Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Wazee wa Mathematics: Jibu lipi ni sahihi hapa?

Huna akili na hujui hesabu pole....hapa nimegundua wajinga ambao hawajui hesabu wapo wengi na hawana hoja ila wanaita wanaojua hesabu wenye hoja kuwa hawajui hesabu (wanaamini wako sahihi) na sisi wataalamu ambao tunajitahidi kuwatoa makamasi kwenye ubongo tunawaona wajinga which is true hesabu hawajui
HAYA BWANA NA HAPA UNASEMAJE ?

Kwa jinsi ulivyoiandika hivyo;

6÷2(1+a)=9, kwanza lazima ujue huo sio uandishi wa Algebra, juu ya yote ipo hivi:-

Let (1+a)=b---(1)

Hivyo 6÷2(1+a)=6÷2b=9

6÷2b=6÷2×b=9, kumbuka hii haikufuta sheria ya Algebraic representation hivyo kanuni ya BODMAS hapo ita apply, kwahiyo hiyo equation itakuwa katika form hii:-
(6/2)×b=9

6b=18, b=3, but b=(1+a) hivyo a=2✔

WEKA HILO JIBU LAKO LA UWONGO KAMA UTAPATA a=2, usibishane na sisi wazee wa kuintegrate...utakuwa unaona aibu saivi 🤣
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Uko mweupe sana kwenye mathematics, kila kauli unayo itoa inaonenya ni jinsi gani kwenye huu ukurasa haujui au umekariri kupindukia.


Yes nikisea unakariri sijakosea. Number ni symbol of communication kama zilivyo herufi. Wakati wengine wana 1 hadi 9 warumi nao wanazo za muundo wao na waarabu vivyo hivyo.

Sentensi kama "Tulikuwa watu saba kati yetu wanawake wawili wanaume watano" katika number inawezwa kuandikwa hivi 7 = 2 + 5. Ya kwanza ndio tunaita words expression na ya pili tunaita numerical expression zote zina convey the same meaning.

1 hadi 9 na A hadi Z ni alama za mawasiliano na zinapatikana popote kwenye aina yoyote ya taaluma. Matendo kama kupunguza (kutoa), kuongeza (kujumlisha) ndio yanayoleta neno hesabu.

In words expression "Juma alimpa Jesca kalamu nane kati ya 20 alizokuwa nazo, aliongeza kalamu zingine kumi na tano kabla hajazigawa kwa kila mmoja kwenye familia ya watu tisa kwa usawa hivo hivo kila mmoja alipata kalamu 3"... in numerical expression inakuwa
[{(20-8)+15}÷9] = 3.

One mistake tu kwenye numerical expression either kwa wrong placement ya mabano inabadili maana totally. Mfano kwa hapo juu numerical expression kama hii
[(20-8)+15÷9] haileti 3 ambayo ni jibu la maana iliyokusudiwa mwanzo ingawa number zilizotumika ni zile zile na operational symbol ni zile zile zinazohitajika kasoro brackets husika hazipo...

Lengo la kubadili Words to numerical au numerical back to words expression ni kutest validity ya maana iliyokusudiwa kama haijabadilika ili kupata usahihi wa kinachotafutwa.

Kila numerical equation ina majibu ila si kila jibu lina reflect maana iliyokusudiwa. Na hiyo ndio hesabu sasa. Sio mikunjo ya 123 hadi 10.

So tusipeane mzigo wa kuanza kufundishana hesabu ni nini. Ukitaka kujua zaidi mwanao kwanini mwalim wake wa hesabu anamwambia ahesabu number kisha aziandike kwa maneno.


Again tena hii inaonesha hata neno Calculator hulijui maana ake.

Calculator/Kikotoo ni kifaa kinacho-perfom calculation/ukokotoaji under specific instructions. Vikokokotozi kama hicho unachodai kua ni Og sio fake kile ni programmable device ambacho kina perfom calculation under specific instructions.

