ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Naona mkuu, kuishi kwingi kuona mengiNdio maana safari za usiku nimewaachia nyie!
Kasie Matata he he heRomantic Picture [emoji3059][emoji3059]
Hayo matone ya mvua, akili imepeleka taswira sehemu 2....
1. Goose pimples baada ya kuguswa maeneo na bae.....[emoji12]
2. The duts.... yenye vidutu sijui vidoti...
Ile zinakaaga 3 kwenye pakti moja....[emoji28]
The car cleanness imeongeza u romantic...., I bet inanukia strawberry au lemon [emoji91][emoji91]
Kasie Matata he he he
Daah na hali ya hewa hii... watu tunaghafirika!!Akili ya Mahaba inanipeleka puta ....[emoji12][emoji12][emoji12][emoji28]
Yes, namaanisha Passo haiwezi kutanua mbavu kwa crown hata sekunde mbili..Passo hizi hizi? Huyo wa Crown hajaamua tu. Ndio wale unaendesha zako taratibu anapita anaenda kusimulia leo nimeikata Crown kama imesimama!
Patamu sana hapa....Mhandisi alinyoosha mstari
View attachment 1775773
Pengine wa Crown yupo zake 120kph hataki makuu...Aaaah ha ha ha ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], passo na crown jembe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safari za usiku labda iwe ishu very emergency..Ndio maana safari za usiku nimewaachia nyie!
Usiku usiwe na uchovu tu, mimi napenda sana.Safari za usiku labda iwe ishu very emergency..
Vinginevyo...nitapambana na vibao vya 50kph mchana..
Niliwahi kutoka Dar saa Nne usiku kwenda Arusha, binafsi mazingira ya usiku sikuyapenda sana...Kuna sehemu natembea zaidi ya Dakika 45 hakuna gari wala nini...hapo itokee la kutokea..Dar..Usiku usiwe na uchovu tu, mimi napenda sana.
Nikichoka nalala.
Hio ni VQ25 mzee baba, FUGANYIZI huyo 😂😂😂Hizi mashine na 2/3/4GR wamezikatili sana...dakika moja tu umemaliza huna cha kufanya!
Museme na yale mengine sasa 😂😂😂 sio munajificha ficha 😅😅😅😊😊🧚♀️🧚♀️🥂🥂
Usiwaze sana mzee we tembea tu...Niliwahi kutoka Dar saa Nne usiku kwenda Arusha, binafsi mazingira ya usiku sikuyapenda sana...Kuna sehemu natembea zaidi ya Dakika 45 hakuna gari wala nini...hapo itokee la kutokea..Dar..
Ila usiku inatakiwa uwe na taa nzuri sana
VQ35, I believe alimaanisha hizi VQ na GR zote zimekatiliwaHio ni VQ25 mzee baba, FUGANYIZI huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah nikajua ile ya 250GTVQ35, I believe alimaanisha hizi VQ na GR zote kwa pamoja
Hili ni kingi la majini 350XV mzee.. hii huuziHahahah nikajua ile ya 250GT
Hahahahah hilo ni kama 2GR mziki mnene 😹😹😹Hili ni kingi la majini 350XV mzee.. hii huuzi
Hahahahha jamaa alitaka muanze kujaza madumu ya maji kila baada ya kilometre 100Kuna ndugu yangu m'moja alinibembeleza sana tusafiri pamoja kwa passo nikamwambia acha masihara basi.
Huyu atakuwa alikuwa anasinzia! Kuligonga gari kwa nyuma ni kipengele hata ku solve ni ishu! Likely jamaa alisinzia huyuUnadhani huyu alikuwa anaenda speed ngapi?View attachment 1775511