Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kuna pikipiki zinakimbia aiseee. Kuna siku natokea Singida, tulivyofika maeneo ya karibia na chalinze ilikuja pikipiki nyuma wala sio kubwa sana ilitukata tukiwa 150, mbele kulikuwa na crown, akamkata na yule mwenye crown taratibu kama masihara maana ilikuwa ni sehemu barabara imenyooka. Gari zima tukabaki tunacheka[emoji16][emoji16]. Yule mwamba hata sijui pikipiki gani ile alikuwa anapepea tu.
Ha ha kuna mwamba nae alinikata nikiwa na crown afu anakupita smooth yani kama tunavyopishana huku mjini baada ya dk chache akapotea kabisa kwenye upeo wa macho yangu... Ile bike ni BMW sijui model yake piki piki kubwa sana
 
Wale wazee wa kula vichwa kuna ujumbe hapa
Screenshot_2023-06-16-21-35-35-07.jpg
 
vipuri sio ghalama sana ila kwenye kuinunua ndo balaa hiyo 1200gs ni almost 35 millions tsh used ndo unapata kwenye 25m Hivi

Ukipata brand new kwa 35m usiikimbilie kununua it must have some issues. Brand new before tax and freight ni kuanzia $19500 eguivalrnt to Tzs 45m ukiweka kodi na usafirishaji inakuja kwenye 60m,
Hizo 16-18m zitakuwa zimetembea sana 30000km plus.
 
Kuna pikipiki zinakimbia aiseee. Kuna siku natokea Singida, tulivyofika maeneo ya karibia na chalinze ilikuja pikipiki nyuma wala sio kubwa sana ilitukata tukiwa 150, mbele kulikuwa na crown, akamkata na yule mwenye crown taratibu kama masihara maana ilikuwa ni sehemu barabara imenyooka. Gari zima tukabaki tunacheka[emoji16][emoji16]. Yule mwamba hata sijui pikipiki gani ile alikuwa anapepea tu.
Kuna pikipiki inaitwa sinoray ina cc 180 ile ngoma kugusa speed 200 ni kawaida kwa sasa ukitoa hizi cc200 na 250 sinoray za kichina zina habari nyingine na ukiziona zina muundo kama wa fekon haojue au kinglion ila ni habari nyingine ndio zinawamaliza watoto wa arusha kwa mambio
 
Kuna pikipiki inaitwa sinoray ina cc 180 ile ngoma kugusa speed 200 ni kawaida kwa sasa ukitoa hizi cc200 na 250 sinoray za kichina zina habari nyingine na ukiziona zina muundo kama wa fekon haojue au kinglion ila ni habari nyingine ndio zinawamaliza watoto wa arusha kwa mambio
Ila kwangu Mimi pikipiki hata iwe na speed 500 kama Haina rejeta siwezi kwenda nayo mbali mfano dar/mbeya non stop.
 
Back
Top Bottom