RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
- Thread starter
- #20,481
Unakula mileage balaaDom to moro chap! View attachment 2524936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakula mileage balaaDom to moro chap! View attachment 2524936
Nisharudi dom chap!! [emoji3]Unakula mileage balaa
Title ya mwaka huu itakuhusu. Road tripper of the yearNisharudi dom chap!! [emoji3]View attachment 2525488
Madhara ya tailgatingJioni híi maeneo ya dodoma kimeumana bus kapricon na noah! View attachment 2525629
Cresta 100 kitakachotutengsnisha ni kifo.
[emoji23][emoji23]Limenikumbusha letu
Lilizamaga kwenye tope
Mwambie aanze mdogo mdogo anunue kwanza matairiUtanunua kuna GX100 hadi za 2m na zina uwezo wa kupiga trip.
Vasco da gamaNisharudi dom chap!! [emoji3]View attachment 2525488
Huyu alikuwa anapiga sea routes [emoji2]Vasco da gama
Wewe vasco wa nchi kavu[emoji28]Huyu alikuwa anapiga sea routes [emoji2]
Uje na koroshoNdio nalianzisha hapa Masasi muda huu kurudi Dar
Hapo ilikua inatakiwa mfuko wa shati uwe umenonaMkatisha stika kaniboaa
Nimeenda zangu na list ya magari,, kachomoa mpk magari nayo yaende [emoji19]
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kwahiyo wanadhani mtu unaweza katia stika gari iliyolala juu ya mawe?Hapo ilikua inatakiwa mfuko wa shati uwe umenona
Ndio nalianzisha hapa Masasi muda huu kurudi Dar