All modern calculators hazitumii standard hiyo iliyo kuepo enzi hizo za 1917 that a÷b(c) ni sawa a/(b×c).

Kitendo cha kusema imeundwa maana ake unatakiwa uelewe iko programmed. Kua programmed ni kupewa set of instructions za ku'execute kwa kila command inayotolewa.

So when rules changed basi na outcome inabadilishwa kwa mfano lel say kule value of pie ilikuwa 20/7 (hii value ya mfano tu) but now ni 22/7. For the same calculation itakupa majibu tofauti kwasababu zinapokea command na ku'execute taarifa kwa instructions tofauti.


Sentensi kama hizi ndio zinaonesha hata kile unacho kizungumza hukijui. Tuacheni ubishi badala yake tukae chini tujifunze tuelewe.

Leo ukichukua vipimo vya uingereza ukaenda kuvi-apply US vinakuingiza chaka kwasababu wanatumia standard tofauti. Hapo juu nilitoa mfano wa Gallon kwa Litre.

Ukichukua Calculator ambayo iko programmed kwa standard za UK ambapo 1 Gallon kwa 4.546Litre ukaitumie US ambapo standard zao ni 1 Gallon kwa 3.872Litre itakuaje?

Utaiita fake au?

TUJIFUNZE KUELEWA.

Huku kukariri kwetu bila uelewa ndio unaofanya tukitoka nje ya mipaka yetu tunakuwa USELESS.
MKUU UNAJICHOSHA BURE HAWA MAPIMBI NI HAWAELEWI
 
Nilimjibu jamaa kiona 2(3) maana yake ni 2 x 3 = 6.
Ukifungua mabano unazidisha siku zote, Ukiona unafungua mabano inayofuata ni kuzidisha kilicho kwenye mabano.
6÷2(3)= 6 ÷ 2 x 3
sasa hapo anatakiwa atumie BOMDAS instead of BODMAS. Nikamjibu kuwa Division and Multiplication are interchangeable. Akauliza nimeandika kitu gani kwa sababu ya ubishi tu. Hili swali kutokana lilivyo unatumia MAZIGAJUTO na sio MAGAZIJUTO.
View attachment 2340664
Kwenye paper majibu yote yatakuwa sawa kutokana na watu wanajibu kutokana na uelewa. Nikamwambia hesabu yeyote unatakiwa uje kwenye practical ujue which is the best answer.
Sasa ukiapapply swali:
Nimenunua andazi kwa Sh. 2 na Soda kwa Sh. 1, na nafanya hivyo mara mbili (2) kwa juma, Je naweza nunua soda na andazi kwa juma ngapi nikiwa na Sh 6?
Sh. 6 / 2 (Sh 2 + Sh. 1) = 1 (Juma)
Hao wanaosema 9 ni jibu sahihi zaidi wajue haliwezi kuwa kwenye practical, kama wanabisha watuwekeee kwenye practicality na mfano tuone waache ubishi. Scientific calculator iko vizuri zaidi as it it gives the answer according to the standard of mathematics. Ndo maana nikawajibu hayo majibu ni kutokana na ones own interpretetion which will make all the answers true. Ila the most correct answer is 1. .

Nope
 
Jibu sahihi ni 1 mnaong'ang'ania 9 inabid muongeze umakini ukiangalia nje ya mabano hakuna zidisha 6÷2(2+1) kwa maana hiyo ile hiki 2(2+1) ni kitu kimoja huwezi ukavitenganisha kwaiyo lazima umalizane navyo kwanza.

Ila ingekua 6÷2×(2+1) hapo jibu ni 9, kwa kufuata kanuni ya magazijuto
Lakini kwenye swali hiyo alama ya zidisha haipo kwamaana hiyo 2 iliyopo nje ya mabano inabeba vilivyopo ndani ya mabano.

