View attachment 2708211
Nilianza hapa Total Shekirango, Alhamis saa 5 usiku, sahivi nipo Lushoto.
Kuanzia Mombo hadi Lushoto pamekula sana wese langu. Huu mlima consumption inashuka sana hadi 5km/L (Live consumption) ime affect average.
Nilifika Korogwe nikaongeza Lita 6 ya 20K, (PS: Diesel Engine) mida ya saa 12 asubuhi.
View attachment 2708214
Sipeleki. Moto. Kabisa. Nipo slow.
Ni Mazda 6 sema same engine na CX 5. Average tokea Ubungo (nili reset) hadi Mombo ilikua 26 kpl. Nilivo anza kupanda mlima average imeshuka hadi 15kpl.Mkuu mazda cx-5 2.2L inakupa 5km/L + iSTOP
Ntakuwa wa mwisho kuamini hili[emoji2305]
Ni Mazda broUnatumia gari gani mkuu picha hazifunguki kwangu
Mchawi mlima. Ila hadi Korogwe nilikua na average ya 26.Na lita ngapi inaenda hap??
Ni Mazda 6 sema same engine na CX 5. Average tokea Ubungo (nili reset) hadi Mombo ilikua 26 kpl. Nilivo anza kupanda mlima average imeshuka hadi 15kpl.
Hiyo 5kpl ilikua ni live consumption, sio average. Yaan pale unavokanyaga inakua inakuandikia kwamba this second unatumia mafuta hivi kwa lita.
Ukiwa unashuka mlima inaandika hadi 60kpl.
Nitajaribu kupiga pic nitashare.
Hiki kidashbod cha passo kama sio ractis 🤣 kuwa makini mkuu.Kwa injini hiyo hiyo niliweka full tank Puma mwenge 33l nimefika nayo Arusha na kuzunguka kidogo mpaka taa imekuja kuwaka ilikua 621km.
Juzi kuamkia jana nikaweka hizo hizo zimenifikisha Dar na bado ninayo. Na hapo kati nilikilmbizana mnoo na LC 300 kwanzia mwanga mpaka mombo. Ashukuriwe huyo mwenye LC na king’ora chake T*** AQM mlinichangamsha naimani na nyinyi mlichangamka kama mpo humu japo sio kiushindani. Kwahiyo kama gari yako iko na service nzuri naimani around 60lit zina kufikisha. Jitahidi kama una uwezo sehemu kubwa ya safari yako iwe usiku. Dar-Arus-Dar nimetumia 221000. Hiyo buku nilimpq afande ya kahawa sikua na kosa nikaona nimtoe. Iliyobaki ni mafuta. Nilisimama mara chache kuchimba dawa. Niliondoka puma mwenge saa 10:47 usiku nilifika Mianzini saa 6:30 asubuhi. View attachment 2695373
Naona Brevoo yuko tayari kwa ligi 🤣Hakuna namna zaidi ya kukipokea tu.View attachment 2707575
Noma mkuu. [emoji1787]Naona Brevoo yuko tayari kwa ligi [emoji1787]
Nilitaka delete sijapata mtaalamu bado. Kwahiyo sasa kila weekend moja au mbili naipigisha masafa, Moro au Bagamoyo.Ahaaa kwa live consumption sawa
Hongeraa sana chuma kalii, enjoy skyActiv
Vp swala DPF umesolve vp mkuu,?
Hapa ndio natoka Lushoto.Ahaaa kwa live consumption sawa
Hongeraa sana chuma kalii, enjoy skyActiv
Vp swala DPF umesolve vp mkuu,?
Hiki kidashbod cha passo kama sio ractis [emoji1787] kuwa makini mkuu.
Hii ni chuma gani mkuuHapa ndio natoka Lushoto.
View attachment 2710116
Consumption ya mlimani Live hii hapa
View attachment 2710117
Lakini ikaja mteremkoni hii hapa hadi 60.
View attachment 2710119
Ila average ni 22 sahivi.
View attachment 2710122
Mazda broHii ni chuma gani mkuu
Cx5 ? Deasel au petrolMazda bro
Diesel ⛽Cx5 ? Deasel au petrol
[emoji114][emoji114] chuma imesimama aiseeeDiesel [emoji618]
6
Nimekamirisha safari
View attachment 2712544
Mafuta ya 240,000/= Diesel
Gari cc 2,200
Nilichojifunza:
(1) Kama unapenda kuendesha, make sure una company.
(2) Endesha sana usiku. Pametulia sana.
(3) Ukifika kwenye mji zurura na baiskeli, bajaji, boda au ya miguu gari park. Itasevu wese sana.
(4) Kunywa sana maji. Huwezi sinzia ukiwa na mkojo.
(5) Cruise control ni life saver.
(6) Speed ya 70-80 kph ndio nzuri kwa kutunza mafuta.
Kama utafka mpaka Karagwe tuonane tupige hata kapicha bossWazee mpo! Leo Nina trip ndefu sana. Tayari nimeanza mda huu kutokea Ubungo kuelekea Bukoba.
Nitawapatieni updates. Sala zenu wakuu