Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Kuna scientific calculator na Calculator ya simu.
Zote zimepewa hesabu inayofanana lakini majibu yako tofauti!
Zote zimepewa hesabu inayofanana lakini majibu yako tofauti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Input tofautiBaada ya kulitazama hili nalo mkuu, clearly kwenye scientific calculator umeweka input tofauti na iliyopo kwenye simu. Mwenye macho ataelewa.
Kwa hayo machache naomba nikusihi, uhamie Burundi.
Ulisoma hesabu za wapi?Unaanza kufanyia kwenye mabano kwanza, maana hiyo ni conditional.
Baadaye ndo Magazijuto.
Jibu sahihi ni 9
Hebu na sisi tujaribu:
6÷2(2+1)= 6÷2×3, kulingana na sheria ya BODMAS, yaani MAGAZIJUTO lazima uanze na 6÷2 na ndipo jibu lake uzidishe kwa 3; yaani (6÷2)×3=3×3=9.
Scientific calculator imedanganya😂Kuna scientific calculator na Calculator ya simu.
Zote zimepewa hesabu inayofanana lakini majibu yako tofauti!
View attachment 2337657
Vilaza hawa walikimbia hesabu form 2 hawawezi kukuelewaAcha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract
So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
da mjomba ulikimbia hesabu BODMASAcha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract
So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
Acha ujuaji
B bracket- fanya chochote ndani ya bracket
O open bracket
D divide
M multiply
A add
S subtract
So;
B 2+1=3
O 3*2=6
D 6/6=1
Hivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9Kwa bodmas jibu ni 9
Ilichofanya scientific calculator 2(2+1) imekifanya ni mabano yote.. So imefungua kwanza ndio maana jibu limekuja 1
Mfano ukichukua
6÷2(x+y)
Step inayofata itakuwa ni
6/(2x+2y)
X ikiwa 2 na y 1
Jibu ndio linakuwa ni 1
Mkuu na wew na akili zako unaona kabisa jibu la 9 ni sahihi wakati ni kubwa kuliko inayogawanya ambayo ni 6 hafu mbna huyo jamaa kuelezea vizuri tu ni basi tu umejaza fuvu.Hapa hatupimani nani anajua zaidi bali ni suala la kuelimishana tu kwani hakuna anayejua kika kitu isipokuwa Mungu tu...
Umeelewa kweli na ufafanuzi niliotoa hapo chini?Hivi kwa akili zako za kawaida 6 ikigawanya hizo namba jibu linakuja 9...hesabu hazina ujanja hapo jibu ni moja hakuna cha kwa bodmas jibu 9