Hii ndio zamani tulikuwa tunaita full mass nondo.View attachment 1741154
Huku nje huwezi elewa mziki wao. Ila ukiwa ndani,ndichi,lupango segedance ndo utawafahamu vizuri hawa[emoji23][emoji23]
Wanapenda sana kushambulia kwenye ugokoBalaa hao FFU arudi chekechea....
Halafu mara nyingi hawaui ila wana wana mapigo ya kunyong'onyeza na kukuachia maumivu sio ya nchi hii
La kukuzikia wakishakuuwaBeleshi la nini sasa. Ujinga mtupu.
Mkuu ndo hawa waliopandisha Bei za vifurushi au waliopandisha ni wadogo zao..???View attachment 1741154
Huku nje huwezi elewa mziki wao. Ila ukiwa ndani, ndichi, lupango segedance ndo utawafahamu vizuri hawa๐๐
Una xp nao [emoji847]Nakwambia hawa jamaa hawaingiliagi mlangoni wanashukia kwenye ukuta hadi paa za selo wanadondokea uwanjani ndo kamba hiyo
Nasikia hwa wasnge wanapiga hatariiiView attachment 1741154
Huku nje huwezi elewa mziki wao. Ila ukiwa ndani, ndichi, lupango segedance ndo utawafahamu vizuri hawa๐๐