Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
[emoji23][emoji23]...Yes..anajihifadhi humo kwa muda, wakati anazichanga😀 😀 😀😀 duh eti kajichimbia....mkuu huendi mbinguni!
Yeah inaumiza roho sana. Japo watu huko nje wanaona unatembea hakuna mfanowe ila moyoni unajua kabisa akitokea mjerumani au muingereza unawasha kushoto unakaa kwa kutulia.Hivi vipande vinafaa Mjerumani unaisukuma hadi 200+ ila GR na akina Fuga watakupa hasira maanake mshale utalala ndani ya dakika unaanza kusikia limiter in action!
Sijawahi kufungua kioo mwendo huo. Ila kutembea 180kph na Mjapan inataka moyo wa chuma.Yeah inaumiza roho sana. Japo watu huko nje wanaona unatembea hakuna mfanowe ila moyoni unajua kabisa akitokea mjerumani au muingereza unawasha kushoto unakaa kwa kutulia.
Ulishawahi kufungua kioo ukiwa 180+ ukasikilizia upepo wake?
Nishawahi kupakia abiria wakawa wanapiga stori nikawaambia hivi mnajua tuko 180?Sijawahi kufungua kioo mwendo huo. Ila kutembea 180kph na Mjapan inataka moyo wa chuma.
Nissan wanajitahidi, nishawahi kupush Y62 V8 hadi 200kph ilikuwa imetulia kabisa. Crown 180kph unahisi anytime kinawaka (kama umezoea gari nyingine zilizotulia)Nishawahi kupakia abiria wakawa wanapiga stori nikawaambia hivi mnajua tuko 180?
Hawakuamini.
180 ili feel vipi kwenye crown?
Mimi 150 kwenye RAV4 killitime ilinitisha nikarudi. 165 kwenye Harrier tako la nyani iliniogofya kidogo japo niliweza kumaintain.
Ila 180 kwenye hii gari kwakweli usiposoma dash au kuifeel limiter hutakaa ujue
Kwakweli sina experience ya ku compare, you must know better.Nissan wanajitahidi, nishawahi kupush Y62 V8 hadi 200kph ilikuwa imetulia kabisa. Crown 180kph unahisi anytime kinawaka (kama umezoea gari nyingine zilizotulia)
Germany at 180kph huhisi chochote sana sana unazidi kuona gari inakumbatia barabara.Kwakweli sina experience ya ku compare, you must know better.
Ila kama Fuga feels this good at 180, kiasi unaweza ukarelax ukaweka mkono mmoja kwenye steering, sipati picha how germans would feel.
Kama linakuambia "give me more"Germany at 180kph huhisi chochote sana sana unazidi kuona gari inakumbatia barabara.
Hahahah nakupata mkuuNa hapo ndio tofauti ya Germans na Japanese...handling na braking
Kwa uzoefu wako kwenye mwendo wa 165 Kati ya harriee new model na Kluger ipi imetulia barabarani?Nishawahi kupakia abiria wakawa wanapiga stori nikawaambia hivi mnajua tuko 180?
Hawakuamini.
180 ili feel vipi kwenye crown?
Mimi 150 kwenye RAV4 killitime ilinitisha nikarudi. 165 kwenye Harrier tako la nyani iliniogofya kidogo japo niliweza kumaintain.
Ila 180 kwenye hii gari kwakweli usiposoma dash au kuifeel limiter hutakaa ujue
Sijaendesha Kluger mkuu siwezi jua.Kwa uzoefu wako kwenye mwendo wa 165 Kati ya harriee new model na Kluger ipi imetulia barabarani?
Kwa mwendo huo sio rahisi umalize yote.
Watu wa mambo ya miradi ni rahisi kumaliza nchi nzima au madereva wa serikali.
Kuna dereva mmoja alikuwa POPC enzi za JK kabla haijavunjwa. Yule jamaa amefika kila kata nchi nzima. Anajua barabara zote nchi nzima na vichochoro vyake.
Anajua guest/lodge za kila aina kila mkoa, kila wilaya na ikiwezekana kila kata (kama ipo).
Nilifanya nae kazi kama mwezi hivi, kila siku anakupa story mpya za mambo ya barabarani. Nilijifunza mengi sana kwa yule mzee.
99% ya muda wake wa kazi alikuwa barabarani.
Sahivi ameshastaafu. Ila jamaa ni legend.
NB:
Halafu madereva wa aina hii wanafahamiana na watu wengi sana. Tukiwa tunaenda mkoa fulani, yeye anapiga simu moja kwa moja kwa mkurugenzi hata kama hatujafika, hakukuwa na haja ya bureaucracy za kiserikali. Mnaweza fanya kazi bila kupata vibali wilayani au mkoani. Mkurugenzi mnakutana nae jioni bar mnatia story. Siku ya kuondoka ndo mnapita kuacha barua ya ukumbusho.
Hakuna mkoa au wilaya tuliofika asiwe na mtu wa kupush issue yeyote ile.
Nyie DFP huwa mnanikera kujiona mnamiliki njia! Full uvunjaji sheria, huwa wakiniletea ujinga nakaza wanakuwa wapole.
Hii ndio yenyewe sasa. Changamoto ni kipande cha Misungwi kuingia Mwanza.
Pita mchana mkuu tena mdogomdogo haswa. Ni barabara mbovu hujapata kuona. Humu ndio nilifyatua stabilizer link moja kwenye mashimo yake.
Kutokea Shinyanga unaweza kuzungukia Maswa/Bariadi kuna mkeka mtamu sana mpaka Lamadi then ukakunja kushoto kuitafuta Magu then Mwanza.
Hii njia kwakweli nilishasifia sana humu. Ina utamu wa aina yake.Yeah, nilishaipita hiyo nikitokea Mwanza kwenda Bariadi. Dreva Duka akasema akasema tupite Lamadi ni fupi, kweli tukaingia Bariadi mapemaa.
Raha ya Mkonga, anachange gia tuu akiminya kidogo huyooo ananyanyua motooo[emoji39][emoji39][emoji39]
Na kipande hicho ndo kinaongoza kwa tochi nyingi Tanzania nzima.......hivyo kwenda mdogomdogo kutamsaidia kuepuka mengiHii ndio yenyewe sasa. Changamoto ni kipande cha Misungwi kuingia Mwanza.
Pita mchana mkuu tena mdogomdogo haswa. Ni barabara mbovu hujapata kuona. Humu ndio nilifyatua stabilizer link moja kwenye mashimo yake.
Daah.... Hiyo fuga si ya kitoto kwenye kila kitu,kuanzia wese mpaka mbioNi kweli mkuu, ila kuna baadhi ya watu wanafanya kazi mazingira magumu, unakuta uchumi hauruhusu hata kukaa kwenye Rav 4, Xtrail and the likes....kwa sababu ya gharama za maintenance na mafuta...basi unakuta mtu kajichimbia ndani ya vitz old model ya kumvua mtu au passo piston 3 ya kumvua mtu..
Binafsi pia napemda sedan zenye mwendo na choices zangu ni Fuga na Crown, Brevis kwa mbali..