Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
Sio kwamba jinsia tu ndo inahusika???Naomba siku nikusababishie ili janga 😆
ila faini ya seat belt inazungumzika mbona, ukiikubali we mzembe unless uwe umekutana na traffic kichomi
Hapo alikuonea. Zebra unasimama kama kuna mtu anataka kuvuka.Hela ya zebra inauma sana mkuu.. wakati mwingine unakuta hakuna watu, au kuna mtu mmoja nae hata hasomeki kama anataka kuvuka au lah.. mie kwa mfano issue ilikuwa ni kunyooka tu, pasipo kuangalia pande zote kama kuna mtu anataka kupita
Wa huku dar naona kwa sasa malori na mabasi ya morogoro road yanawatosha.Kama ujenzi wa barabara unaendelea, askari huwa wanavuna vikapu kwa vikapu...[emoji119][emoji119][emoji1][emoji1][emoji119][emoji119]
Nakumbuka upanuzi wa hii barabara ya Arsha kipande cha Tengeru-Sakina....speed limit ilikuwa 40, watu wakiona tochi wanaenda 50.. [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna point askari walikuwa wanaipenda, yaani wanavuna fine za kutosha...
I mean akishindwa kumpanga traffic mpaka aandikiwe chetiUna maana asipotoa rushwa ni mzembe?
Hongera mchuchuRoad trip yangu ilikuwa Dar - Moro, wakati wa Moro - Dar nilirudi na bus.
Nilikuwa na sister, mzigo ulikuwa ni Athlete. I enjoyed the trip.... Crown tamu aisee ile comfortability yake si mchezo, yan sometimes inavutwa mpaka anavuka 140 lakini nafeel kama bado yuko kwa 80. Sis angu akiwa barabarani ni anadrive kama mwanaume, hanaga wasiwasi na traffic kabisa.
Another trip was Dar to Arusha na Kidia one. Ilikuwa Poa kiasi, Shekilango tulitoka 06:00 kufikia saa kumi na dk 29 tulikuwa around Tengeru. Napenda ile view ya Wami, Tanga ile milima, na wapi pale kunakuwaga na mashamba kibao ya katani, Mombo nk
Nimegundua wanawake umri wa kati mnapenda sana Crown!Road trip yangu ilikuwa Dar - Moro, wakati wa Moro - Dar nilirudi na bus.
Nilikuwa na sister, mzigo ulikuwa ni Athlete. I enjoyed the trip.... Crown tamu aisee ile comfortability yake si mchezo, yan sometimes inavutwa mpaka anavuka 140 lakini nafeel kama bado yuko kwa 80. Sis angu akiwa barabarani ni anadrive kama mwanaume, hanaga wasiwasi na traffic kabisa.
Another trip was Dar to Arusha na Kidia one. Ilikuwa Poa kiasi, Shekilango tulitoka 06:00 kufikia saa kumi na dk 29 tulikuwa around Tengeru. Napenda ile view ya Wami, Tanga ile milima, na wapi pale kunakuwaga na mashamba kibao ya katani, Mombo nk
Sidhani. ...Sio kwamba jinsia tu ndo inahusika???
Ukikutana na askari sister du hakuachii wewe
Uchawi ndo unaanzia hapaHela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..
Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...
Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
Crown tamu au nasema uongo Rrondo? 😀😀Nimegundua wanawake umri wa kati mnapenda sana Crown!
Itanibidi nitembee na kamba ya kukufunga kabisaa...Ili ukivua seat belt lamba ibaki..[emoji28][emoji28][emoji28]Naomba siku nikusababishie ili janga [emoji38]
ila faini ya seat belt inazungumzika mbona, ukiikubali we mzembe unless uwe umekutana na traffic kichomi
Ikishafikia point ya kuandikiwa cheti, aisee hicho ni chako..msela anakuacha kama hakujui..[emoji28][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2].. anashuka anakuachia ka msala kako.. noma tupu
Kibongi bongo wanabanana na dereva wanajua ndiyo rahisi kumbana kuliko abiria...Kwani seat belt ni kosa la asievaa au dereva? UK kama asievaa belt kavuka 18yrs anapigwa yeye fine,kama ni underage ndio dereva unawwjibika!
Yes yes mkuu nakubaliana na wewe....askari wa kike balaa....ukikutana na wale wamama wanaokaribia kustaafu, wanakuwa na roho ya kutu sana..Sio kwamba jinsia tu ndo inahusika???
Ukikutana na askari sister du hakuachii wewe
Madereva wakishazoea hiyo 30, askari wanahamisha kibandaWa huku dar naona kwa sasa malori na mabasi ya morogoro road yanawatosha.
Hawafuatilii vibao vya 30, na Mungu awaongoze waendelee hivyo hivyo.
Siku wakiamua kimara-kibaha, mwenge-morocco, kilwa road yani ni vichwa tu
..please weka pic ya sister hapa tumpe credits zake...[emoji28][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji28]Road trip yangu ilikuwa Dar - Moro, wakati wa Moro - Dar nilirudi na bus.
Nilikuwa na sister, mzigo ulikuwa ni Athlete. I enjoyed the trip.... Crown tamu aisee ile comfortability yake si mchezo, yan sometimes inavutwa mpaka anavuka 140 lakini nafeel kama bado yuko kwa 80. Sis angu akiwa barabarani ni anadrive kama mwanaume, hanaga wasiwasi na traffic kabisa.
Another trip was Dar to Arusha na Kidia one. Ilikuwa Poa kiasi, Shekilango tulitoka 06:00 kufikia saa kumi na dk 29 tulikuwa around Tengeru. Napenda ile view ya Wami, Tanga ile milima, na wapi pale kunakuwaga na mashamba kibao ya katani, Mombo nk
Bado nasisitiza...kuna Afande masai akikukamata huna bahatiI mean akishindwa kumpanga traffic mpaka aandikiwe cheti