Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,758
- 26,885
Karibu sana joziMungu niweke hai dream zangu za road trip from Dar es salaam to Johannesburg zitimie.
Mkuu unaonekana mwenyeji sana maeneo ya Sikonge😂😂😂Hapo sikonge kuna matajiri kama watano wanayo toka enzi za miaka ya tisini,wa kwanza kulileta alikuwa Mzee hemmed Nasoro mmiliki wa sabena bus akifuatiwa na wale waarabu wa kule misheni na nakumbuka hata kituo cha FDC walikuwa nayo
Kimtindo,nilisomea elimu ya sekondari huko kwenye miaka ya themaniniMkuu unaonekana mwenyeji sana maeneo ya Sikonge😂😂😂
Karibu sana mitaa yetu
Sawasawa mkuuKimtindo,nilisomea elimu ya sekondari huko kwenye miaka ya themanini
Nimetoka Ifakara leo.wameongeza vipande vidogo vidogo sana.Wakuu Mambo vipi aliepita hivi karibuni road la mikumi hadi ifakara wakemaliza kuweka mkeka au hali ni ileile.
Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app
Ahaa sawa vipi mvua zipo au pakavu.Nimetoka Ifakara leo.wameongeza vipande vidogo vidogo sana.
Kuna vipande imenyesha lakini hakuna athariAhaa sawa vipi mvua zipo au pakavu.
Asante mkuu kwa infoKuna vipande imenyesha lakini hakuna athari
Kama sikosei, kuna fortuner zina 1GR-fe v6 petrol engine, ni moto [emoji91]Aisee wakuu jamaa mwenye fortuner 2015 nyeusi kama yupo humu respect kwake sijui ana engine gani jamaa kama anapaa.[emoji114]
Nadhani ndio nilio kutana nayo juzi.Kama sikosei, kuna fortuner zina 1GR-fe v6 petrol engine, ni moto [emoji91]
KIBOKO WEWE; UNA ARRIVE NA FULL TANK 😄😄😄😄😄😄Safely arrived.View attachment 2634421
Kama sikosei, kuna fortuner zina 1GR-fe v6 petrol engine, ni moto [emoji91]
Ilikuwa ni kwenda na kugeuza mkuu, so nilipofika tu dar nikajaza tena full tank kwa ajili ya mizunguko ya mjini plus kurudi. Picha nilipiga purposely ku-note mileage kwenye dashboard.KIBOKO WEWE; UNA ARRIVE NA FULL TANK [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]