Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Duh salale huyo jamaa akipata mzinga tunaokota kitu kimoja kimoja mainini pekee yake ,utumbo peke yake nk ....hatari sana aisee
haya Madude kweli yanakimbia, kuna mdau humu alisema anatoka Mwanza hadi Dar masaa 12, naweza kidogo nikaamini maana nimeona speed mpaka 299 Km/h bado mtu anapitwa kama kasimama.
kwa vile barabara zetu si nzuri sana ina maana kilomita 1200 ni masaa ma4 basi Bukoba Dar masaa 12 yawezekana
View attachment 1692181
View attachment 1692182
 
Leo majira ya saa 11 jioni nimekutana na chuma moja kali sana lakini nimeshindwa kuifahamu kiundani. Imeandikwa CYANNE TURBO kwa nyuma then namba DV, body yake ni SUV kama VW tourage.

Hebu wataalamu mnaoifahamu hii chuma nipeni ABC's zake
Dah kwa nnavoelewa mimi hio ni moja ya suv ambayo ikikuacha imekuacha
Sporty sana
Wakisema mtu anakula kona akiwa 120 bila shida na imagine dude kama hilo
Wenyewe porsche walichukua 5 yrs to develop the stability of the car
5 years!!
 
Sema naangalia kweli uwezekano wa first gen boxster facelifted naona bei haitishi saana
Ila nahofia kama itanisumbua spare
Na practicality
Sema kama vyuma vikilegea niko interested sanaa niwe nalo
Nalitoa weekend moja moja god bless😍😍😍😎
Hivi bongo 911 zipo??
Maana ukiwa nayo ile sijui nini bongo kinakutisha
Labda ma aristo
 
Sema naangalia kweli uwezekano wa first gen boxster facelifted naona bei haitishi saana
Ila nahofia kama itanisumbua spare
Na practicality
Sema kama vyuma vikilegea niko interested sanaa niwe nalo
Nalitoa weekend moja moja god bless[emoji7][emoji7][emoji7][emoji41]
Hivi bongo 911 zipo??
Maana ukiwa nayo ile sijui nini bongo kinakutisha
Labda ma aristo

Shida ya hio boxster ni kitu inaitwa IMS Bearings kama hio gari unayonunua wamesharekebisha hilo tatizo then poa,maana inaletaga tatizo la engine kufeli mazima huko mbelemi.
 
Sema naangalia kweli uwezekano wa first gen boxster facelifted naona bei haitishi saana
Ila nahofia kama itanisumbua spare
Na practicality
Sema kama vyuma vikilegea niko interested sanaa niwe nalo
Nalitoa weekend moja moja god bless[emoji7][emoji7][emoji7][emoji41]
Hivi bongo 911 zipo??
Maana ukiwa nayo ile sijui nini bongo kinakutisha
Labda ma aristo
Hakuna cha Aristo pale.

Labda bugatti kwenda mbele.
 
Aristo/mark 2/Supra zote hizo zina engine ya 2jz-gte

Ingia youtube uone supra 911 turbos S zinavyoachwa na hizo 2jz-gte kama zimesimama vile.
Hizo zinefanyiwa mods. Ila ile stock vs stock ya 911 turbo sidhani kama hio 2jzgte itatoboa. Ukifanya mods hata Vitz inaweza kuwa quick than Mark X ila stock vs stock pound for pound ni mbingu na ardhi.
 
Aristo/mark 2/Supra zote hizo zina engine ya 2jz-gte

Ingia youtube uone supra 911 turbos S zinavyoachwa na hizo 2jz-gte kama zimesimama vile.
Hebu niambie hapa hio 2jzgte inatoboa vipi?
Screenshot_20210204-085335.png
Screenshot_20210204-085303.png
 
Back
Top Bottom