thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,458
- 1,432
Daahh!! Moderator wa Jf wapo makini sana wakati najiunga na Jf nilikuwa sijui sharia vizuri so kuna sheria nilikuwa nazivunja mwisho wa siku nakumbuka nilishawahi kupewa BAN kama Mara tatu hivi...
Daaah!! Baada yakupewa BAN Mara zote hizo ikabidi niwe mpole....
Kama ushawahi kupewa BAN usipite bila kulike...
Daaah!! Baada yakupewa BAN Mara zote hizo ikabidi niwe mpole....
Kama ushawahi kupewa BAN usipite bila kulike...