Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Petrol mkuuPetrol or Diesel?
Utamwagika sana .......itakuwa usiku km kawaida yako au ?Petrol mkuu
Siyo michezo mizuri kabisa. Almanusura uso kwa uso na lori maeneo ya Kongowe.Ile michezo ya mtu katoa na wewe unatoa bila kujihakikishia ndio inakuwaga na majibu haya.
Kauziwa "kicheche"
Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.
Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.
Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
hakuomba namba ya simu?
Ha ha ha hivi ushaona madereva wetu? Mmoja akitoka wote wanafuata kama nyumbu? Huwa najiuliza hawa wana akili kweli?
Anaetaka lift kutoka Tabora kwenda Iringa 😬😬..
Aina ya gari Range Sport ya kuazima 😀😀😀
Kesho naenda Arusha via Bagamoyo from DarAnaetaka lift kutoka Tabora kwenda Iringa [emoji51][emoji51]..
Aina ya gari Range Sport ya kuazima [emoji3][emoji3][emoji3]
Haiwezi mkuu.Nenda utakutana nao huko barabarani angalia isikufanye ilichomfamya sharomilionea.
Nataka nihamie kwenye x3 PetroNenda utakutana nao huko barabarani angalia isikufanye ilichomfamya sharomilionea.
Mkuu, Mda huu ndio nimepak gari, tokea jana saa nne usiku 😀😀😀... sijalala 24hrsUtamwagika sana .......itakuwa usiku km kawaida yako au ?
Sasa hivi nina toyota na nina subaru, kufikia november navuta E350 😀😀Humo kuna mwendo...utasahau Toyota zako!
Ingekuwa Nissan Patrol ningekujamo....[emoji28].
Pole sana kwa safari ila una uwezo mkubwa sana wa kuvumilia kuangalia barabara kwa muda mrefu......umebarikiwaMkuu, Mda huu ndio nimepak gari, tokea jana saa nne usiku 😀😀😀... sijalala 24hrs