ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Swala I think $200USD [emoji23][emoji23]Nakukumbusha tu faini ya kugonga Twiga ni 35m
Kuna gari ukisha kaa, then uka shift kwenye hizi gari zetu, unahisi kama umeingia dunia ingine 😬😬😬.. RR ukiwa nayo hauwi mtu wa meneno maana uwezo wake sio wa kulinganisha na hizi zingine 😀😀😀.. na hata route nilifanya iwe ndefu, nilianza kariua - tabora - Dodoma - Morogoro - Iringa - then nikarudi Mahenge - Alafu Dar es Salaam 😎😎Ulikuwa mbaya kivipi? Hujatupa mrejesho wa RR Sporty
Usiku ni nzuri kwa bara bara unayo ijua, inanoga sanaaHivi mnawezaje kuendesha mchana? Naona kama askari wana njaa wanavizia vitu vidogo vidogo sana...
Imagine nimeovertale lori sehemu ambayo hamna limit na mstari unaruhusu, pako flat na straight nikakamatwa kwamba sikutakiwa kuovertake kwasababu kuna kibao cha Rest stop (ile R ya blue).
Nakuelewa.Kuna gari ukisha kaa, then uka shift kwenye hizi gari zetu, unahisi kama umeingia dunia ingine 😬😬😬.. RR ukiwa nayo hauwi mtu wa meneno maana uwezo wake sio wa kulinganisha na hizi zingine 😀😀😀.. na hata route nilifanya iwe ndefu, nilianza kariua - tabora - Dodoma - Morogoro - Iringa - then nikarudi Mahenge - Alafu Dar es Salaam 😎😎
Anakujaribu huyo. Mchenjie atakuwa mpole.Hivi mnawezaje kuendesha mchana? Naona kama askari wana njaa wanavizia vitu vidogo vidogo sana...
Imagine nimeovertale lori sehemu ambayo hamna limit na mstari unaruhusu, pako flat na straight nikakamatwa kwamba sikutakiwa kuovertake kwasababu kuna kibao cha Rest stop (ile R ya blue).
Jana tulikiwasha pale mikumi, kama hizo fine hazipo 😎😎😎😎Nakukumbusha tu faini ya kugonga Twiga ni 35m
Lini hii mkuu.. mie jana nimepita hapo kama hakuna speed limit 😀😀😀
Upate kitoweo [emoji23][emoji23]Kwa swala sio mbaya kama wataruhusu uondoke nae!
Kuna mmoja nilimuwakia akanote leseni na namba ya gari aiandikie na mimi nikanote PC namba yake; hakuandika ile fine.Anakujaribu huyo. Mchenjie atakuwa mpole.
Km50 za mbuga zinaisha ndani ya dakika chache tu, usiku raha sanaJana tulikiwasha pale mikumi, kama hizo fine hazipo [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Ukirudi kwenye gari zetu unaona kama umekalia kigoda [emoji23]Kuna gari ukisha kaa, then uka shift kwenye hizi gari zetu, unahisi kama umeingia dunia ingine [emoji51][emoji51][emoji51].. RR ukiwa nayo hauwi mtu wa meneno maana uwezo wake sio wa kulinganisha na hizi zingine [emoji3][emoji3][emoji3].. na hata route nilifanya iwe ndefu, nilianza kariua - tabora - Dodoma - Morogoro - Iringa - then nikarudi Mahenge - Alafu Dar es Salaam [emoji41][emoji41]
Sometimes wanakubambikia ili 'uongee' nao wanajua hupendi kupoteza muda. Inasikitisha!Kuna mmoja nilimuwakia akanote leseni na namba ya gari aiandikie na mimi nikanote PC namba yake; hakuandika ile fine.
Siku nyingine nikapita nikamsalimia nikampa ya chai tukaheshimiana