Kuna moja kama mnazunguka kimlima hivi 😀 dah!Kuna kale ka kipande ka kutoka babati unaitafta kondoa...
Long way back nilipitaga asubuhi na kulikua na ukungu dah....
Best moment ever...
Na slow songs zangu
Na vile vikonakona mpaka unajiskia upo duniani😂
Pale pale sasa mimi nilipita asubuhi kuna ukungu na kamvua mvua flani kadogo hivi ka kishkaji...kuna pale kwenye mlima unavoshuka upande wa kulia kwako unaona barabara kwa mbele kule....chini unapoelekea dahKuna moja kama mnazunguka kimlima hivi 😀 dah!
Subaru foresterHii gari gani?
Ukitokea wapi???Wewe unanishawishi nipite hio njia. December hii nilipanga nipite huko to Arusha nikapata uvivu!
Kweli kabisa upo sawa. Mungu hututangulia na kutulinda. Ni vile hatujui saa wala dakika yetuAjali sometimes huwa inatokeaga in a single day,na hiyo single day wengi wetu ndo hatuijui.Hizi sheria za barabarani zinakuwa updated kila kukicha ili kutukinga na madhila yanayowapata wengine sehemu mbalimbali duniani yasitupate na sisi.Hata hapa forum-nikimsikia mtu anatoa experience yake ya ajali during driving huwa naichukulia serious mno,very serious kwelikwel na kuchukua hatua binafsi ili na mimi changamoto hyo niiepuke.Ni bahati kubwa sana kuinteract na anaye survive ajali na sisi kupata elimu kutoka kwake manake anatuokoa na mengi.
* Kikubwa tuepuke udereva wa mazoea.Ex-Magari ya Magazeti huwa tunayasifia kwa haraka na umakini wa dereva lakini huwa wakipata deadly accident kutokana na mwendo tunashikaga vichwa.Dereva ili uwe salama lazima ukubali kujifunza kila siku.
2011 SUBARU FORESTER 2.5XTForester ya wapi ina kisahani cha 240?
petrol engine with turbo2011 SUBARU FORESTER 2.5XT
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji38][emoji28]*****!Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..
Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...
Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
XT kuna 2.0L Turbo.Forester XT zote ni 2.5 Turbo?
Ni kweli ht mm 1 day nimetoka dom naenda mbeya ucku saa 3 pale mtera nilimkuta punda kati kati ya barabara na kaganda km sanam ikabidi nipite pemben tu!Inashangaza sana!
Labda joto la lami usiku!
Labda faragha!
Inabakia labda tu...
Lakini si binadamu pekee.. hata punda na mbuzi baadhi ya vijiji, halafu punda wao hawakwepi magari!
Aiseee.Kuna Siku nilihesabu nilipata matuta 232 ,
Usiku ni michosho sana aisee.Tatizo nakimbia sana, usiku siwezi kuona umbali mrefu. Naogopa vicheche nisije kukutana nacho kwenye Kona au Mlima nikiwa 170! Nishapiga trip za usiku ila inachosha. Unapishana na gari then huoni kwa sekunde kadhaa ni hatari.