Juakali jr
JF-Expert Member
- Aug 8, 2019
- 737
- 1,740
Mkuu hata mara moja moja safari za kuhesabiwa December?Thanks
I'm humbled[emoji120][emoji120]
Naona niwaunge mkono kwa likes tu,Mimi sipendi trip.
Sent using Jamii Forums mobile app
Heshima yako mkuu..[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Riziki zetu zipo kwenye hizo km mkuu... [emoji16]
Nami navaa miwani yenye lens hiyo. Ila nimeanza kuwa napata shida kuona vizuri kuanzia giza linapoingia tu. Yaani taa za gari nyingine zinakuwa zinaniletea wenge kwenye macho.Lens kubwa sana hii. Matatizo yako ya macho yanatisha.
Mi navaa -0.5 transition lens ila bado usiku wananikomesha.
Sitokei hiyo mikoa Boss.Mkuu hata mara moja moja safari za kuhesabiwa December?
Carrots zinaimarisha uoni ..Kuna jamaa aliwa kuniambia kuwa kula carrot kwa wingi kuna saidia sana kuponya matatizo ya macho.
Holy Man na ISO M.CodD wanakesha barabaraniLong trippers.
Heshima kwenu wazee wa kusaga lami.
-Kaveli-
Tafuta miwani isiyo na material ya kuvunjika.Bora maumivu kuliko kuvaa na kutengeneza miwani muda wote,
Hasa ukiwa na mkono kama wangu wa kuvunja miwani hovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi mnaopenda kusafiri usiku mnakwepa tochiPersonally, night ride ni more preferable, for the purpose of saving time and evading traffic barriers' inconvenience.
Lakini kutekwa ndiyo threat kubwa.
Mchana tochi, Usiku magogo. Opt any at your discretion.
-Kaveli-
Duh usiku unaweza kulaumu watu wanayumba kumbe kuna matatizo mengi yanawakabiliNami navaa miwani yenye lens hiyo. Ila nimeanza kuwa napata shida kuona vizuri kuanzia giza linapoingia tu. Yaani taa za gari nyingine zinakuwa zinaniletea wenge kwenye macho.
Wanyamapori?!!Mimi nilitokea Namanga Border nina Nissan Safari naitafuta Arusha mjini nikafika arusha majira ya saa moja moja usiku hivi nikaanza safari ya kuitafuta dodoma kupitia kondoa ile barabara ni noma. Kanza hao wanyama barabarani na mkeka umetulia balaa utafikiri Zurich.Nilifika dodoma mida ya saa nne na nusu hivi nikalal pale asubuhi nikaamsha singida. mkeka wa singida dodoma nao ni noma
Ndiyo maana usiku wa manane hapana! Alfajiri nitajikongojaDuh usiku unaweza kulaumu watu wanayumba kumbe kuna matatizo mengi yanawakabili