Wazee wa kazi hili ni tatizo gani limenikumba?

Wazee wa kazi hili ni tatizo gani limenikumba?

Meza kidonge kinaitwa sefixime (sjui ndiyo maandishi sahihi) kimoja kinauzwa 4000.Meza kimoja tu then leta mrejesho hapa
Tupe sifa zake na hasara zake nasi tujue,ikija kutokea kwa rafiki ama sisi wenyewe tuweze kujiponesha
 
Tupe sifa zake na hasara zake nasi tujue,ikija kutokea kwa rafiki ama sisi wenyewe tuweze kujiponesha
Inatibu magonjwa ya zinaa. Hasara zake sifahamu, wataalamu wa madawa ya binadamu watukufafanulia wakipita hapa.
 
Mzee baba ukimwi nilipimwa jana hiyo hiyo baada ya dokta kuniambia itabidi tupime vyote mpaka ukimwi ili kama unao uanze dozi mapema kabla hujachelew nami nikakubali bila hofu mpaka dokta akaniuliza je umewahi kupima? Nikamwambia hapana alishangaa imekuwaje nimekuwa jasiri kiasi kile kuliko wengine wakiambiwa wapimwe na ukimwi kama hawakuwahi kupima hukataa vikali.

Hata mimi nilijishangaa imekuwaje nimekubali bila hofu ya kukutwa ninao na Mungu ni mkubwa kipimo cha HIV kikaja negative wala sikuonesha kushtuka akili yangu nilishaishet pale pale kuwa napima kama ninavyopima malaria tu na hata nikikutwa ninao nitasurvuve fresh tu maana ukimwi haubadili mfumo wa mwili kama ilivyo kansa, kisukari na presha… maana hayo magonjwa yanakubadili kabisa mzee ila ukipata ukimwi unakula kitimoto kama kawaida, unakunywa bia kama kawaida, unakula mapilau mawali na maugali kama kawaida tena ukiupata unaambiwa na dokta ongezea ka kula matunda na mazoezibkwa wingi so why niuogope ukimwi mzee.

Yaani katika magonjwa ambayo siyaogopi hata kidogo ukimwi unashika nafasi ya kwanza.

Kwa hiyo mzeebaba nikijijenga kisaukolojia namna huyo wakati napima na mambo yakawa safi na hata sasa baada ya miezi mitatu nitaenda kupima tena mimi mwenyewe.
nenda baada ya miezi kadhaa
 
😳 hauna maambukiz wakat hilo ni Gono a.k.a Kaswende... Na msichojua Kaswende ipo ya aina nyingi... Ila naona huu ni msimu wa Kaswende maana ndani ya wiki 1 humu JF zikefunguliwa nyuzi mbili kuhusu maambukiz haya...
 
Wasikutishe bhana ni hivi kama ambavyo kila mtu ana fingerprint zake hata sperm ni ivoivo kila mtu ana zake
 
Wasalam!

Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini sana.

Huwa nikionaga mademu wakali sichelewi kuomba mzigo na mara nyingi sinyimwi kwa kufanya hivyo, hii teknik naotumia kwa mademu wakali tu maana nakuwa najiaminia kwamba hata akinikatalia fresh maana mtoto mwenyewe anaviwango sio vya kawaida si huwa wananipa vizuuuri kabisa.

Huyu mrembo baada ya kukutana nae asubuhi ilipofika mchana nikampanga akaingia kingi usiku nilaka mzigo heavy heavy. Jumaamosi tena tukashinda geto namkamua kweli kweli.

Shida nimeanza kuipata jumaapili nikienda kukojoa kuna vitu vyeupe vinatoka mwishoni baada ya kumaliza kukojoa vinakuwa kama usaha hivi, inafuka jmaatatu ya jana hali ni hiyo hiyo nikasema tayari nishapata gono mamaaaaeeee ila mbona gono ukikojoa huwa mkojo unauma sana ila kwangu ni tofauti mojo hauumi ila ukiminya dudu kuna vitu vyeupe kamausaha vinatoka nikaona niwahi hospitali hiyo ni jtatu ya jana sasa.

Baada ya kuweleza dokta shida yangu akanipeleka maabara kwa vipimo nya VDRL na majibu yakaja sina maambukizi ila wakanipa dawa moja ni ile ya azuma na nyingine nitaiambatanisha hapo inaitwa tricizole tablets.

Sasa wakurungwa sijaambukizwa STDI je hii itakuwa ni UTI ama ni nini na kama ni UTI je hizi dawa zinatibu UTI?

Kuhusu huyu mrembo sihitaji kumuona tena na wala sijamchana chochote nataka nipone kwanza kisha nimpe makavu live.
Huenda hapo tayari umeungwa kwenye grid ya taifa.
 
Wasalam!

Wazee juzi ijumaa nilikutana na toto moja hivi ya moto balaa kula mtu alikuwa anaiangalia basi mjuna nikajitosa kwa mazungumzo mafupi ya kufahamiana kisha mrembo akaachia namba kuilaini sana.

Huwa nikionaga mademu wakali sichelewi kuomba mzigo na mara nyingi sinyimwi kwa kufanya hivyo, hii teknik naotumia kwa mademu wakali tu maana nakuwa najiaminia kwamba hata akinikatalia fresh maana mtoto mwenyewe anaviwango sio vya kawaida si huwa wananipa vizuuuri kabisa.

Huyu mrembo baada ya kukutana nae asubuhi ilipofika mchana nikampanga akaingia kingi usiku nilaka mzigo heavy heavy. Jumaamosi tena tukashinda geto namkamua kweli kweli.

Shida nimeanza kuipata jumaapili nikienda kukojoa kuna vitu vyeupe vinatoka mwishoni baada ya kumaliza kukojoa vinakuwa kama usaha hivi, inafuka jmaatatu ya jana hali ni hiyo hiyo nikasema tayari nishapata gono mamaaaaeeee ila mbona gono ukikojoa huwa mkojo unauma sana ila kwangu ni tofauti mojo hauumi ila ukiminya dudu kuna vitu vyeupe kamausaha vinatoka nikaona niwahi hospitali hiyo ni jtatu ya jana sasa.

Baada ya kuweleza dokta shida yangu akanipeleka maabara kwa vipimo nya VDRL na majibu yakaja sina maambukizi ila wakanipa dawa moja ni ile ya azuma na nyingine nitaiambatanisha hapo inaitwa tricizole tablets.

Sasa wakurungwa sijaambukizwa STDI je hii itakuwa ni UTI ama ni nini na kama ni UTI je hizi dawa zinatibu UTI?

Kuhusu huyu mrembo sihitaji kumuona tena na wala sijamchana chochote nataka nipone kwanza kisha nimpe makavu live.
Anza kumeza na arv maana inakuwa na dalili hizo hizo. Mimi ni dr. Kiwango usipuuze
 
Kwenye serikali za mitaa, mahospitali ya umma na maeneo mengi huwa kuna ZANA zipo bure kabisa.

Nenda kajipatie zako za kutosha ukae nazo geto.
 
Back
Top Bottom