Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wewe ni mtu na nusu, huwa unanikosha kwa ucheshi wako.

Saa nyingine mtu anaugusa moyo tu kwa mwandiko🤣🤣

Wewe ni mtu wa maana sana, Mungu akutunze huko uliko mamy

Weeweee.... mwendhako hado nimejikuta nang'ata kucha eehehehe🙈🙈🙈🙈

Kusifiwa kutamuuu karibia na utamu wenyewee eehehehhe...

Wacha nikupe hii picha taswira, kwa uchache nafahamu wanaume ama mwanaume akikutana na mwanamke yule amemvutia ama amefanya akahisi cheche kwenye mwili wake kuna maeneo ya mwili ya huyo mwanaume huinuka ama kusimama ama kufanya movement flani hivii amazing eeheheheheee....

Sass hizo sifa zako zimenifanya uso umenyooka tabasamu pevuu kunyanzi kuleee utasema binti wa 20s kumbeee.....😅😅😅😅.

Jokes aside, I humbly appreciate your compliments 🥰.

Kasinde.
 
Oooh sawa, mto bubu huwa ni hatari sana wakati wa masika, magari huishia kila upande na watu kuvushwa mgongoni...je deraja limejengwa?
Ni kweli kabisaa. Hilo eneo ni hatari mno unaweza kunasa wakati hakuna maji. Wanasema unaitwa bubu kwasababu maji yake huwa yanakuja kimya kimya tu. Hakuna daraja.
 

Attachments

  • IMG_0713.jpeg
    520.9 KB · Views: 12
  • IMG_0732.jpeg
    401.2 KB · Views: 10
Ni kweli kabisaa. Hilo eneo ni hatari mno unaweza kunasa wakati hakuna maji. Wanasema unaitwa bubu kwasababu maji yake huwa yanakuja kimya kimya tu. Hakuna daraja.
Ni mto hatari sana, uliwahi kutesa watu sana kipindi cha Elnino.

Huo mto unakatisha hadi barabara ya Dom/Moro/Dar
 

HOWO yupo vizuri sana, ana magari ya kila aina kuanzia Bus, Van ,SUV, UTE
 
Ni mulemule petrol ila kapunguza ukubwa ni 3.5 v6, tatz lingine miguu ya nyuma kaweka independent axle kama gari za wazungu, ile chuma inapendeza iendelee na solid/rigid axle
Kubwa na option ya Diesel ni muhimu kwenye gari ya masafa. It is the best option for long distance driving. Sijui wanalenga market gani na petrol only.
 
Mkifika Lushoto let me know, nipo huku milimani
 

Attachments

  • 17323519226916474616662607690271.jpg
    1.1 MB · Views: 12
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…