Mdogo wangu pia anauza hayo mapikipiki ya hivyo. Ma BMW na Kawasaki huwa anayo na bei zake ni around 16-18Mvipuri sio ghalama sana ila kwenye kuinunua ndo balaa hiyo 1200gs ni almost 35 millions tsh used ndo unapata kwenye 25m Hivi
Yes used ndo zinasimamia humo Kuna bmw Moja ilipostiwa mahali Fulani watu wakawa wanashangaaa kwanini inalingana bei na klugger[emoji23] wabongo wanashangaaMdogo wangu pia anauza hayo mapikipiki ya hivyo. Ma BMW na Kawasaki huwa anayo na bei zake ni around 16-18M
Hii gari gan mkuu, voltz?Uelekeo nyanda za juu kusini.View attachment 2652142
Ha ha kuna mwamba nae alinikata nikiwa na crown afu anakupita smooth yani kama tunavyopishana huku mjini baada ya dk chache akapotea kabisa kwenye upeo wa macho yangu... Ile bike ni BMW sijui model yake piki piki kubwa sanaKuna pikipiki zinakimbia aiseee. Kuna siku natokea Singida, tulivyofika maeneo ya karibia na chalinze ilikuja pikipiki nyuma wala sio kubwa sana ilitukata tukiwa 150, mbele kulikuwa na crown, akamkata na yule mwenye crown taratibu kama masihara maana ilikuwa ni sehemu barabara imenyooka. Gari zima tukabaki tunacheka[emoji16][emoji16]. Yule mwamba hata sijui pikipiki gani ile alikuwa anapepea tu.
Kilitime. Rav 4 2nd generationHii gari gan mkuu, voltz?
Watu wanajiweza sana, hapo unakuta bike ipo 200km/hr mwamba katulia tu!Ha ha kuna mwamba nae alinikata nikiwa na crown afu anakupita smooth yani kama tunavyopishana huku mjini baada ya dk chache akapotea kabisa kwenye upeo wa macho yangu... Ile bike ni BMW sijui model yake piki piki kubwa sana
wakati kwnye sinoray ukifika 100kmps unafumba macho daahWatu wanajiweza sana, hapo unakuta bike ipo 200km/hr mwamba katulia tu!
Kwanza pikipiki yote inatetemeka hata haituliiwakati kwnye sinoray ukifika 100kmps unafumba macho daah
Ongezea nyama mkuu, ilikuwaje?😂😂😂Aisee wakuu jamaa mwenye fortuner 2015 nyeusi kama yupo humu respect kwake sijui ana engine gani jamaa kama anapaa.[emoji114]
vipuri sio ghalama sana ila kwenye kuinunua ndo balaa hiyo 1200gs ni almost 35 millions tsh used ndo unapata kwenye 25m Hivi
hvi huku kwnye pikipiki ni vipuri gharama kma kwnye magari yao??
bike gani mkuu unatumia?
[emoji16][emoji23][emoji23] au ndio wewe niniOngezea nyama mkuu, ilikuwaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Bei ya discovery 3 kabisa hiyo au 4 kabisaUkipata brand new kwa 35m usiikimbilie kununua it must have some issues. Brand new before tax and freight ni kuanzia $19500 eguivalrnt to Tzs 45m ukiweka kodi na usafirishaji inakuja kwenye 60m,
Hizo 16-18m zitakuwa zimetembea sana 30000km plus.
Jamaaa alipita kama sijui kimbunga kwa mwendo ule japo wengi tunapenda kibati halafu Usiku labda niboost kinywaji ndo utembeee vile[emoji16]Ongezea nyama mkuu, ilikuwaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana, sio mimi aise[emoji16][emoji23][emoji23] au ndio wewe nini
Sawa sawaHapana, sio mimi aise
Kuna pikipiki inaitwa sinoray ina cc 180 ile ngoma kugusa speed 200 ni kawaida kwa sasa ukitoa hizi cc200 na 250 sinoray za kichina zina habari nyingine na ukiziona zina muundo kama wa fekon haojue au kinglion ila ni habari nyingine ndio zinawamaliza watoto wa arusha kwa mambioKuna pikipiki zinakimbia aiseee. Kuna siku natokea Singida, tulivyofika maeneo ya karibia na chalinze ilikuja pikipiki nyuma wala sio kubwa sana ilitukata tukiwa 150, mbele kulikuwa na crown, akamkata na yule mwenye crown taratibu kama masihara maana ilikuwa ni sehemu barabara imenyooka. Gari zima tukabaki tunacheka[emoji16][emoji16]. Yule mwamba hata sijui pikipiki gani ile alikuwa anapepea tu.
Ila kwangu Mimi pikipiki hata iwe na speed 500 kama Haina rejeta siwezi kwenda nayo mbali mfano dar/mbeya non stop.Kuna pikipiki inaitwa sinoray ina cc 180 ile ngoma kugusa speed 200 ni kawaida kwa sasa ukitoa hizi cc200 na 250 sinoray za kichina zina habari nyingine na ukiziona zina muundo kama wa fekon haojue au kinglion ila ni habari nyingine ndio zinawamaliza watoto wa arusha kwa mambio