Unyama mwingi huo, body iko intactChuma inauzwa Extrovert View attachment 2550058
Hii iko kwenye body gani mbona gari kali sana ndani? 🤣Wazee wa 'Road Trip' safari kidogo na 2AZ kifuani uelekeo ni Mwanza kutokea Singida.View attachment 2549154
Eeh si unajua gari ya mdada body haichoki😅😅Unyama mwingi huo, body iko intact
Dah 1GD mpya kabisa yani 2020 ndio imeharibiwa hivi.
Hahahah mdada awez kuendesha mkorosho huo 🤣🤣🤣Eeh si unajua gari ya mdada body haichoki😅😅
Kwa mtaalamu hata ukiwa na laki nane unapata gari 😅😅.. kama hii unajipangia bei.. kuwa na gari siku hizi rahisi sanaHahahah mdada awez kuendesha mkorosho huo 🤣🤣🤣
Kama una hela unajibebea hii kwa million 3 kisha unaiingizia million 5 inakuwa mpya kabisa 😀😀😀 kisha unauza kwa 13M bila aibuKwa mtaalamu hata ukiwa na laki nane unapata gari 😅😅.. kama hii unajipangia bei.. kuwa na gari siku hizi rahisi sanaView attachment 2550098
Mpigie ujipangie bei mzeeKama una hela unajibebea hii unaiingizia million 4 inakuwa mpya kabisa 😀😀😀
Mpigie ujipangie bei mzee
A.c unagandisha mabanz 🤣🤣🤣Hahahahaha kununua gari ya repair siwezi mi nataka ya kuwasha na kuondoka.
AC unaganda hadi unadediA.c unagandisha mabanz 🤣🤣🤣
Aah hahaha gari iligongana na godoroMbele imegusa godoro kidogo
Ya Dubai hii, 🤣🤣🤣
Hii namba mbona haipatikanagi kirahisi😀? Yani ni ngumu sana kuikuta maduka yetu ya jumla kama ilivyo kwa 20w50. Hata hii 5w30 nayo haiko sana madukani.Tumia 5w40.
Ni prado ya 1GD 4000cc sio zile za 2700cc hio.Wachina wanacheza na prado offroadView attachment 2535444
Ya chaka site ni mwendo wa off road tu😅😅😅Ya Dubai hii, 🤣🤣🤣
Hizo zinatosha sana kwa mtu anaekukimbiza kukufikia hasa akiwa na jiko la 350GTAliuwasha sana,though Korogwe nilikaa kama 30-40minutes
350GT moja nyeusi niliiona Coco a couple of days back nikawaza huyu sio ISO M. COdD kweli sema sikukariri nambaHii ndio maana niliweza kukufikia, spidi mnanisingizia
SHACMAN, hivi hili Lorry lina maajabu gani compared to Howo na Faw za mchina?Chombo nimeanza nayo 0 klm
02/02/2023 bd naendeleza kilometres zisome zaidi[emoji847]View attachment 2529348
Hahahah hao ningekuwa nawafuata kimya kimya 🤣🤣🤣 vipi mziki wa LC300 maana natamani sana nikutane nayo in Action.?Sasa kuna convoy jana uliikosa kidogo. Walinipita maeneo ya mkata, nikawakuta wamesimama Kabuku nikapita wakanikuta Korogwe na refill na wao pia.
Mzee kuna 3 RR sporty 2018-20, Kuna RR autobiography mbili 2018-20 kuna mzee wa kazi LC300 moja na LC200 vxr late model mbili. Vijana wadogo sana. Wanakimbia balaa na ving'ora vya mchongo