Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo mnaichukulia Azam tv simpo kwa sababu mpo nayo nchi moja na wanaonyesha hizi vitamthilia vyenu ila Azam tv n kubwa mno zaidi ya unavyofikiria ww.Nilivyowabishia wakasema ni vigumu wahusika wafuatilie na wakomae na kitivii kisichojulikana kilichopo nchi isiyojulikana. Wanatoa leseni nyingi kujali sana vihasara vidogo vidogo kama hivi.
TV Sio rahisi kurusha kitu bila kibali, Azam sio online tv
Mbona kama online ndiyo ngumu zaidi maana mfumo wa ufuatiliaji ni rahisi zaidi.Wabongo mnaichukulia Azam tv simpo kwa sababu mpo nayo nchi moja na wanaonyesha hizi vitamthilia vyenu ila Azam tv n kubwa mno zaidi ya unavyofikiria ww.
Unatafuta upigwe faini ya milion 20 kutika azam, ngoja nikutumie no ya jamaa akuelezee kilichomkutaMuda wa mechi ukifika fungua www.fawanews.com
Basi hapo utapata mechi zote zilizopo hata za NBC Premier League
Enjoy, ikifungwa basi ila kwasasa turuke na hii
www.fawanews.com
www.fawanews.com
www.fawanews.com
Hapo kwenye online tv nasemea online tv za kibongo mana karibu zote hazina utaratibu mzuriMbona kama online ndiyo ngumu zaidi maana mfumo wa ufuatiliaji ni rahisi zaidi.
Sikukubaliana na nilichoambiwa kwa sababu hiyo hiyo unayosema kuwa Azam ni kubwa kiasi cha kuchukua risk ya namna hiyo ila uwezi jua. Kama kona inaruhusu kukata, watu wanakata tu.
Tuma tu mkuuUnatafuta upigwe faini ya milion 20 kutika azam, ngoja nikutumie no ya jamaa akuelezee kilichomkuta
Asante sana mkuu,wenye smarttv azam watakomaMuda wa mechi ukifika fungua www.fawanews.com
Basi hapo utapata mechi zote zilizopo hata za NBC Premier League
Enjoy, ikifungwa basi ila kwasasa turuke na hii
www.fawanews.com
www.fawanews.com
www.fawanews.com
Enjoy mkuuAsante sana mkuu,wenye smarttv azam watakoma
Tuishi mkuu…nzuri hii
Enjoy kiongoziIpo vizuri sana.... Shukrani kiingozi...
kwangu ni kama nipo studio za azam vile ilivyotuliaHii kitu changamoto yake inascratch sana au ni kwangu tu?
Gg haitoshi boss,1gb inatosha
Tafuta internet nzuriHii kitu changamoto yake inascratch sana au ni kwangu tu?
Yes mkuu ila muda ukifika inakuwa ndio activeHizo game zote zilizoorodheshwa zinaonyehwa live mkuu?
kunamuda kutokana na ubize wa kazi luninga tunaipa kisogo hii naona iko poa zaidiTuishi mkuu…
Kwangu no scratches...kwangu ni kama nipo studio za azam vile ilivyotulia
Washatuibia sana hawa,ni muda wa kurudisha kwa jamii,ilitakiwa iwe elf10 unaona kila kituKwangu no scratches...