Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Leo nimeamka nikajiuliza hili swali. Maisha hayako fair kabisa, kuna mwingine buku 5 tu tayari analewa, na kabla ya kuzuia viroba buku tu ilitosha kufanya mtu apate starehe hio.
Kwa upande wangu ukiniona nimelewa ujue imekatika kuanzia laki 3, na hapo nikiwa sina kampan kabisa. Ikitokea nipo chimbo wanalouza vinywaji kwa bei za VIP inaweza fika hata 500k+
Na huwa situmii bia kabisa, ni liquors na liqeurs tu.
Je, wewe hadi ulewe unakua umezika kiasi gani?
Kwa upande wangu ukiniona nimelewa ujue imekatika kuanzia laki 3, na hapo nikiwa sina kampan kabisa. Ikitokea nipo chimbo wanalouza vinywaji kwa bei za VIP inaweza fika hata 500k+
Na huwa situmii bia kabisa, ni liquors na liqeurs tu.
Je, wewe hadi ulewe unakua umezika kiasi gani?