Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea

1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa

2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi

Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
Acha kuendesha ukiwa umelewa, hamna umwamba kwenye kuendesha gari huku umelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea

1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa

2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi

Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
Je katika hiyo mizinga ulikuwa nduki kichwani au fresh???
 
Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea

1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa

2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi

Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371

Mkuu pole sana
 
Why do you have to be so self-righteous and judgemental?
sasa kuna sababu gani ya kuendesha gari huku umelewa huoni unahatarisha maisha yako na watumiaji wengine wa barabara.

adhabu ya kuendesha huku umelewa inatakiwa iwe laki 300 kwa kosa la kwanza la pili 600k latatu 2m na jela miezi 2 mwezi wa mwisho akafanye kazi mochwari kitengo cha ajali barabarani
 
Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea

1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa

2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi

Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371

Pole sana.
 
sasa kuna sababu gani ya kuendesha gari huku umelewa huoni unahatarisha maisha yako na watumiaji wengine wa barabara.

adhabu ya kuendesha huku umelewa inatakiwa iwe laki 300 kwa kosa la kwanza la pili 600k latatu 2m na jela miezi 2 mwezi wa mwisho akafanye kazi mochwari kitengo cha ajali barabarani
Duuh nilidhani nimesikia kila kitu, kumbe mpaka mochwari nako kuna vitengo mkuu, kwamba maiti zinatengwa kulingana na vyanzo vya vifo vyao
 
Back
Top Bottom