Naona Kobe kamfuta mtu vibaya sanaaaDuh hapo $25,922 unapata gari 5 za Mjapani km Harrier Old, au Noah hata 6
Mjerumani anatisha Kobe tu zile za Hitler hakuna anayezikaribia
View attachment 1691488
Kwa mparaganyiko huu wa uchumi hizo gari nitaishia kuziona tuu barabarani ukiwa unatupita na mambio yako huko highways
Tutafute tu pesa, hasa katika nyakati hizi ngumu za kiuchumi, huku tukimtumainia na Mungu azifanikishe juhudi zetu. Dunia nzima sasa hivi uchumi ni hali tete 😀😀😀Kwa mparaganyiko huu wa uchumi hizo gari nitaishia kuziona tuu barabarani ukiwa unatupita na mambio yako huko highways
Lakini si umekiona chombo kilivyotuliaDuh hapo zaidi ya 50m hata ushuru bado!
Kobe kafutika kabisa machoni pa mpinzani wakeKabla ya kuanzisha ugomvi jitahidi kujua nguvu ya mpinzani.
R division ya VW ni sawa na M division ya BMW na AMG division ya Benz.Duh hapo $25,922 unapata gari 5 za Mjapani km Harrier Old, au Noah hata 6
Mjerumani anatisha Kobe tu zile za Hitler hakuna anayezikaribia
View attachment 1691488
Hii itakuwa Volkswagen Beetle ya Burigi Chato 🤣 🤣 ,hii gari kwa kuchemsha asikwambie mtu ila ndo hvyo mambo ya Beetle za you tube 😁😁Duh hapo $25,922 unapata gari 5 za Mjapani km Harrier Old, au Noah hata 6
Mjerumani anatisha Kobe tu zile za Hitler hakuna anayezikaribia
View attachment 1691488
Injini ipo nyuma, na je rejeta yake umeshaiona?Hii itakuwa Volkswagen Beetle ya Burigi Chato 🤣 🤣 ,hii gari kwa kuchemsha asikwambie mtu ila ndo hvyo mambo ya Beetle za you tube 😁😁
Beetle hata kwa IST haitoboi mkuu labda za huko Arusha 🤣 🤣Injini ipo nyuma, na je rejeta yake umeshaiona?
gari ndogo Rim size 15' wakati Mjapani ni 13' na 14'
itaachaje kukimbia? Arusha Beetle na Combi sasa hivi zina soko
View attachment 1691687
sikubishii km ni mshabiki wa Japan tena unakuja na IST?Beetle hata kwa IST haitoboi mkuu labda za huko Arusha 🤣 🤣
Na tuseme ameenTutafute tu pesa, hasa katika nyakati hizi ngumu za kiuchumi, huku tukimtumainia na Mungu azifanikishe juhudi zetu. Dunia nzima sasa hivi uchumi ni hali tete 😀😀😀
Hakika.......Kabla ya kuanzisha ugomvi jitahidi kujua nguvu ya mpinzani.
Duh hapo $25,922 unapata gari 5 za Mjapani km Harrier Old, au Noah hata 6
Mjerumani anatisha Kobe tu zile za Hitler hakuna anayezikaribia
View attachment 1691488
John7371
Of course huwezi fananisha na japanese cars in terms of comfortability (Germany cars are the best in this aspect).Beetle ya 1970 jamaa amei overrate sana 🤣 🤣 🤣 ,mzee alikuwa nacho nyumbani wala siwezi kukisahau manake kuna siku kakitembeza sana kwa speed for some kms kikachemsha na kidogo kiwake moto,Lakin Volks. za sasa hawez fananisha na za 1970's hata kidogo.Binafsi napenda kupata old cars car beetle sababu naziona ni unique mnoo kwa ajili ya special days town.German machine....muziheshimu tu
Of course huwezi fananisha na japanese cars in terms of comfortability (Germany cars are the best in this aspect).Beetle ya 1970 jamaa amei overrate sana [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] ,mzee alikuwa nacho nyumbani wala siwezi kukisahau manake kuna siku kakitembeza sana kwa speed for some kms kikachemsha na kidogo kiwake moto,Lakin Volks. za sasa hawez fananisha na za 1970's hata kidogo.Binafsi napenda kupata old cars car beetle sababu naziona ni unique mnoo kwa ajili ya special days town.
Jamaa gani tena ka-overrateOf course huwezi fananisha na japanese cars in terms of comfortability (Germany cars are the best in this aspect).Beetle ya 1970 jamaa amei overrate sana 🤣 🤣 🤣 ,mzee alikuwa nacho nyumbani wala siwezi kukisahau manake kuna siku kakitembeza sana kwa speed for some kms kikachemsha na kidogo kiwake moto,Lakin Volks. za sasa hawez fananisha na za 1970's hata kidogo.Binafsi napenda kupata old cars car beetle sababu naziona ni unique mnoo kwa ajili ya special days town.