Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

hapo karibu tujadiliane kwani kujadilana ni moja ya njia ya kujifunza, ni kitu ambacho wenzetu Wazungu hufanya na hivyo kujiongezea elimu, tofauti kwa sisi Waafrika ni mashindano ya nani anajua zaidi hatimaye siku zote tupo nyuma
Pale unapofungua mabano inatakiwa uzidishe na Ile mbili nje Mana Ni Kama imerahisishwa tu ikatolewa nje mkuu. Sijui Kama unaelewa. Yaani Ile kutolewa nje inabidi uirudishe ndani Mana imebeba namba zote zilizo ndani sema amerahisisha kihesabu
 
Mkuu na wew na akili zako unaona kabisa jibu la 9 ni sahihi wakati ni kubwa kuliko inayogawanya ambayo ni 6 hafu mbna huyo jamaa kuelezea vizuri tu ni basi tu umejaza fuvu......

Ok nitajitie kirefu cha BODMAS na acha na MAGAZIJUTO maana ni sisi tumetohoa usahihi wake upo kwenye neno BODMAS


BODMAS, B=Bracket, O=Order, D=division, M=multiplication, A=Addition , S=Subtraction.

You have to firstly deal with numbers in brackets, then deal with those numbers with "orders" (ie powers, square roots etc) then you follow the other operations as per order.
 
What you guys don't know is that this is ambiguous mathematics questions which can have multiple answer according to your interpretations. This means 1 and 9 can be both right answers, I will explain. .

If you calculate by smartphone calculator 6÷2(2+1)
Then due to basic programming it give result from left to right as
6÷2(3)= 9
3(3)=9
9 is a correct answer to this by applying the above formula. Those who got 9 got it right through explanation.

On other hand, scientific calculator calculate 6÷2(2+1) -
=6÷2(3)
=6÷6
=1
But 1 is correct answer by standard mathematics as this formula should be interpreted as “6 / (2 * (2 + 1))”, so the result is 1.

Hesabu huwa inatoa majibu mazuri kupitia mifano, got this somewhere:

I buy a snack for $2 and a drink $1, and I do this twice a week. How many weeks can I do this with $6?
$6 / 2($2+$1) = 1 (week)
 
What you guys don't know is that this is ambiguous mathematics questions which can have multiple answer according to your interpretations. This means 1 and 9 can be both right answers, I will explain. .

If you calculate by smartphone calculator 6÷2(2+1)
Then due to basic programming it give result from left to right as
6÷2(3)= 9
3(3)=9
9 is a correct answer to this by applying the above formula. Those who got 9 got is right through explanation.

On other hand, scientific calculator calculate 6÷2(2+1) -
=6÷2(3)
=6÷6
=1
But 1 is correct answer by standard mathematics as this formula should be interpreted as “6 / (2 * (2 + 1))”, so the result is 1.

Hesabu huwa inatoa majibu mazuri kupitia mifano, got this somewhere:

I buy a snack for $2 and a drink $1, and I do this twice a week. How many weeks can I do this with $6?
$6 / 2($2+$1) = 1 (week)


There is a big difference between these expressions Viz, 6÷2(2+1) and 6/[2(2+1)], the first one gives the answer 9 and the second gives 1, therefore those are typical different math, expressions giving different answers.
 
There is a big difference between these expressions Viz, 6÷2(2+1) and 6/[2(2+1)], the first one gives the answer 9 and the second gives 1, therefore those are typical different math, expressions giving different answers.
Nafunga Mjadala kama hamjaelewa hapa tena basi:
Baada ya kufungua mabano inafuata zidisha, namaanisha 2(3) = 2x3 hapo tuko wote? Siku zote ukifungua mabano kinachofuata ni ZIDISHA.
Sasa umekariri MAGAZIJUTO kuwa formula yake siku zote ukitoka mabano unafata gawanya kitu ambacho calculator ya simu imefanya. Ila sasa kwa hesabu au hisabati sio lazima uende gawanya formula inaweza kuwa MAZIGAJUTO narudia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO kwa sababu MULTIPLICATION and DIVIDE are interchangeable. .
Kwa formula ya MAZIGAJUTO jibu ni 1, na ni sahihi kabisa kwa standard mathematics na ndio jibu mama.
Pia kwa formula ya MAGAZIJUTO jibu ni 9, na ni sahihi kabisa haujakosea, uko sahihi. .

Go back to my explanation above post 27 nimefafanua. .
 
Nafunga Mjadala kama hamjaelewa hapa tena basi:
Baada ya kufungua mabano inafuata zidisha, namaanisha 2(3) = 2x3 hapo tuko wote? Siku zote ukifungua mabano kinachofuata ni ZIDISHA.
Sasa umekariri MAGAZIJUTO kuwa formula yake siku zote ukitoka mabano unafata gawanya kitu ambacho calculator ya simu imefanya. Ila sasa kwa hesabu au hisabati sio lazima uende gawanya formula inaweza kuwa MAZIGAJUTO narudia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO kwa sababu MULTIPLICATION and DIVIDE are interchangeable. .
Kwa formula ya MAZIGAJUTO jibu ni 1, na ni sahihi kabisa kwa standard mathematics na ndio jibu mama.
Pia kwa formula ya MAGAZIJUTO jibu ni 9, na ni sahihi kabisa haujakosea, uko sahihi. .

Go back to my explanation above post 27 nimefafanua. .


Umefafanua kitu gani???, the maths, expressions

6÷2(2+1) na 6/[2(2+1)] haziko sawa na hivyo majibu yake ni tofauti, ya kwanza jibu ni 9 na ya pili jibu ni 1. Fullstop.
 
There is a big difference between these expressions Viz, 6÷2(2+1) and 6/[2(2+1)], the first one gives the answer 9 and the second gives 1, therefore those are typical different math, expressions giving different answers.
Mokaze Umeeleza vizuri[emoji106]
Wengine hawajui hisabati ni maneno tu
6÷2(2+1) jibu ni 9
Bodmas=Magazijuto utofauti ni lugha tu
 
Jibu ni 9
[emoji116]
Screenshot_20220830-004704_1.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20220830-004924.jpg
    Screenshot_20220830-004924.jpg
    18.5 KB · Views: 20
Nafunga Mjadala kama hamjaelewa hapa tena basi:
Baada ya kufungua mabano inafuata zidisha, namaanisha 2(3) = 2x3 hapo tuko wote? Siku zote ukifungua mabano kinachofuata ni ZIDISHA.
Sasa umekariri MAGAZIJUTO kuwa formula yake siku zote ukitoka mabano unafata gawanya kitu ambacho calculator ya simu imefanya. Ila sasa kwa hesabu au hisabati sio lazima uende gawanya formula inaweza kuwa MAZIGAJUTO narudia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO kwa sababu MULTIPLICATION and DIVIDE are interchangeable. .
Kwa formula ya MAZIGAJUTO jibu ni 1, na ni sahihi kabisa kwa standard mathematics na ndio jibu mama.
Pia kwa formula ya MAGAZIJUTO jibu ni 9, na ni sahihi kabisa haujakosea, uko sahihi. .

Go back to my explanation above post 27 nimefafanua. .

Choose the most correct answer in Exam per question asked
(a)1
(b) 9
(c) None of the above
 
Back
Top Bottom