Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Asante Mungu ni mwema sikupata shida, nikabadilishiwa ball joint, weka spare tyre na baada ya masaa kadhaa safari ikaendelea...

Kuna wakati pia maeneo ya Iringa, nilikuwa nafanya ligi na jamaa mmoja hivi usiku yule mtu anatembea kama anawahisha gazeti...

Nipo kwenye kimteremko fulani kikali, gari imewaka na mshale wa speed hauna mahali zaidi pa kwenda...nikasikia kishindo puuuuu, tairi ya nyuma imeivaa na ishaita inarusha rusha mapande tu...

Kilichobaki hapo ni kubalance gari itulie na ikasimame yenyewe bondeni...

Sent using Jamii Forums mobile app

Aaiseeeh, polee.

Mungu aniepushie mbali yasinikute.

Ila kuwa mwanamke raha, nakumbuka ilikuwa mida ya saa 11 jioni nakaribia mataa ya tegeta wazo way tairi ika pancha, nakumbuka alitokea kaka hata simfahamu akaniombea chance nikatoka upande wa kulia na kupaki karibu nanile sheli. Akaniambia spea tairi iko vizuri nikamwambia ndio, lete spana jeki...

Keshaleta mawe kaweka kwenye tairi huyo ndani ya dakika 5 tayari. Nikawa naogopa ntamlipa shilingi ngapi maana hatukuoatana bei, alipomaliza nikamwambia unandai shilingi ngapi akakataa akavuka barabara huyoo akaondoka.

Sikuamini kuwa amenisaidia hivi hivi tuu, nikaendelea njia nzima natabasamu hadi nyumbani.

Sijui kama wanaume wanasaidiaga wanaume wenzao bila kiwachaji.
 
[emoji4]

Roger that!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo picha aliipiga Bataringaya na miwani yake yenye darubini .....😜😜😜

RRONDO (Baba Taibali) mamboo, nije kuchukua mabungo yangu..?

Mdomo umenijaa mate, aahahahahaa akili yangu ina Matata sana, imeniambia kesho utapata denda bashasha 😆😆😆🤪😅😅😅
 
Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.
 
Aaiseeeh, polee.

Mungu aniepushie mbali yasinikute.

Ila kuwa mwanamke raha, nakumbuka ilikuwa mida ya saa 11 jioni nakaribia mataa ya tegeta wazo way tairi ika pancha, nakumbuka alitokea kaka hata simfahamu akaniombea chance nikatoka upande wa kulia na kupaki karibu nanile sheli. Akaniambia spea tairi iko vizuri nikamwambia ndio, lete spana jeki...

Keshaleta mawe kaweka kwenye tairi huyo ndani ya dakika 5 tayari. Nikawa naogopa ntamlipa shilingi ngapi maana hatukuoatana bei, alipomaliza nikamwambia unandai shilingi ngapi akakataa akavuka barabara huyoo akaondoka.

Sikuamini kuwa amenisaidia hivi hivi tuu, nikaendelea njia nzima natabasamu hadi nyumbani.

Sijui kama wanaume wanasaidiaga wanaume wenzao bila kiwachaji.
hakuomba namba ya simu?
 
Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
Ile michezo ya mtu katoa na wewe unatoa bila kujihakikishia ndio inakuwaga na majibu haya.
 
Kauziwa "kicheche"

Tuzingatie kanuni ya sekunde tatu tunapoongozana barabarani, keep your distance, elfu moja na moja elfu moja na mbili.

Kwa madereva waliopitia shule ya udereva watakuwa wamenielewa.

Aidha, kwa madereva ambao hawajabahatika kupitia darasani, hakikisha tu gari iliyo mbele yako umbali baina ya gari hiyo na gari yako ni wa kutosha kiasi kwamba hata akisimama ghafla basi na wewe uweze kusimama bila kusababisha hatari ama ajali.View attachment 1780143
Ha ha ha hivi ushaona madereva wetu? Mmoja akitoka wote wanafuata kama nyumbu? Huwa najiuliza hawa wana akili kweli?
 
Back
Top Bottom