Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwa mtaalamu hata ukiwa na laki nane unapata gari 😅😅.. kama hii unajipangia bei.. kuwa na gari siku hizi rahisi sanaView attachment 2550098
Kama una hela unajibebea hii kwa million 3 kisha unaiingizia million 5 inakuwa mpya kabisa 😀😀😀 kisha unauza kwa 13M bila aibu
 
Hahahah hao ningekuwa nawafuata kimya kimya 🤣🤣🤣 vipi mziki wa LC300 maana natamani sana nikutane nayo in Action.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…