Journey mercies [emoji1488]Weekend imepita kimya wazee?
Usiku ukisogea ntaanza kuitafuta Arusha niamkie huko muda wa kazi. Lets see what the road has to offer today
Gracias. Uneventful journey. Japo nilikuwa man alone kwenye gari.
nipo sema mkuu, tulipishana nini weekend hii? nilikuwa masafaWazee wa BIKES wapo humu?
Na kilometer 1700 hivi za kuchabanga katikati ya weekend ya pasaka na karume day.All the best....hope ushafika. Im counting down Ester weekend!
Asubuhi nilimpa lift askari from Mwanga to Moshi so nimetembea kibabe, full kutanua na kupita na 50. Nikipigwa mkono anapewa salute natembea. Nimependa haya maisha dah
Road is beautiful as always.
Safi sana.Aiseeh ilishanipata hata mie safari moja wakati naichakata lami, nikapigwa mkono na askari pale Chalinze, nikajisemea huyu anataka nini tena...!! Maana ilikuwa bado alfajiri, mambo ya kuondoka Dar saa kumi kasoro alfajiri...
Nikavuta pumzi ya kujiamini nikasimama nikashusha kioo, akakagua vibali viko sawa akacheki system yao sina fine iliyo pending...
Akaniuliza, mrembo alfajiri yote hii unaenda wapi na unatoka wapi....!!!
Umekumbia majukumu au unaenda kufumania ...!!
Nikajikuta nacheka kisha nikamjibu uelekeo wangu.
Akasema naomba lifti....
Daah ikumbukwe hapo nimefika chalinze bado hakuja pambazuka kuna kagiza giza halafu niko peke yangu kwenye gari, tinted kama zote.
Nikajiuliza, je nikikataa itakuwaje...!! Nikimkubalia je nikifika kwenye pori akinigeuka, japo alikuwa na uniform what if ni tapeli, uniform mtu anaweza zipata... daaah...!
Nikamuuliza unaishia wapi, akasema utaniacha (.......) akataja anaposhuka.
Nikasema, falailahi....
Nina nia nzuri Mungu atanilinda.
Nikaanza kufata sheria kwenye 50 natulia, pasipo ruhusu kuovertake natulia.
Akaniambia, ukipata upenyo we nyooka atayekusimamisha washa full light halafu fungua vioo wakiniona poa hakuna kusimama.
Weeeweeeeee, nilikaza taqroo hadi namshusha, yuko daah. Uko vizuri....
The End[emoji12].
Bike ina starehe yake unique sana ukiwa unasafiri mchana. Ulishawahi kujaribu Iron Butt Association challenge? Kutembea na pikipiki 1000km ndani ya masaa 24 consecutive?nipo sema mkuu, tulipishana nini weekend hii? nilikuwa masafa
Mimi jana nilipiga 1300km in 26 hours. Niligeuza the same day jioni kutoka Arusha nikarudi Dar.Na kilometer 1700 hivi za kuchabanga katikati ya weekend ya pasaka na karume day.
Na mikoa 6 ya kukatisha
Ulikua na usafir gani Mkuu?Mimi jana nilipiga 1300km in 26 hours. Niligeuza the same day jiou kutoka Arusha nikarudi Dar.
Fatigue ingeniua.
Hizi hizi gari zetu za mjapani mkuu ndio tunalamba nazo lami. Nimepanda sana noah za gazeti zinaenda na kurudi Arusha daily huwezi amini.Ulikua na usafir gani Mkuu?
Dah upo vizuri mkuu, hakika usingizi lazima utakua ulikukomesha.Mimi jana nilipiga 1300km in 26 hours. Niligeuza the same day jioni kutoka Arusha nikarudi Dar.
Fatigue ingeniua.
Niliona reaction time yangu imekuwa mbaya mno, ikabidi niache kumwaga moto nikawa naifuata gari nyingine nyuma namtumia kama guide wa kuniangaliza mbele.
Kufika mombo nikakunjua kiti cha abiria nikajilaza, nkashtuka lisaa limoja na nusu baadae nikiwa fresh. Ikawa ni kulala na kona za korogwe tu - sedans zina raha yake kwenye curves.
Fatigue is real. Usingizi hauna baunsa.
Hii burudani kabisa hakuna fatigue hapo. All the best mkuu.Dah upo vizuri mkuu, hakika usingizi lazima utakua ulikukomesha.
Hapo utakua ulikua unasikia nyuki muda wote.
Mimi sitaki stress na siku kama 4 za safari.
Day1: 450 KM
Day2: 380 KM
Day3: 600 KM
Day4: 450 KM
Shukrani Mkuu, Mara moja moja utalii wa ndani sio mbayaHii burudani kabisa hakuna fatigue hapo. All the best mkuu.