Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hamna shidaNitatumia Android hapo vp?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna shidaNitatumia Android hapo vp?
Tumia Malwarebytes mkuu itakaa sawa ukimaliza scan na Windows security yako mashine itakaa sawaNdo shida ya hivi site za uchochoroni. Hapa mimi kuna virus kwenye PC wametafuna window defender yote now haifanyi kazi. Pia kuna programs kadhaa nimecorrupt zimeacha kufanya kazi sijui nawatoaje...
Umekuwa msaada mkubwaMuda wa mechi ukifika fungua www.fawanews.com
Basi hapo utapata mechi zote zilizopo hata za NBC Premier League
Enjoy, ikifungwa basi ila kwasasa turuke na hii
www.fawanews.com
www.fawanews.com
www.fawanews.com
Shukran mkuu, ngoja nijaribu. hapa naishi roho juu juu maana hawa wadudu wakiingia tu kwenye Google account basi washanitia umasikiniTumia Malwarebytes mkuu itakaa sawa ukimaliza scan na Windows security yako mashine itakaa sawa
Hawafiki huko mkuu usiogope hao rahisi sana kutoka ukimaliza kuscan we restart mashine itakaa sawaShukran mkuu, ngoja nijaribu. hapa naishi roho juu juu maana hawa wadudu wakiingia tu kwenye Google account basi washanitia umasikini
Mi yalinikuta miezi kadhaa nyuma, walipita google account moja na vitega uchumi vyake vyote 😀. Nilifanikiwa kuirejesha ila kwa mbinde sana... Na kilichonipoza na game la Euro truck..Hawafiki huko mkuu usiogope hao rahisi sana kutoka ukimaliza kuscan we restart mashine itakaa sawa
Lilikuwa cracked Nini?Mi yalinikuta miezi kadhaa nyuma, walipita google account moja na vitega uchumi vyake vyote 😀. Nilifanikiwa kuirejesha ila kwa mbinde sana... Na kilichonipoza na game la Euro truck..
Yeah, wabongo kununua softwares ni changamoto...Lilikuwa cracked Nini?
OkMuda wa mechi ukifika fungua www.fawanews.com
Basi hapo utapata mechi zote zilizopo hata za NBC Premier League
Enjoy, ikifungwa basi ila kwasasa turuke na hii
www.fawanews.com
www.fawanews.com
www.fawanews.com
naunga mkono hojaYeah, wabongo kununua softwares ni changamoto...
Mbona kama ushasaga kunguni kweli, mechi ya Yanga haipo kwenye orodhaNikiwa kama balozi wa Azam max huu uhuni nauripoti ofisini haraka sana
Tumia Azam max mkuu hao bado na hiyo site tutaendelea kuiban itakapoendelea kuweka mechi za ligi kuu wakiwa wabishi tutafunga hiyo site yenyeweMbona kama ushasaga kunguni kweli, mechi ya Yanga haipo kwenye orodha
Hahah. Ila mbona nimeambiwa Azam kuna movie na series wanaiba huko nje wanakuja kuonyesha huku kimagumashi. Binafsi siamini kama wanaweza fanya hilo ila nimeambiwa na watu.Tumia Azam max mkuu hao bado na hiyo site tutaendelea kuiban itakapoendelea kuweka mechi za ligi kuu wakiwa wabishi tutafunga hiyo site yenyewe
Sisi tuna Haki nazo izo series tunanunua Haki miliki sisi sio weziHahah. Ila mbona nimeambiwa Azam kuna movie na series wanaiba huko nje wanakuja kuonyesha huku kimagumashi. Binafsi siamini kama wanaweza fanya hilo ila nimeambiwa na watu.
Wanasema ukila kubali na wewe uliwe.
Ila niliambiwa na watu wenye uwezo wa kujua mambo ya ndani. Tena wakasema hata baadhi ya ligi zinaonyeshwa kimagumashi. Sikuwaamini maana katika dunia hii ya utandawazi, risk ni kubwa.Sisi tuna Haki nazo izo series tunanunua Haki miliki sisi sio wezi
Sio rahisi mkuuIla niliambiwa na watu wenye uwezo wa kujua mambo ya ndani. Tena wakasema hata baadhi ya ligi zinaonyeshwa kimagumashi. Sikuwaamini maana katika dunia hii ya utandawazi, risk ni kubwa.
Sio kweliIla niliambiwa na watu wenye uwezo wa kujua mambo ya ndani. Tena wakasema hata baadhi ya ligi zinaonyeshwa kimagumashi. Sikuwaamini maana katika dunia hii ya utandawazi, risk ni kubwa.
Sio rahisi mkuu
Nilivyowabishia wakasema ni vigumu wahusika wafuatilie na wakomae na kitivii kisichojulikana kilichopo nchi isiyojulikana. Wanatoa leseni nyingi kujali sana vihasara vidogo vidogo kama hivi.Sio kweli
TV Sio rahisi kurusha kitu bila kibali, Azam sio online tvIla niliambiwa na watu wenye uwezo wa kujua mambo ya ndani. Tena wakasema hata baadhi ya ligi zinaonyeshwa kimagumashi. Sikuwaamini maana katika dunia hii ya utandawazi, risk ni kubwa.