Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Mpo vizuri.

Nikila njiani ni biskuti, soda, au maji.

Hivi vinyama unaweza lishwa mbwa au nyama ya juzi.

Na tumbo langu lilivyo sensitive, naweza kulazwa baada ya dk 5.
Ha ha ha sio rahisi kihivyo
 
Hahah mke mkubwa akaona nafasi yake imeingia kidudu ndinga.... akaleta makarate chuma iondolewe atawale mwenyewe
Marafiki zangu wengi wanagombana na wake zao kisa magari. Magari yanakula hela acheni tu. Sasa mwanamke mwenye akili hakubali hii kitu. Na akina sisi tunapenda magari hatukubali kuiacha ilale unatoa tu hela.
 
Kujustify to her service ya 1M+ kwa gari tena ambayo ni nzima inatembea ni changamoto [emoji23][emoji23] huku we unajua chuma inataka hyo hela ili uifaidi
Ukitaka amani hizi unapiga kimya kimya. Yeye anaona linatembea tu ila kila likizingua wewe unalalamika lazima aanze kukwambia uliuze ununua kitu simple tu
 
Kuna muda unalazimika kupangua mmoja mmoja huku unaendelea kupunguza umbali maana hapo pa kuwapangua 5 na zaidi kwa pamoja itabidi usubiri umbali mrefu sana at times

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hii ndio Overtake inayotakiwa kwa gari zaidi ya 3 mpaka 7 au zaidi za aina tofauti km malori na ndogo.
Unaweza vta mafuta ili kuunganisha ukashtuka mwenzako wa 3 mbele huko naye anachomoka na uwezo hanainabidi ukajifiche kushoto, usubiri tena, ni vizuri kujificha nyuma uki time mmoja mmoja na sio kwenye kona
 
Muda ambao njia nyeupe sio mida yenu ambako magari yamejazana barabarani! Chalinze moro hizo dakika hazifiki nikikalia mashine bila wasiwasi wa gauge kuisha.
kwa Chalinze - Moro nakubali km una mashine nzuri dk 75 hazifiki
kuna vibonde na miinuko hasa kule pori toka Mdaula mpaka Mikese pale hata 140-180km/h unakanyaga.
Hapa tusaidiane mafundi, dereva anaposema kakanyaka mafuta hadi speed 180km/h ikasikia injini inazima au kuburst ukweli unatokea wapi?
Mimi niliunguza alternator nikajua ni speed niliyotumia kwani nilikimbia zaidi ya saa nzima nikiwa 120 -140km/h
nilipoenda dukani nikamwambie aniuzia Alternatoe ingine kwani speed niliyotumia sio mchezo, yeye akanicheka akaniambia mzunguko wa injini upo palepale na belt zake ni hii ni kutokona na RPM kinachokimbiza gari ni gearbox na hasa Top gear
unaweza kukuta upo speed 200km/h na RPM ipo 7 na ndio mzunguko wa alternator
ina uunaweza kuwa speed ya 40 km/h RPM 10 (nina maana ya juu kabisa)
Ukikanyagia engine haiongezi revs
nipo tutani nasubiri majibu yenu
 
Laiti barabaraba zote nchi hii zingekua na hali kama ya mkeka wa Tunduru - Songea, ama Dom - Kondoa - Babati - Arsh, Ama Igawa - Mafinga, safari zingekua starehe kwa wote dereva na abiria. Ila udereva wetu ni mahangaiko kweli kweli na iliqa ni usiku ndio mbaya zaidi, pot holes zisizotarajiwa, sharp humps daah

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Kwa Dodoma Kondoa Babati hii barabara ni salama sana hasa kwa usiku ni masaa ma5 tu Dodoma Moshi
ilakwa mchana tochi zimeongezeka yaani ukitoka Dom tu Kambi ya JKT wameweka tochi iliyokuwa Mzakwe halafu kwenye geti la kutokea Mtungutu njia panda ya Itiso, ipo nyingine Kidoka baada ya hapo hakuna mpaka Babati ukikanyaga vizuri masaa 6 Arusha ila km Moshi inabidi uchepuke usiingie Mjini bado kuna li saa moja na nusu
 
kwa Chalinze - Moro nakubali km una mashine nzuri dk 75 hazifiki
kuna vibonde na miinuko hasa kule pori toka Mdaula mpaka Mikese pale hata 140-180km/h unakanyaga.
Hapa tusaidiane mafundi, dereva anaposema kakanyaka mafuta hadi speed 180km/h ikasikia injini inazima au kuburst ukweli unatokea wapi?
Mimi niliunguza alternator nikajua ni speed niliyotumia kwani nilikimbia zaidi ya saa nzima nikiwa 120 -140km/h
nilipoenda dukani nikamwambie aniuzia Alternatoe ingine kwani speed niliyotumia sio mchezo, yeye akanicheka akaniambia mzunguko wa injini upo palepale na belt zake ni hii ni kutokona na RPM kinachokimbiza gari ni gearbox na hasa Top gear
unaweza kukuta upo speed 200km/h na RPM ipo 7 na ndio mzunguko wa alternator
ina uunaweza kuwa speed ya 40 km/h RPM 10 (nina maana ya juu kabisa)

nipo tutani nasubiri majibu yenu
Engine mzunguko wake umepimwa kuendana na gear ratios! So hakuna jinsi utaharibu engine kwa sababu ya speed unless speed sensor ziwe mbovu maana ECU itashindwa kumatch mzunguko wa engine na gear na pia gari lazma itakuonesha taa ya check engine ukizidi speed ya gear namba 3 japo speedometer nayo itakuwa haisomi/haitembei.
Huwa gearbox inalimit mzunguko kwenye gear ya tatu ukizidi tu inawasha taa ya check engine hadi uzime gari na kuwasha tena ndio inaji reset.
 
