Jul 17, 2020
- 923
- 1,228
Hoja yako nini hasa.We jamaa mbishi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja yako nini hasa.We jamaa mbishi sana.
Elezea kidogo Mkuu.
Kuna hizi chupa za wanamazoezi, naona watu wa maofisini wanazinunua sana, na vijana pia wanaziweka kwenye vibegi pembeni.Sasa mtu uliye mizunguko town unapataje chupa ili ukatiliwe maji.
Kwa model hii watapoteza wateja 90%
Mkuu,hii model ina uzuri mmoja ambao wewe hujaiona,Wao wanaweza kuwa na chupa za kuuza hapo hapo.Ukitaka Chupa unanunua hapo hapo.So Wateja hawawezi kupoteaSasa mtu uliye mizunguko town unapataje chupa ili ukatiliwe maji.
Kwa model hii watapoteza wateja 90%
Hii mawasiliano stand?Sijajua wameanza lini hii kampuni ila nimeona ipo sana maeneo ya stand. Yaani wao wanauza maji hawauzi chupa. Unakwenda na kigudulia chako aidha pia chupa ya maji ya kawaida then wanakukingia.
Lita moja ni shillingi mia mbili (200). Naona wanapata sana wateja especially wapiga debe na wafanyabiashara ndogo ndogo maeneo ya stand.
View attachment 1525767View attachment 1525768