Nataka nifanyie juhudi za makusudi nipandishe Dodoma,Singida,Babati,Arusha. Hii inafaa December Insha Allah
Hii nilitaka nipige December iliopita nikapata uvivu nikanyoosha Dar-Bagamoyo-Segera-Mombo-Moshi-ArushaOoh kilomita za kutosha hapo...
Dar Dom
Dom Singida
Singida Babati
Babati Arusha
Arusha Dar....
December is calling ☺️ Wuuuhuuuuu....
Hapa atakua amepishana na kipande cha Dom - Kondoa - Babati. Supa tarmac road [emoji91][emoji91]Ooh kilomita za kutosha hapo...
Dar Dom
Dom Singida
Singida Babati
Babati Arusha
Arusha Dar....
December is calling [emoji3526] Wuuuhuuuuu....
Ha ha only one of your own kind...[emoji2]Aaahahahahahhaaa
Umesahau ulikuwa unaniletea hiyo na mihogo halafu tunaenda kujificha nyuma ya duka la baba Taibali kisha tunakulaa tukishiba tunashushia na sanvita [emoji28][emoji28][emoji28].
Tena wewe miguu ya kuku ndo imekukolea hadi umeanzisha uzi kabisa wa road trip [emoji12][emoji12].
Ila sio siri hapa nabishana na nafsi niingie jikoni kisha nimalizie usiku kwenye sofa au niingie chumbani nitupie kisha nijidelive lokesheni [emoji848][emoji848][emoji848]
Ana ana ana doo
Kachanika bastoo
Ispiringi .......
Kaajaaam*** ushu * unanukaa
Tena saanaaa
Sanaa kabisaaa
Na aeendee
Choonii
Kuchukuaaa
Kopo lakeee
La kunawiaaaaa....
Nshapata uelekeo [emoji12][emoji12]
Akichungulia tu side mirror anatoa ruksa😀😀😀😀 wanawasha indicator ya kushoto haraka sana....
Hii inabidi uache ya Singida sio?Hapa atakua amepishana na kipande cha Dom - Kondoa - Babati. Supa tarmac road [emoji91][emoji91]
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Yeah, ya Singida utaichukua next tym ukipata msele wa Kanda ya Ziwa ama Dom - Singida - Manyoni- Igunga - Nzega - Shinyanga ama Dom - Singida - Manyoni - Itigi - TaboraHii inabidi uache ya Singida sio?
Next itakuwa Mwanza as final destination.Yeah, ya Singida utaichukua next tym ukipata msele wa Kanda ya Ziwa ama Dom - Singida - Manyoni- Igunga - Nzega - Shinyanga ama Dom - Singida - Manyoni - Itigi - Tabora
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Piga mashuti mafupi mawili, Dar - Dom ama Singida af kituo next day unamalizia Dom/Singida - MzaNext itakuwa Mwanza as final destination.
Jamaa hatari sana.mi nilipewa visa ya muda mchache sana nakaingia kkoo na kutoka chap kabla haijaexpire nikasababisha tafrani nyumbaniYaani leo ushakata mikoa miwili wakati mimi hata getini kwangu sijatoka!
Mungu ni mwema.......hongera mkuuShukrani mkuu ishaisha
Yeah hii lazima niigawe mara mbili.Piga mashuti mafupi mawili, Dar - Dom ama Singida af kituo next day unamalizia Dom/Singida - Mza
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Hii nilitaka nipige December iliopita nikapata uvivu nikanyoosha Dar-Bagamoyo-Segera-Mombo-Moshi-Arusha
Inaonekana una taa nzuri sana..
Hapa atakua amepishana na kipande cha Dom - Kondoa - Babati. Supa tarmac road [emoji91][emoji91]
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Na siku ya gundu huwa gundu tupu...swala anajileta mwenyewe..[emoji28]Swala I think $200USD [emoji23][emoji23]
Yale mabango ya fine ukiyasoma lazma uachie mguu kidogo
Ha ha only one of your own kind...[emoji2]
It's less travelled, not advisable kuipita usiku hofu ikiwa on breakdown incidents lakini mapori sijui na nini sijaona maeneo ya kutisha hiivyooo. Road condition is mwaah with clear road signs minus dharura nyinginezo ziwezekanazo kutokea na ukakosa msaadaWeeeh sijawahi pita hiyo, nimetamaniii kama vile kesho nikiwashee...[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Huwa nawaza na kujiuliza, ukiacha ajali barabarani hivi ndo nimekanyaga pedeli sawa sawa nimetoka Dom alfajiri naisaka Babati kupitia Kondoa. Nahisi njiani kina mapori kadhaa..... sijui kama hiyo njia inapita magari mengi....
Itakuwaje nikipata breakdown, ambazo huwa zinatokea hata kama gari iko sawa kila kitu service tairi bin vipuri.
Ila unashangaa chombo kimezima moto haupiti halafu ni saa kumi jioni...
Keeuwiiiii ntapiga uyoweeeee.... hapo ndo napataga woga wa safari ndefu.
Hizo zote nilizopiga nilikuwa nazunguka na mikonga ya DFP.
Nakumbuka safari moja tumetoka Ifakara tunawahi Msamvu kuna mtu anaenda Dom kutoka Dar tuchukue mzigo....
Hifadhi ya Mikumi suka alikuwa anaachia gia tochi zote alikuwa anaziwashia full anapita. Tulikuja kusimamishwa karibu njia panda ya kwenda Mzumbe. Suka akawaonesha kitambulisho tukauwahi mzigo Msamvu.
I love road trips [emoji3059].
Kwa ujumla kuendesha gari dogo mazingira ya Tz ni shida...vile basi uchumi ndiyo unaruhusu tukae humo..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] unaona kabisa kuna kitu hakipo sawa.. tuzisake.tu.hela
It's less travelled, not advisable kuipita usiku hofu ikiwa on breakdown incidents lakini mapori sijui na nini sijaona maeneo ya kutisha hiivyooo. Road condition is mwaah with clear road signs minus dharura nyinginezo ziwezekanazo kutokea na ukakosa msaada
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app