Vijana bangi na pombe nyingi sana
Juzi alfajiri kijana akitokea Club anakowahi hata sipajui kigizagiza kayumba na kaja kunivaa upande wa site yangu na kunigoganga side ya kushoto, anatoka ndani ya gari ananiomba msamaha eti aliona anatoka nje ya barabara angepinduka akaona bora arudi barabarani ndio mm nikawa breki yake.
Kupeleleza ni Marioo na gari ni ya mwanamke, yeye alichomoka kwenda kulewa, Tukajadiliana na Traffic ikaamuliwa akalitengeneze na mm nizuie hilo lake (la mwanamke wake) mpaka langu lipone.
Ni kweli barabarani ni Mungu tu anasaidia, unaweza fuata Sheria zote bado mlevi akakufuata akijua mnapishana kumbe anakuua
 
Juzi alfajiri kijana akitokea Club anakowahi hata sipajui kigizagiza kayumba na kaja kunivaa upande wa site yangu na kunigoganga side ya kushoto, anatoka ndani ya gari ananiomba msamaha eti aliona anatoka nje ya barabara angepinduka akaona bora arudi barabarani ndio mm nikawa breki yake.
Kupeleleza ni Marioo na gari ni ya mwanamke, yeye alichomoka kwenda kulewa, Tukajadiliana na Traffic ikaamuliwa akalitengeneze na mm nizuie hilo lake (la mwanamke wake) mpaka langu lipone.
Ni kweli barabarani ni Mungu tu anasaidia, unaweza fuata Sheria zote bado mlevi akakufuata akijua mnapishana kumbe anakuua
Pole sana. Yaani unaweza kufuata sheria zote akatokea mtu kama huyo akakuvaa. Mbaya zaidi ukifa utaangushiwa lawama zote wewe.
 
kwa Chalinze - Moro nakubali km una mashine nzuri dk 75 hazifiki
kuna vibonde na miinuko hasa kule pori toka Mdaula mpaka Mikese pale hata 140-180km/h unakanyaga.
Hapa tusaidiane mafundi, dereva anaposema kakanyaka mafuta hadi speed 180km/h ikasikia injini inazima au kuburst ukweli unatokea wapi?
Mimi niliunguza alternator nikajua ni speed niliyotumia kwani nilikimbia zaidi ya saa nzima nikiwa 120 -140km/h
nilipoenda dukani nikamwambie aniuzia Alternatoe ingine kwani speed niliyotumia sio mchezo, yeye akanicheka akaniambia mzunguko wa injini upo palepale na belt zake ni hii ni kutokona na RPM kinachokimbiza gari ni gearbox na hasa Top gear
unaweza kukuta upo speed 200km/h na RPM ipo 7 na ndio mzunguko wa alternator
ina uunaweza kuwa speed ya 40 km/h RPM 10 (nina maana ya juu kabisa)

nipo tutani nasubiri majibu yenu
Ikifika limit engine inakata. Yaani unakanyaga hamna response. Kama hujui unaweza kudhani engine ime-cease. Haizimiki, ikifika limit mguu uko kwenye bati lakini husikii kitu. Tafuta gari yenye limit 180kph endesha mpaka mwisho then endelea kukanyaga utaelewa tunamaanisha nini.
 
Hii ndio Overtake inayotakiwa kwa gari zaidi ya 3 mpaka 7 au zaidi za aina tofauti km malori na ndogo.
Unaweza vta mafuta ili kuunganisha ukashtuka mwenzako wa 3 mbele huko naye anachomoka na uwezo hanainabidi ukajifiche kushoto, usubiri tena, ni vizuri kujificha nyuma uki time mmoja mmoja na sio kwenye kona
View attachment 1698881
Sasa huyu nae anaovateki vipi lori kwenye Kona?
 
Kwa Dodoma Kondoa Babati hii barabara ni salama sana hasa kwa usiku ni masaa ma5 tu Dodoma Moshi
ilakwa mchana tochi zimeongezeka yaani ukitoka Dom tu Kambi ya JKT wameweka tochi iliyokuwa Mzakwe halafu kwenye geti la kutokea Mtungutu njia panda ya Itiso, ipo nyingine Kidoka baada ya hapo hakuna mpaka Babati ukikanyaga vizuri masaa 6 Arusha ila km Moshi inabidi uchepuke usiingie Mjini bado kuna li saa moja na nusu
Sahihi pale chini ukimaliza tu Makutupora unawakuta af na hivi barabara yenyewe haina magari mengi inabidi uwe mpole huku unang'ata meno tu. Otherwise changamoto ya hii njia kwa usiku ni iwapo utapata breakdown yenye kuhitaji support waweza lala njiani as traffic ni ndogo saaanaaa aisee

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom