Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,697
- 15,497
Sana, Kwa kwenda na familia MTU mmoja ni 90000...hivyo kwenda tu ningeingia mfukoni 450,000/-Mafuta 224,000/= budget nzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana, Kwa kwenda na familia MTU mmoja ni 90000...hivyo kwenda tu ningeingia mfukoni 450,000/-Mafuta 224,000/= budget nzuri
Yes... nilikosea mkuu, ni Mark II Grandè hiyo.Hio dash mbona kama ya Mark 2 hivi
Mapopo hamlali
Mungu awatangulie Mkuu!Ngoja niweke kabegi kwa buti kwanza. RRONDO View attachment 2862807
😂😂 nimetokea nyumbani kwa mama Depo, sina kitu oote kwenye chupa leo.Mapopo hamlali
Aisee
Usiku
Ngoja nitajaribu siku.
Amen mkuu 🙏 ahsanteMungu awatangulie Mkuu!
Hivi unakuja vipi mjini bila kutuona wazee wa Dar? Sasa Wavuvi kempu ulifikaje?Ngoja niweke kabegi kwa buti kwanza. RRONDO View attachment 2862807
😂😂 nimetokea nyumbani kwa mama Depo, sina kitu oote kwenye chupa leo.
Bus za usiku ziko poa… Tilisho na BM wako vizuri zaidi
Uchaguzi wa magariNini kinakuzuia?
NililalaSema mimi kwenye bus sijuagi kulala kwa mpangilio
Yaani naweza hata nikadondoka ama nikamlalia jirani
Kutuliza komwe kwenye seat siwezi.
Safari njema..Mama Depo atakumiss😂, angalau amekomesha ulevi.
🤣🤣🤣 next time nitawacall mnipeleke Barra beachHivi unakuja vipi mjini bila kutuona wazee wa Dar? Sasa Wavuvi kempu ulifikaje?
Hapana labda kwa kusikia.Pole, imekuwaje mbona Vanguard ni reliable sana?
Aikoooh! Nitakuwa nasafiri night na hater wangu. full ma*** upoo?Nilifika salama, na hapa naingia kulala. Saint Anne
Tulipata jaribio kidogo, kuna raia wanachomekea vibaya kama hawana macho yan.
Kuna mama alikuwa mkali, anasema funguo mlango tuwachape makofi 😆😆
Mpaji Mungu ndugu zako kina Shirima mbona walevi hivi mpaka asubuhi 😂
Yote kwa yote night trip ni nzuri kama hauko kwenye usukani na kama hauna kazi ya kumuongelesha dereva ili asije kusinzia.
Ni music + usingizi murua