Wazee wa gambe, ili ulewe kabisa unakua umetumia pesa kiasi gani?

Wazee wa gambe, ili ulewe kabisa unakua umetumia pesa kiasi gani?

Teslarati

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2019
Posts
2,621
Reaction score
10,466
Leo nimeamka nikajiuliza hili swali. Maisha hayako fair kabisa, kuna mwingine buku 5 tu tayari analewa, na kabla ya kuzuia viroba buku tu ilitosha kufanya mtu apate starehe hio.

Kwa upande wangu ukiniona nimelewa ujue imekatika kuanzia laki 3, na hapo nikiwa sina kampan kabisa. Ikitokea nipo chimbo wanalouza vinywaji kwa bei za VIP inaweza fika hata 500k+

Na huwa situmii bia kabisa, ni liquors na liqeurs tu.

Je, wewe hadi ulewe unakua umezika kiasi gani?
 
Leo nimeamka nikajiuliza hili swali. Maisha hayako fair kabisa, kuna mwingine buku 5 tu tayari analewa, na kabla ya kuzuia viroba buku tu ilitosha kufanya mtu apate starehe hio.

Kwa upande wangu ukiniona nimelewa ujue imekatika kuanzia laki 3, na hapo nikiwa sina kampan kabisa. Ikitokea nipo chimbo wanalouza vinywaji kwa bei za VIP inaweza fika hata 500k+

Na huwa situmii bia kabisa, ni liquors na liqeurs tu.

Je wewe hadi ulewe unakua umezika kiasi gani?
Uko bandarini,tra,au?
 
Sijawahi kunywa nikalewa

Hizo ndio sigusi kabisa labda nichanganye na nyagi pori😀
Ile picha sijui iko wp, uliipost humu nakumbuka, ulikua sehem kama park hv pemben kuna mwanamke, labda yeye ndo alikua anatumia hizo
 
10,000/=.Toka nimeanza kunywa konyagi akili zimeongezeka vibaya mnooo.
Nyagi niliacha kitambo sabab ni rahisi kuzichakachua, nilishuhudia mwamba anatapika dam baada ya pafu kali la nyagi mwaka 2016 toka hapo situmii kabisa hizi local spirit, bora nilale na upwiru wa gambe
 
Back
Top Bottom