View attachment 2346938
Uko sahihi mkuu, sema kuna wale watu kama Crimea ambao wana akili za ki ccm hawawezi kukuelewa wanadai ni 9. Nawaambia kuwa kufungua mabano maana yake umalizane na mabano kwani hakuna operator kati ya 2 na mabano lakini hawaelewi kuwa 2 ni sehemu ya mabano.
 
Mkuu vp kama hiyo 6 inaigawa kwa decimal? Acha kukariri mkuu, chukulia mfano wa 6÷0.5678
ww hutaki kujifunza ww ni unaubishi wa waha tangu mwanzo nimekuulza kwa akili za kawaida namba kwenye kugawanya jibu la kigawanyika linaweza kuwa kubwa kuliko kugawanyio???

Mfano hapo 6 inagawanya so jibu haliwezi kuzd sita hiyo ni akili tu ndgo lakini ww ung'ang'ania jibu ni 9

Okei me nataka uprove jibu lako

Find "a"

6 ÷ 2( 1 + a ) = 9 hakikisha jibu linakuja "a" basi jibu lako la 9 litakuwa valid.

Ukibisha na hapa basi mkuu ukapimwe akili na sema mm sijui hesabu Mungu nisaidie wanangu wasiwe kama mimi
 
Maelezo yako ni mazuri sana na yanaelimisha, lakini jibu ni 1 na siyo 9
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Kilaza anapowaona wenzie ndiyo vilaza, hii dunia hii
 
Uko sahihi mkuu, sema kuna wale watu kama Crimea ambao wana akili za ki ccm hawawezi kukuelewa wanadai ni 9. Nawaambia kuwa kufungua mabano maana yake umalizane na mabano kwani hakuna operator kati ya 2 na mabano lakini hawaelewi kuwa 2 ni sehemu ya mabano.
Ngoja nitulie tu asee, nimeamua kumuambia wote tupo sahihi
 
Mimi nimekaa peleee nashuhudia mtanange
Nasiburi mjadala wa kuziishi hizo namba. Majibu ni kitu kingine.

Mtuelekeze tufanyeje kuziishi zitisaidie ktk huu ulimwengu wa dhiki na kodi kodi zenye majina tofauti.
 
Daah huu uzi sikuuonaga bana kuna watu hawajui mpaka wanaboa na hawataki kuelewa. Kwel ni rahsi kumpa mtu wazo jipya lakini kasheshe ni kuondoa utumbo alonao kichwani.

Jibu sahihi ni 9.
6÷2(1+2)
B=mabano
6÷2(3). Jamani ee mabano ni mbadala wa alama ya kuzidisha
So 6÷2(3)=6÷2×3
Ukisema inafuata expression ya 6÷6 maana yake umezidisha 2×3 kabla ya kugawanya 6÷2 ambapo umekiuka bodmas na ticha wa mathe atakua kashapata kalio lako.
Lazima ugawe kwanza 6÷2=3 kisha 3×3=9 au 3(3)=9.
Scientific calculator imetumia magazijuto lakini ipo programmed kutumia /(juu ya) zaidi kuliko ÷. Kwahyo inatafsiri kwamba umeuliza
6 juu ya 2(2+1) ambapo inajitenga na 2. Katika vitu nlisisitizwa zaidi kwnye hzi calculator ni matumiz ya mabano wakati wa ku fill inputs. Kwenye scientific calculator ili isitafsiri kama nlivyosema hapo juu inabidi uweke mabano iwe (6÷2)(1+2). Mtu atasema hoo mbona unajitungia swal unaongeza mabano lakn hapo simu na sci~calculator ztatoa jbu lnalofanana. Kwako studio
 
Hapo sihusiki kutoa maoni maana hii F inanihukumu sana hata kama jibu ninalo
 
Huu mjadala uliishje ila nimeamini bongo kwann CCM haitoki madarakani yahn.
 
Back
Top Bottom