Wazee wa kazi hili ni tatizo gani limenikumba?

Wazee wa kazi hili ni tatizo gani limenikumba?

Chief Kumbyambya

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2022
Posts
719
Reaction score
2,408
Wasalam!

Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini sana.

Huwa nikionaga mademu wakali sichelewi kuomba mzigo na mara nyingi sinyimwi kwa kufanya hivyo, hii teknik naotumia kwa mademu wakali tu maana nakuwa najiaminia kwamba hata akinikatalia fresh maana mtoto mwenyewe anaviwango sio vya kawaida si huwa wananipa vizuuuri kabisa.

Huyu mrembo baada ya kukutana nae asubuhi ilipofika mchana nikampanga akaingia kingi usiku nilaka mzigo heavy heavy. Jumaamosi tena tukashinda geto namkamua kweli kweli.

Shida nimeanza kuipata jumaapili nikienda kukojoa kuna vitu vyeupe vinatoka mwishoni baada ya kumaliza kukojoa vinakuwa kama usaha hivi, inafuka jmaatatu ya jana hali ni hiyo hiyo nikasema tayari nishapata gono mamaaaaeeee ila mbona gono ukikojoa huwa mkojo unauma sana ila kwangu ni tofauti mojo hauumi ila ukiminya dudu kuna vitu vyeupe kamausaha vinatoka nikaona niwahi hospitali hiyo ni jtatu ya jana sasa.

Baada ya kuweleza dokta shida yangu akanipeleka maabara kwa vipimo nya VDRL na majibu yakaja sina maambukizi ila wakanipa dawa moja ni ile ya azuma na nyingine nitaiambatanisha hapo inaitwa tricizole tablets.

Sasa wakurungwa sijaambukizwa STDI je hii itakuwa ni UTI ama ni nini na kama ni UTI je hizi dawa zinatibu UTI?

Kuhusu huyu mrembo sihitaji kumuona tena na wala sijamchana chochote nataka nipone kwanza kisha nimpe makavu live.
 
mkuu gono hilo tayari usisubiri mpk maumivu yawe makali..

andaa kalio kwajili ya ile sindano tamuu kabisa inaitwa "penaduu"

Gono nishawahi kuipata haiko hivi na hata walivyinipima hawakuikuta. Kioimi cha VDRL kilikuwa negative.

Gono inadalili mambo kama hayo niliyoeleza ila tu yenyewe ukikojoa mkojo unauma vibaya mno na ukifika siku ya tani dudu inaanza kutoa vidonda pembeni kuzunguka kichwa… sasa hii mimi nikikojoa haviumi ila kabla ya kukojoa ukiminya pale kwenye tundu kuna viti mfano wa usaha unaviona ndiyo nikawa nauliza je ni UTI au nini? Ila dawa nilizopewa ni hizo nilizotaja hapo kwenye uzi.
 
Kapime ukimwi mkuu Mana hizo ndio dalili za ukimwi

Mzee baba ukimwi nilipimwa jana hiyo hiyo baada ya dokta kuniambia itabidi tupime vyote mpaka ukimwi ili kama unao uanze dozi mapema kabla hujachelew nami nikakubali bila hofu mpaka dokta akaniuliza je umewahi kupima? Nikamwambia hapana alishangaa imekuwaje nimekuwa jasiri kiasi kile kuliko wengine wakiambiwa wapimwe na ukimwi kama hawakuwahi kupima hukataa vikali.

Hata mimi nilijishangaa imekuwaje nimekubali bila hofu ya kukutwa ninao na Mungu ni mkubwa kipimo cha HIV kikaja negative wala sikuonesha kushtuka akili yangu nilishaishet pale pale kuwa napima kama ninavyopima malaria tu na hata nikikutwa ninao nitasurvuve fresh tu maana ukimwi haubadili mfumo wa mwili kama ilivyo kansa, kisukari na presha… maana hayo magonjwa yanakubadili kabisa mzee ila ukipata ukimwi unakula kitimoto kama kawaida, unakunywa bia kama kawaida, unakula mapilau mawali na maugali kama kawaida tena ukiupata unaambiwa na dokta ongezea ka kula matunda na mazoezibkwa wingi so why niuogope ukimwi mzee.

Yaani katika magonjwa ambayo siyaogopi hata kidogo ukimwi unashika nafasi ya kwanza.

Kwa hiyo mzeebaba nikijijenga kisaukolojia namna huyo wakati napima na mambo yakawa safi na hata sasa baada ya miezi mitatu nitaenda kupima tena mimi mwenyewe.
 
Wasalam!

Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini sana.

Huwa nikionaga mademu wakali sichelewi kuomba mzigo na mara nyingi sinyimwi kwa kufanya hivyo, hii teknik naotumia kwa mademu wakali tu maana nakuwa najiaminia kwamba hata akinikatalia fresh maana mtoto mwenyewe anaviwango sio vya kawaida si huwa wananipa vizuuuri kabisa.

Huyu mrembo baada ya kukutana nae asubuhi ilipofika mchana nikampanga akaingia kingi usiku nilaka mzigo heavy heavy. Jumaamosi tena tukashinda geto namkamua kweli kweli. Shida nimeanza kuipata jumaapili nikienda kukojoa kuna vitu vyeupe vinatoka mwishoni baada ya kumaliza kukojoa vinakuwa kama usaha hivi, inafuka jmaatatu ya jana hali ni hiyo hiyo nikasema tayari nishapata gono mamaaaaeeee ila mbona gono ukikojoa huwa mkojo unauma sana ila kwangu ni tofauti mojo hauumi ila ukiminya dudu kuna vitu vyeupe kamausaha vinatoka nikaona niwahi hospitali hiyo ni jtatu ya jana sasa.

