Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Kwa mimi sasa hivi mtu ambae anapenda kudrive barabara nzuri

Kwa top ten yangu nai rank barabara ya dom to iringa ndo kali zaidi
Dah kwa wale wapenda konakona

Ila kwa barabara bora zaidi tz niliodrive kuna dar _kyela
Hio inamchanganyiko wa kila kitu wa straights kona na makila kitu....
Hadi maandhari
 
Ajali sometimes huwa inatokeaga in a single day,na hiyo single day wengi wetu ndo hatuijui.Hizi sheria za barabarani zinakuwa updated kila kukicha ili kutukinga na madhila yanayowapata wengine sehemu mbalimbali duniani yasitupate na sisi.Hata hapa forum-nikimsikia mtu anatoa experience yake ya ajali during driving huwa naichukulia serious mno,very serious kwelikwel na kuchukua hatua binafsi ili na mimi changamoto hyo niiepuke.Ni bahati kubwa sana kuinteract na anaye survive ajali na sisi kupata elimu kutoka kwake manake anatuokoa na mengi.
* Kikubwa tuepuke udereva wa mazoea.Ex-Magari ya Magazeti huwa tunayasifia kwa haraka na umakini wa dereva lakini huwa wakipata deadly accident kutokana na mwendo tunashikaga vichwa.Dereva ili uwe salama lazima ukubali kujifunza kila siku.
Kweli kabisa upo sawa. Mungu hututangulia na kutulinda. Ni vile hatujui saa wala dakika yetu
 
Hela ya Zebra inauma lakini haifikii hela ya seat belt.....[emoji28][emoji28][emoji28]..unakuta mtu haeleweki kuwa anavuka au havuki...unapunguza mwendo, ukipita tu jamaa anavuka, unakamatwa..

Seat belt yenyewe unakuta umempa mtu lift.... Dadeki...

Ukishalimwa fine mpewa lift anakwambia "aisee pole sana, asante mimi naishia hapa..."
[emoji28][emoji28][emoji23][emoji38][emoji28]*****!
 
Inashangaza sana!

Labda joto la lami usiku!
Labda faragha!
Inabakia labda tu...

Lakini si binadamu pekee.. hata punda na mbuzi baadhi ya vijiji, halafu punda wao hawakwepi magari!
Ni kweli ht mm 1 day nimetoka dom naenda mbeya ucku saa 3 pale mtera nilimkuta punda kati kati ya barabara na kaganda km sanam ikabidi nipite pemben tu!
 
Back
Top Bottom