ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Wese inkula mkuu to be honestDaah.... Hiyo fuga si ya kitoto kwenye kila kitu,kuanzia wese mpaka mbio
Ila limeter ndo inaondoa raha ya hiyo gari......labda upate version ya euroWese inkula mkuu to be honest
Ila naenjoy [emoji51][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii njia kwakweli nilishasifia sana humu. Ina utamu wa aina yake.
Tuache!Hivi kwa nini lile eneo halirekebishwi...!??
Miaka nenda rudi au pana mkondo wa maji pale...??
Wangeweka zege tuu.
Halafu kuna eneo pembezoni kwa barabara wasukuma hupenda kukaa tuu wanapunga upepo wa moshi wa magari mida ya jioni.
Wanagongwa na magari ila hawakomi.
Wasukuma, mlihooo...!!😅😜.
Kuna gari ukigusa kuanzia 160 unaanza kupata hofu 😀😀😀.. ila zingine kama hakuna kinacho endelea unaona kabisa kama upo kweye 40..Nishawahi kupakia abiria wakawa wanapiga stori nikawaambia hivi mnajua tuko 180?
Hawakuamini.
180 ili feel vipi kwenye crown?
Mimi 150 kwenye RAV4 killitime ilinitisha nikarudi. 165 kwenye Harrier tako la nyani iliniogofya kidogo japo niliweza kumaintain.
Ila 180 kwenye hii gari kwakweli usiposoma dash au kuifeel limiter hutakaa ujue
Y62 ila mchine kubwa, Crown sio ya kuiamini sana hata body lakeNissan wanajitahidi, nishawahi kupush Y62 V8 hadi 200kph ilikuwa imetulia kabisa. Crown 180kph unahisi anytime kinawaka (kama umezoea gari nyingine zilizotulia)
Kluger naona kwa macho ya nje kama ni bora zaidi ya hariaKwa uzoefu wako kwenye mwendo wa 165 Kati ya harriee new model na Kluger ipi imetulia barabarani?
ile barabara ile kimeo sana 😀😀😀.. alhamisi nasogea huko nikitokea dodomaHii ndio yenyewe sasa. Changamoto ni kipande cha Misungwi kuingia Mwanza.
Pita mchana mkuu tena mdogomdogo haswa. Ni barabara mbovu hujapata kuona. Humu ndio nilifyatua stabilizer link moja kwenye mashimo yake.
Karibu utatukuta huko uogelee sato wa kutosha 😀😀😀Next itakuwa Mwanza as final destination.
Kama una gari kubwa SUV kama RR unapeleka moto tu unanyooka kama hakuna unoko, juzi nimepita siku hivi nilipita nilikuta swala kapigwa baraaa kama una ka sedan 😀😀😀😀Na siku ya gundu huwa gundu tupu...swala anajileta mwenyewe..[emoji28]
Nyingi ni VQ35Daah.... Hiyo fuga si ya kitoto kwenye kila kitu,kuanzia wese mpaka mbio
Hivi wabongo na ujuvi wao wote wa uchakachuaji, wamshindwa kuchakachua hizo limiter, kitu igonge angalau 220kph .?[emoji23][emoji119][emoji119]Ila limeter ndo inaondoa raha ya hiyo gari......labda upate version ya euro
Reliability ya toyota za sasa imebaki kwenye injini na gear box...kwa upande wa body .anaunda mabati flani hivi na mchanganyiko wa plastic....hovyo kabisaa..Y62 ila mchine kubwa, Crown sio ya kuiamini sana hata body lake
Wapo wanatoa. Ila wanabei kichaa nilisikia 2m. Kuna jamaa ana Crown 2GR katoa limiter ni balaa.Hivi wabongo na ujuvi wao wote wa uchakachuaji, wamshindwa kuchakachua hizo limiter, kitu igonge angalau 220kph .?[emoji23][emoji119][emoji119]
Tuache!
Sedan utaishia kupasua radiator wenyewe wanakukuta mbele umepakiKama una gari kubwa SUV kama RR unapeleka moto tu unanyooka kama hakuna unoko, juzi nimepita siku hivi nilipita nilikuta swala kapigwa baraaa kama una ka sedan 😀😀😀😀
I feel so fresh....few days relaxation can do wonders!Aahahahahahhahaaa
Naanzaje sasa kuwaacha 😜😜😜, wakati hamuendi kwenu hadi mpite Tabora kwetu by Road Trip 😅😅😅
Bataringaya leo ni siku ya kurejesha afya.
Supu ya Sato na mbaazi mbichi zilizochemshwa....
Weeuweeeee protini tupuuu 😋😋😋