Baada ya kuweleza dokta shida yangu akanipeleka maabara kwa vipimo nya VDRL na majibu yakaja sina maambukizi ila wakanipa dawa moja ni ile ya azuma na nyingine nitaiambatanisha hapo inaitwa tricizole tablets.

Sasa wakurungwa sijaambukizwa STDI je hii itakuwa ni UTI ama ni nini na kama ni UTI je hizi dawa zinatibu UTI?

Kuhusu huyu mrembo sihitaji kumuona tena na wala sijamchana chochote nataka nipone kwanza kisha nimpe makavu live.
Umepata kitukata orijinale.

Subiri kuanza kuona kichwa kikuu kinaanza kukatika taratiib itafikia mahala unaenda kukukoja unakung'uta na kichwa kichaachia hapo hapo...

Polee in advance
 
Wasalam!

Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini sana.

Huwa nikionaga mademu wakali sichelewi kuomba mzigo na mara nyingi sinyimwi kwa kufanya hivyo, hii teknik naotumia kwa mademu wakali tu maana nakuwa najiaminia kwamba hata akinikatalia fresh maana mtoto mwenyewe anaviwango sio vya kawaida si huwa wananipa vizuuuri kabisa.

Huyu mrembo baada ya kukutana nae asubuhi ilipofika mchana nikampanga akaingia kingi usiku nilaka mzigo heavy heavy. Jumaamosi tena tukashinda geto namkamua kweli kweli. Shida nimeanza kuipata jumaapili nikienda kukojoa kuna vitu vyeupe vinatoka mwishoni baada ya kumaliza kukojoa vinakuwa kama usaha hivi, inafuka jmaatatu ya jana hali ni hiyo hiyo nikasema tayari nishapata gono mamaaaaeeee ila mbona gono ukikojoa huwa mkojo unauma sana ila kwangu ni tofauti mojo hauumi ila ukiminya dudu kuna vitu vyeupe kamausaha vinatoka nikaona niwahi hospitali hiyo ni jtatu ya jana sasa.

Baada ya kuweleza dokta shida yangu akanipeleka maabara kwa vipimo nya VDRL na majibu yakaja sina maambukizi ila wakanipa dawa moja ni ile ya azuma na nyingine nitaiambatanisha hapo inaitwa tricizole tablets.

Sasa wakurungwa sijaambukizwa STDI je hii itakuwa ni UTI ama ni nini na kama ni UTI je hizi dawa zinatibu UTI?

Kuhusu huyu mrembo sihitaji kumuona tena na wala sijamchana chochote nataka nipone kwanza kisha nimpe makavu live.
Ngwengwe hyo tayari, ushaungwa na Grid ya Taifa
 
Wasalam!

Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini sana.

Huwa nikionaga mademu wakali sichelewi kuomba mzigo na mara nyingi sinyimwi kwa kufanya hivyo, hii teknik naotumia kwa mademu wakali tu maana nakuwa najiaminia kwamba hata akinikatalia fresh maana mtoto mwenyewe anaviwango sio vya kawaida si huwa wananipa vizuuuri kabisa.

Huyu mrembo baada ya kukutana nae asubuhi ilipofika mchana nikampanga akaingia kingi usiku nilaka mzigo heavy heavy. Jumaamosi tena tukashinda geto namkamua kweli kweli. Shida nimeanza kuipata jumaapili nikienda kukojoa kuna vitu vyeupe vinatoka mwishoni baada ya kumaliza kukojoa vinakuwa kama usaha hivi, inafuka jmaatatu ya jana hali ni hiyo hiyo nikasema tayari nishapata gono mamaaaaeeee ila mbona gono ukikojoa huwa mkojo unauma sana ila kwangu ni tofauti mojo hauumi ila ukiminya dudu kuna vitu vyeupe kamausaha vinatoka nikaona niwahi hospitali hiyo ni jtatu ya jana sasa.

Baada ya kuweleza dokta shida yangu akanipeleka maabara kwa vipimo nya VDRL na majibu yakaja sina maambukizi ila wakanipa dawa moja ni ile ya azuma na nyingine nitaiambatanisha hapo inaitwa tricizole tablets.

Sasa wakurungwa sijaambukizwa STDI je hii itakuwa ni UTI ama ni nini na kama ni UTI je hizi dawa zinatibu UTI?

Kuhusu huyu mrembo sihitaji kumuona tena na wala sijamchana chochote nataka nipone kwanza kisha nimpe makavu live.
Watu tunarisk maisha na afya zetu kipumbavu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hv uliwezaje kurisk afya yako kwa kiasi hicho???

Sijui kwanini mzee ukimwi siuogopi kabisa kama ninavyoogopa kama haya magonirea, kaswende, UTI, kansa, kisukari na presha ila ukimwi mzee siuogopi hata robo.

Ukipata ukimwi unakunywa bia
Ukipata ukimwi unakula kitimoto
Ukipata ukimwi unakula wali, pilau, ugali, keki, Maandazi, tena unaongezea na matunda juu sasa kwanini niuogope? Toka zamani siuogopi ukimwi na situmii kindom kabisa hata nikutane na mademu wa bar na sijawahi kupata ukimwi.

Hiyo jana tu nilivyoenda kucheki hiyo hali wakapima ukimwi nikakutwa sinaa.
 
Back
Top Bottom