Wazee wa kutuliza ghasia

Wafungwa wakianzisha varangati KM hua hawaingii gerezani kwa kutumia milango, wanaingia kwa kuruka ukuta, paaap wamejaa kila kona. Wafungwa na ukauzu wao wote wakiwaona vidume huwa wanakimbilia kulala chini kama ishara ya kuomba AMANI.

Wanatembeza kichapo si cha kitoto, FFU wamesingiziwa kwa hao viumbe. Wakizama gerezani mpaka kunguni na mbu wanaogopa!!! Wanajua hii ishakuwa sooo!!!
 
Ukitaka kuwajua hao wakata kinyesi.siku ukiwa lupango,anza kudekadeka,ikipigwa filimbi kama umepumzika chini ya mti jela anza kwanza kujinyoosha nyoosha alafu ndo uende kupanga mstari.
Ndo utajua kwanini maharage ikifika mwezi mtukufu yanaitwa mftari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