Wazee wa gambe, ili ulewe kabisa unakua umetumia pesa kiasi gani?

Wazee wa gambe, ili ulewe kabisa unakua umetumia pesa kiasi gani?

Kuna wale wanakunywa Ila hawalewi nikimaanisha kulewa kupoteza kumbukubu na kuyumba na pombe wanashindilia za kutosha.
 
Kuna wale wanakunywa Ila hawalewi nikimaanisha kulewa kupoteza kumbukubu na kuyumba na pombe wanashindilia za kutosha.
Kuna kulewa na kuzima

Wewe unaongelea kuzima.

Kuzima huwa naifanya once kila baada ya miezi mitatu ila situmii gambe. Tunaitaga factory reset ukiamka hapo mpya kabisa kimwili hadi kiakili
 
Kuna kulewa na kuzima

Wewe unaongelea kuzima.

Kuzima huwa naifanya once kila baada ya miezi mitatu ila situmii gambe. Tunaitaga factory reset ukiamka hapo mpya kabisa kimwili hadi kiakili
Unatumia nini.?
 
Kule Bukoba kulikuwaga na Viroba vinaitwa 'Empire 'vilikuwa vinatoka UGANDA.

Ulikuwa ukinywa vya 1500 lazima Uyumbe ,ulewe na kuzima.

Binafsi nachukia Sana pombe maana nimekuwa nikiona walevi wanavyopukutika .
 
Nyagi niliacha kitambo sabab ni rahisi kuzichakachua, nilishuhudia mwamba anatapika dam baada ya pafu kali la nyagi mwaka 2016 toka hapo situmii kabisa hizi local spirit, bora nilale na upwiru wa gambe
😄😄😄
 
Kule Bukoba kulikuwaga na Viroba vinaitwa 'Empire 'vilikuwa vinatoka UGANDA.

Ulikuwa ukinywa vya 1500 lazima Uyumbe ,ulewe na kuzima.

Binafsi nachukia Sana pombe maana nimekuwa nikiona walevi wanavyopukutika .
Viroba vilizingua sana.

Hata wimbi la kukosa nguvu za kiume lililetwa na viroba, miaka hio ya 2014 hadi 16 mwanzon viroba ilikua janga sana. Kuna mwamba alikua anamkazia balozi mke wake, mke akawa anamwambia mwamba mzee hafunction vzr, na mzee ni viroba na yeye yeye na viroba
 
Leo nimeamka nikajiuliza hili swali. Maisha hayako fair kabisa, kuna mwingine buku 5 tu tayari analewa, na kabla ya kuzuia viroba buku tu ilitosha kufanya mtu apate starehe hio.

Kwa upande wangu ukiniona nimelewa ujue imekatika kuanzia laki 3, na hapo nikiwa sina kampan kabisa. Ikitokea nipo chimbo wanalouza vinywaji kwa bei za VIP inaweza fika hata 500k+

Na huwa situmii bia kabisa, ni liquors na liqeurs tu.

Je wewe hadi ulewe unakua umezika kiasi gani?
Pombe zipo za aina nyingi na kiwango cha alcohol kinapishana. Hivyo kulewa kwa mtu kunategemea aina ya pombe anayokunywa na kiwango cha kilevi ndani yake wala siyo kiasi cha pesa alichotumia.
 
Pombe zipo za aina nyingi na kiwango cha alcohol kinapishana. Hivyo kulewa kwa mtu kunategemea aina ya pombe anayokunywa na kiwango cha kilevi ndani yake wala siyo kiasi cha pesa alichotumia.
Ndio maana nauliza unatumia kiasi gani.

Mfano shot moja single ya jager ni 5k, hapo ni bia mbili kama sio tatu kwa local beers.
 
mimi Konyagi ndogo Mbili na Safari lager 13 mpaka 15. hapo kweli huwa napata vibe la usingizi kabisa na pia huwa inabusti sana na nguvu flaniflani
 
Back
Top Bottom