Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
Wewe dawa yako ni kukuwekea mizigo siti ya nyuma, then ukikaa mbele break zinakua zakutosha kwenye mbali mfupi mfupiMimi nikipanda cha kwanza ni kukunjua seat, kama ni lift sijamzoea dereva uwa nakaa nyuma. mkanda sio kipaumbele mpaka nikumbushwe. Nina balaa basi tu
Crown ipo, vits new model ipo tena inapiga alarm vibaya mno.mimi nikifunga mkanda ndo najiona nipo vizuri, nisipofunga najiona naelea kwenye kiti.
Belt ya abiria ina taa yake, inablink kwa sifa kwa hiyo nafanyaga kuwaonesha hiyo taa tu
Hamjui tu vile seat belt zinavyotuumiza manyonyo 😂😂Wewe dawa yako ni kukuwekea mizigo siti ya nyuma, then ukikaa mbele break zinakua zakutosha kwenye mbali mfupi mfupi
DaaaaahHamjui tu vile seat belt zinavyotuumiza manyonyo 😂😂
Hiyo mizigo huko nyuma nitahakikisha naipanga vyema ili nafasi yangu ipatikane.
Alijua akifika nitaanza kulia, au nitakimbilia kumpa ya kiwi, huwa naziweka hela pale mbele mda mwingi huwa nakuwa mwenyewe nadra sana kunikuta na mtu kwenye gari, alipofika nikashusha kioo, akawa anatazama zile huku anacheka cheka, akazunguka gari akarudi namtazama tu 😀😀😀.. ndio akaanzisha hilo.. nikamuambia sawa andika tu, nikampa leseni .. akaandika bado anajichekesha huyo nikasepa.. ila roho iliniuma sana.. nilijua ananione kabisa na sikutaka ligi naeHapo alikuonea. Zebra unasimama kama kuna mtu anataka kuvuka.
Hiyo hutokea chief... ukiweke wese mshare kama haupandi au zile km. Unaizima kwanza gari. Mie imeisha nitokea hiyo.. na ndicho nilichofanyaDuh leo nimetenda dhambi roho imeniuma sana. Nilikuwa na gari sijaizoe. Taa ya mafuta imewaka range inanionesha nina km20 tu. Nikaamua niweke mafuta ya kunifikisha home tu nikaweka 10,000 nilijua itaongeza range hadi km60 hivi. Baada ya kuweka mshale haukusogea wala range haikubadilika. Nikaenda ninapoenda range inashuka.
Kurudi nikapita njia ile ile range iko 14, nikapita pale kituo cha mafuta nikamwambia Yule dada nimeweka mafuta hapa kwako lakini gauge haikupanda wala kuonesha kuna mafuta yameingia, umeniibia! Dada Yule akasema sijakuibia nimekuwekea hela ulionipa nikamwambia haiwezekani kusiwe na mabadiliko kwenye gauge, ikabidi niende kituo kingine nikaweka 10, aisee gauge ikakurupuka ikapanda sana na range ikaja kwenye 110km. Hapo nikajua ni kweli aliweka mafuta nimemsingizia tu. Nimejisikia vibaya sana.
Usijali kabisaa, pop corn najua hazitakosekana...[emoji1]Kombe lenyewe baya!!
Ikitimia nambie niandae bites na mivinyo
....usijali nitakupeleka hospitali..[emoji119][emoji119]Hamjui tu vile seat belt zinavyotuumiza manyonyo [emoji23][emoji23]
Hiyo mizigo huko nyuma nitahakikisha naipanga vyema ili nafasi yangu ipatikane.
Binafsi niseme tu kifupi-Speed ni hatari sana kwetu sisi sote.Ajali zinaongoza kwa kutumaliza sisi vijana kila kukisha bila sababu za msingi.Binafsi naamini kama advisable speed sehemu nyingi duniani ni kati ya 80-100kph,basi ni matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya usalama wa driving na ikapendekezwa hvyo.Bora tuchezee hapa kuwalinda na wengineo.Road trip yangu ilikuwa Dar - Moro, wakati wa Moro - Dar nilirudi na bus.
Nilikuwa na sister, mzigo ulikuwa ni Athlete. I enjoyed the trip.... Crown tamu aisee ile comfortability yake si mchezo, yan sometimes inavutwa mpaka anavuka 140 lakini nafeel kama bado yuko kwa 80. Sis angu akiwa barabarani ni anadrive kama mwanaume, hanaga wasiwasi na traffic kabisa.
Another trip was Dar to Arusha na Kidia one. Ilikuwa Poa kiasi, Shekilango tulitoka 06:00 kufikia saa kumi na dk 29 tulikuwa around Tengeru. Napenda ile view ya Wami, Tanga ile milima, na wapi pale kunakuwaga na mashamba kibao ya katani, Mombo nk
Tandale ni mfano mmojawapo wa kutuonyesha kwamba reckless driving is dangerous.Binafsi niseme tu kifupi-Speed ni hatari sana kwetu sisi sote.Ajali zinaongoza kwa kutumaliza sisi vijana kila kukisha bila sababu za msingi.Binafsi naamini kama advisable speed sehemu nyingi duniani ni kati ya 80-100kph,basi ni matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya usalama wa driving na ikapendekezwa hvyo.Bora tuchezee hapa kuwalinda na wengineo.
Nikionaga picha zako kule selfika nakumbuka enzi zangu napuyanga kwenye Motoways! Nilikula ban miezi 6 nilipita kwenye construction zone yenye limit 50mph. Mimi nilipita na 100mph(makosa mawili hapa kwasababu speed limit ni 70mph). Ilikuwa north huko sikumbuki ni M ngapi ila ilikuwa natoka M6 Birminngham on my way to catch M56 naelekea Manchester. Nilikutana na bahasha ya kaki baada ya siku tatu, aidha nikubali kuwa ni mimi nilikuwa naendesha au niende mahakamani kujitete, nilikubali nikapigwa hio ban na faini £200.Nafurahia komentsi tu.
Wala nisiwe muongo,ni ngumu sana kwangu kuendesha gari chini ya 140kph, labda kwenye limit nafuata ili limit ikiisha Mungu anilinde tu.Binafsi niseme tu kifupi-Speed ni hatari sana kwetu sisi sote.Ajali zinaongoza kwa kutumaliza sisi vijana kila kukisha bila sababu za msingi.Binafsi naamini kama advisable speed sehemu nyingi duniani ni kati ya 80-100kph,basi ni matokeo ya tafiti mbalimbali juu ya usalama wa driving na ikapendekezwa hvyo.Bora tuchezee hapa kuwalinda na wengineo.
Kuna magari mengi sana pembezoni mwa barabara yaliyopata ajali sehemu mbalimbali.Kivipi?
Dahhh,ukiona bahasha la kaki tu unawaza bill au fine mzee Baba.Nikionaga picha zako kule selfika nakumbuka enzi zangu napuyanga kwenye Motoways! Nilikula ban miezi 6 nilipita kwenye construction zone yenye limit 50mph. Mimi nilipita na 100mph(makosa mawili hapa kwasababu speed limit ni 70mph). Ilikuwa north huko sikumbuki ni M ngapi ila ilikuwa natoka M6 Birminngham on my way to catch M56 naelekea Manchester. Nilikutana na bahasha ya kaki baada ya siku tatu, aidha nikubali kuwa ni mimi nilikuwa naendesha au niende mahakamani kujitete, nilikubali nikapigwa hio ban na faini £200.
Seat belt ni lazima ukipanda gari langu.Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..
Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...
Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."