Asante sana chiefpole sn mkuu!
Acha kuendesha ukiwa umelewa, hamna umwamba kwenye kuendesha gari huku umelewaMwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea
1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa
2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi
Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
Je katika hiyo mizinga ulikuwa nduki kichwani au fresh???Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea
1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa
2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi
Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
Sikatai mkuu, na nimeamua kuwa makini kwa sasa, nitakunywa karibu na nyumbaniAcha kuendesha ukiwa umelewa, hamna umwamba kwenye kuendesha gari huku umelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu wa pili nilikuwa nipo maji kiasi siyo sana, wa kwanza sikuwa nimekunywa kabisa ila nilikuwa ninakimbia katika akili yangu ya kawaida kabisaJe katika hiyo mizinga ulikuwa nduki kichwani au fresh???
Basi ni bahati mbaya inatokeaga ila ni hatari kunywa halafu ukaingia road.Huu wa pili nilikuwa nipo maji kiasi siyo sana, wa kwanza sikuwa nimekunywa kabisa ila nilikuwa ninakimbia katika akili yangu ya kawaida kabisa
Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea
1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa
2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi
Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
Acha kuendesha ukiwa umelewa, hamna umwamba kwenye kuendesha gari huku umelewa
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kuna sababu gani ya kuendesha gari huku umelewa huoni unahatarisha maisha yako na watumiaji wengine wa barabara.Why do you have to be so self-righteous and judgemental?
Sawa mkuusasa kuna sababu gani ya kuendesha gari huku umelewa huoni unahatarisha maisha yako na watumiaji wengine wa barabara.
adhabu ya kuendesha huku umelewa inatakiwa iwe laki 300 kwa kosa la kwanza la pili 600k latatu 2m na jela miezi 2 mwezi wa mwisho akafanye kazi mochwari kitengo cha ajali barabarani
Mwezi wa 5, ulikuwa mbaya sana kwangu nilikula mizinga miwili japo haikuwa mikubwa sana ila chochote kingeweza kutokea
1. Saa 8 usiku nikirudi home, kuna jamaa alikuwa na subaru alinichomekea maeneo africana baada ya kutaka ku overtake mbele akakutana la lorry limeharibika ikabidi arudi kulia nilipokuwa nikamkwepa kidogo, shughuli ikaishia hapo maana niligonga kerb nikavunja rim, kiufupi gari chini kote imebidi kubadilishe. Kiufupi hata mimi nilikuwa kibati hapa Mungu kaniokoa
2. Siku ya fainali ya yanga, nimechek game wakati nikiwa narudi home, sijui hata ilikuaje nilikuwa naongea na simu nikajikuta nimeingia nyuma ya excavator sijui hata lilikuwa linafanya nini barabarani mda huo, japo kukosa umakini kwangu kulichangia na nilikuwa nimeshapiga vyombo kiasi
Ila ninamshuku Mungu nipo salama japo hii ajali ya pili ilitikisa mwili kiasi mpaka sasa hivi nina maumivu maeneo ya bega.View attachment 2668370View attachment 2668371
Duuh nilidhani nimesikia kila kitu, kumbe mpaka mochwari nako kuna vitengo mkuu, kwamba maiti zinatengwa kulingana na vyanzo vya vifo vyaosasa kuna sababu gani ya kuendesha gari huku umelewa huoni unahatarisha maisha yako na watumiaji wengine wa barabara.
adhabu ya kuendesha huku umelewa inatakiwa iwe laki 300 kwa kosa la kwanza la pili 600k latatu 2m na jela miezi 2 mwezi wa mwisho akafanye kazi mochwari kitengo cha ajali barabarani
Asante sana mkuuMkuu pole sana
Inaweza mzee vizuri kabisaHiyo iko vizuri utatoboa bila shida na barabara ni nzuri
hebu tupe basic features za pikipiki za masafa marefu kma hyo mikoa uliyoitaja mkuu.Ila kwangu Mimi pikipiki hata iwe na speed 500 kama Haina rejeta siwezi kwenda nayo mbali mfano dar/mbeya non stop.
Pikipiki nayo hiitaji at least iwe nahebu tupe basic features za pikipiki za masafa marefu kma hyo mikoa uliyoitaja mkuu.
Pikipiki nayo hiitaji at least iwe na
Engine cc 600 4stroke liquid cooled
Transmission 6speed
Power 75hp
Weight 437lbs (198kg)
Ambayo inauwezo wa kwenda 180km/h