Wazee wa kutuliza ghasia

Wazee wa kutuliza ghasia

Wafungwa wakianzisha varangati KM hua hawaingii gerezani kwa kutumia milango, wanaingia kwa kuruka ukuta, paaap wamejaa kila kona. Wafungwa na ukauzu wao wote wakiwaona vidume huwa wanakimbilia kulala chini kama ishara ya kuomba AMANI.

Wanatembeza kichapo si cha kitoto, FFU wamesingiziwa kwa hao viumbe. Wakizama gerezani mpaka kunguni na mbu wanaogopa!!! Wanajua hii ishakuwa sooo!!!
Kabisa
 
Hawafai

Kuna siku wajela jela waligoma kula mpaka waonane na mkuu wa mkoa. Kulikua na malalamiko flani hivi na ukitaka kula wanaluchenjia wenzako mle ndani so wote ni mgomo. Siku ya kwanza siku ya pili

Siku ya 3 mkuu wa mkoa hajaja bado.
Basi mkuu wa gereza kaomba hizi njemba walikua kama 8 hivi wameshavaa hivyo wakasimama mlangoni wanapiga virungu kwenye ngao zao tu na miguu chini kama dk 10 kabla hawajaanza kazi. Ma wengine wako kwenye ukuta hahahaaa kila mtu alienda foleni ya msosi. RC alikuja jioni yake lakini kusikiliza malalamiko(Sijataja Gereza makusudi,na pia sijasema nilikua mfungwa/mahabusu[emoji23][emoji23]. But I was there to see the whole ordeal)

Pasaka njema
Hahahahahahahahahahahahahahahahhahahahahaha
 
Back
Top Bottom