ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Fuga 3.5L [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wewe ushazoea kuburuza na chuma gani mbali ya bike yako matata ile.
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mwamba kakaza hakuna kuchimba dawa anawahi destination.Daaah huu ukauzu sio wa nchi safari kama mnaenda kukomboa mateka bana, laza mshale but at same time road trip gotta be adventurous aisee. Some snacks kidogo, drinks kimtindo kwa asiyeendesha hata gambe freshi tu safarini humo. Bobu dere maji muhimu, short call break ni healthy for both of u dere na abiria wako
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hiyo barabara mbaya sana.Tunatakiwa tuwe na uzi wa Tanzania's best tarmac roads na worst tarmac roads.
The worst naona ni Shinyanga - Mwanza via Misungwi. Yani ina matuta yasiyo na rasta za taarifa wala mabango. Uko umeiva tuta hii hapa! PAMBANA! Potholes usiseme afu mihandaki mikubwa na haikwepeki imejaa through all lanes.
Nilikuwa napelekeana moto USIKU na mwamba mmoja ana Kluger juzi... yeye anayafukia tu at 110+ kmph, niko nyuma yake namtumia kama pacemaker na guide wa matuta yalipo kwa kuangalia udundaji wa suspension yake
Tuta moja mwamba kalivaa nikaona suspension yake haijacheza sana acha na mimi niliingie... *****!!! Gari ilipiga vibaya mno. From that moment nikakubali mkubwa mpishe nikamwacha aende salama nikanyoosha mikono ku surrender. Nakagua gari leo naona stabilizer link imekatika [emoji23][emoji23] Nimepata adabu na mimi
Ndio yale mambo ya "you can go fast but I can go anywhere"
For that case lazima tofauti iwe ni kubwa aisee, experience ya 3.5 Ltr mpaka 1.3Ltr ni kubwa sana aisee. Kila ukikituma chombo hakiitiki kipo pale pale chajikongojaFuga 3.5L [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijazoea unyonge yani daah
Ningekuwa mimi ninge avoid mikusanyiko isio na lazima at this time.
Kuna mshkaji wangu chapombe alikata kamba kwa ulevi wa safari.Daaah huu ukauzu sio wa nchi safari kama mnaenda kukomboa mateka bana, laza mshale but at same time road trip gotta be adventurous aisee. Some snacks kidogo, drinks kimtindo kwa asiyeendesha hata gambe freshi tu safarini humo. Bobu dere maji muhimu, short call break ni healthy for both of u dere na abiria wako
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Adventure napenda tukiwa convoy ya magari mengi tunaofahamiana.Daaah huu ukauzu sio wa nchi safari kama mnaenda kukomboa mateka bana, laza mshale but at same time road trip gotta be adventurous aisee. Some snacks kidogo, drinks kimtindo kwa asiyeendesha hata gambe freshi tu safarini humo. Bobu dere maji muhimu, short call break ni healthy for both of u dere na abiria wako
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Mwambie Fuga yenye dashboard ya kijapan.Fuga 3.5L [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijazoea unyonge yani daah
Hata mafuta siongezi njiani.Mwamba kakaza hakuna kuchimba dawa anawahi destination.
Ila he is right. Stops zinachelewesha sana. Mi huwa naplan stops kabisa hakuna kusimama hovyo.
Nikiwaza nna km700+ to cover every minute counts
Segera-Chalinze.Tunatakiwa tuwe na uzi wa Tanzania's best tarmac roads na worst tarmac roads.
The worst naona ni Shinyanga - Mwanza via Misungwi. Yani ina matuta yasiyo na rasta za taarifa wala mabango. Uko umeiva tuta hii hapa! PAMBANA! Potholes usiseme afu mihandaki mikubwa na haikwepeki imejaa through all lanes.
Nilikuwa napelekeana moto USIKU na mwamba mmoja ana Kluger juzi... yeye anayafukia tu at 110+ kmph, niko nyuma yake namtumia kama pacemaker na guide wa matuta yalipo kwa kuangalia udundaji wa suspension yake
Tuta moja mwamba kalivaa nikaona suspension yake haijacheza sana acha na mimi niliingie... *****!!! Gari ilipiga vibaya mno. From that moment nikakubali mkubwa mpishe nikamwacha aende salama nikanyoosha mikono ku surrender. Nakagua gari leo naona stabilizer link imekatika [emoji23][emoji23] Nimepata adabu na mimi
Ndio yale mambo ya "you can go fast but I can go anywhere"
Dodoma - Mtera, mchana ndio yafaa napo ni kwa kulenga mashimo, some parts ni kuyaweka kati, kwingineko ni kuhama lane kabisa.Segera-Chalinze.
Chalinze-Mbezi.
Hizo barabara unaweza pasua rim.
Barabara za Arusha mjini zote ni takataka. Hasa ile ya kuanzia mnara wa saa kunyoosha mpaka kiwanja cha ndege kisongo.
Wese kutosha ni jambo moja, kuna mwingine anapenda gauge ikisoma half tank tu ajazie tena. Gauge iwe inapepea kama bendera full timeHata mafuta siongezi njiani.
Labda niwe natembea zaidi ya km 800.
Chini ya hapo full tank nikijaza pale total mcity siku naondoka. Inatosha mpaka ninapofika.
Mengine najaza destination.
Kusimama hovyo kunaudhi sana.
Naweza endesha 700km non stop. Nahakikisha nimebeba carton ya maji ya kilimanjaro na buble gum za PK zile za mint kama pakti 20 hivi.
Hakina habari na wewe yani unaibinya unakaza mpaka tako ila kimyaaaaFor that case lazima tofauti iwe ni kubwa aisee, experience ya 3.5 Ltr mpaka 1.3Ltr ni kubwa sana aisee. Kila ukikituma chombo hakiitiki kipo pale pale chajikongoja
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Unaiogopa tu mzee ila ukiwa na google translate unaielewa yote.Mwambie Fuga yenye dashboard ya kijapan.
Duh hukojoi? Una bladder ya cc2500 auHata mafuta siongezi njiani.
Labda niwe natembea zaidi ya km 800.
Chini ya hapo full tank nikijaza pale total mcity siku naondoka. Inatosha mpaka ninapofika.
Mengine najaza destination.
Kusimama hovyo kunaudhi sana.
Naweza endesha 700km non stop. Nahakikisha nimebeba carton ya maji ya kilimanjaro na buble gum za PK zile za mint kama pakti 20 hivi.
Nimepita na bike hiyi njia twice mwaka 2019. Ilikuwa safi sana. What happened inalalamikiwa hivyo?Dodoma - Mtera, mchana ndio yafaa napo ni kwa kulenga mashimo, some parts ni kuyaweka kati, kwingineko ni kuhama lane kabisa.
Nafikiri ni maintenance mbovu tu, haitupiwi jicho kama roads nyingine zenye high trafficNimepita na bike hiyi njia twice mwaka 2019. Ilikuwa safi sana. What happened inalalamikiwa hivyo?
Ndio me pia simwelewi, sasa katoni ya maji alosema ananunua aanzapo safari sijui anaiweka wapi ama kwenye wiper tank [emoji1787][emoji1787]Duh hukojoi? Una bladder ya cc2500 au
Safi sana mkuu.Unaiogopa tu mzee ila ukiwa na google translate unaielewa yote.
Kuna mtu aliwahi kuniuliza kama nimesoma japan baada ya kuniona na navigate menus zake. Kumbe nimemeza [emoji23]