Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?


Mkuu mazda cx-5 2.2L inakupa 5km/L + iSTOP

Ntakuwa wa mwisho kuamini hili[emoji2305]
 
Mkuu mazda cx-5 2.2L inakupa 5km/L + iSTOP

Ntakuwa wa mwisho kuamini hili[emoji2305]
Ni Mazda 6 sema same engine na CX 5. Average tokea Ubungo (nili reset) hadi Mombo ilikua 26 kpl. Nilivo anza kupanda mlima average imeshuka hadi 15kpl.

Hiyo 5kpl ilikua ni live consumption, sio average. Yaan pale unavokanyaga inakua inakuandikia kwamba this second unatumia mafuta hivi kwa lita.

Ukiwa unashuka mlima inaandika hadi 60kpl.

Nitajaribu kupiga pic nitashare.
 

Ahaaa kwa live consumption sawa

Hongeraa sana chuma kalii, enjoy skyActiv

Vp swala DPF umesolve vp mkuu,?
 
Hiki kidashbod cha passo kama sio ractis 🤣 kuwa makini mkuu.
 
Nimekamirisha safari



Mafuta ya 240,000/= Diesel
Gari cc 2,200

Nilichojifunza:
(1) Kama unapenda kuendesha, make sure una company.
(2) Endesha sana usiku. Pametulia sana.
(3) Ukifika kwenye mji zurura na baiskeli, bajaji, boda au ya miguu gari park. Itasevu wese sana.
(4) Kunywa sana maji. Huwezi sinzia ukiwa na mkojo.
(5) Cruise control ni life saver.
(6) Speed ya 70-80 kph ndio nzuri kwa kutunza mafuta.
 

Yangu November ntachukua ushauri

Dsm-Moshi-kahama -mwanza-Dsm
 
Wazee mpo! Leo Nina trip ndefu sana. Tayari nimeanza mda huu kutokea Ubungo kuelekea Bukoba.

Nitawapatieni updates. Sala zenu wakuu

Update:

Saa5:03 Msamvu. Hapa nina notification moja ya ku overtake, nurse amegoma kula buku2 akaandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…