shukrani sana mkuuKadi og na insurance ya comesa I think. Kwa sasa covid 19 negative test certificate
Angeenda kampala UG kwa kupitia Arusha, Namanga, Nairobi, Kisumu, Busia, Jinja, Kampala.
Ila kwa wenzetu basi ni 24/7, hakuna kulala.
Nilipanda basi Jinja saa 10 jioni, saa 1 asubuhi tuko Namanga
mwanza huwa napapenda sanaa.. hakuna mambo mengi kama darNilivyokuwa Mwanza nilikuwa nakaa sana hapo na pale nyuma villa park I guess kuna samaki na band
Matuta yapo Mikumi, kipande fulani cha Ruaha na kati ya Iringa na Kitonga...yanayosumbua ni ya Mikumi uzuri yapo machacheHapa matuta, rasta na mashimo lazima yavaliwe na dereva atakua sio mara ya kwanza kupita barabara hiyo
330km ref. TanroadsIra-Mby Ni 380km
Najua mkuu...Pale mikumi hatari sana kukatiza kwa speed zaidi ya 120
Wanyama ni wanyama tu
Unaweza kuona peupeee mara pAAAp, tembo anavuka, ama nyumbu, ama Nyati (sipati picha)
Nilishawahi kupita huku 2016 au 2017 hivi.Panaitwa "Chalinze" kama sikosei, katikati ya msitu huko Mpanda - Uvinza rd. Kuku choma, Nyama choma bei nafuu sana hapo! Wakimbizi walowezi kibao maeneo hayo.
Nikaliona moja ya basi ya kampuni kongwe Rukwa - Katavi - Tabora - KigomaView attachment 1800195
Nilishawahi kutoka morogoro saa 12 jioni nikafika dar saa 7 usiku. Kuna lari lilizima hapo gogoni.Nimeshawahi kutoka tabora saa moja asubuhi, saa kumi nikawa kibaha, na hapo nilikaa kama saa nzima Dodoma kwa ajili ya kula.. lakini mpaka kupita ubungo ilikua saa tatu usiku yani ile foleni siwez kuja kuisahau.. ilikua december 2019 na mnyama crown athlete
Huyo unaempa lift mnafahamiana? Jinsia yake?Nje ya mada kidogo..
Hivi unakutana na mtu unampa lift, unamshusha sehemu anayotaka kushukia, kisha anakuomba hela....Tena mwingine anasisitiza.." Hujawahi kunipa hela".
Wazee wa road trip, hii kitaalamu imeekaje .?[emoji848][emoji848]
Hahah...
Kasinde sasa hivi nipo kama wewe tu mama, naburuta makalio chini (gari za chini)...
Hivi kuna siku nishaacha kumiss Kasinde kweli...yo always missed 'mlamba sukari Kasinde' [emoji3059]
Panaitwa "Chalinze" kama sikosei, katikati ya msitu huko Mpanda - Uvinza rd. Kuku choma, Nyama choma bei nafuu sana hapo! Wakimbizi walowezi kibao maeneo hayo.
Nikaliona moja ya basi ya kampuni kongwe Rukwa - Katavi - Tabora - KigomaView attachment 1800195
Utakuwa na muonekano wa pesa chafuBasi imenikuta kama X 3... [emoji26][emoji26]
Hiyo labelling ya 'balaa jingine hili' inathibitisha upekee wa hii makitu [emoji4][emoji4]. Difference kuu ya Dom - Mza na Dar - Mby ni high traffic, njia ya kwenda Mby huko magari mengi sana. All in all daah kuachieve hii kitu ni mguu na kibati mwanzo mwisho aisee[emoji4]
Mkorintho unaona balaa jingine hili, hivyo usishangae sana hiyo ya 7~8 hrs Mby-Dar...
Dom - Mwz ni kama 690 au 700km hivi, upungufu wa kama 115km tu ukilinganisha na safari ya Dar - Mby...
Hapo mtu katembea masaa 7, ina maana saa la 8 ingekuwa safari inaendelea angeweza malizia hizo 115km pengine kwa dk 40 hivi
Kwa barabara zetu kupata average speed over 100kph inabidi ukimbie sana.Hiyo labelling ya 'balaa jingine hili' inathibitisha upekee wa hii makitu [emoji4][emoji4]. Difference kuu ya Dom - Mza na Dar - Mby ni high traffic, njia ya kwenda Mby huko magari mengi sana. All in all daah kuachieve hii kitu ni mguu na kibati mwanzo mwisho aisee
Ni very rare mwanaume kumuomba mwanaume mwenzake hela na tena hawafahamiani.Jinsia haina mjadala.,.
Hiyo ya moro iringa 2.5 hours uongo. Una mikumi kati hapo.Eeeh masaa 7 hadi 8 Dar - Mbeya [emoji848]
Figuring out;
Dar - Moro 2 Hrs
Moro - Iringa - 2.5 Hrs
Iringa Mbeya 3 Hrs?
Hebu nivunjie namna unavyotoboa within that short time Mzee Baba
Dar iringa 501kmDar - Iringa 4.5hrs, distance 490km approx
Iringa - Mbeya 3 to 3.5hrs, distance 334km approx
Muda ni usiku, gari engine ni V6/V8 (gari nyingine hizi zenye engine za kawaida ni 9 to 9.5hrs)
Dar to Mbeya, vituo vya mafuta ni viwili (Mikumi na Makambako)
Min speed 120kph na mwendo huu ni hadi kule Iyovi, Max speed kisahani chote sehemu zinazoruhusu kama Ruaha Mbuyuni, Makambako hadi Iringa, Moro hadi Chalinze, sehemu kama Mikumi unajitoa ufahamu ile 50kph yao ya usiku unafanya kama huijui...
Sehemu speed kidogo inapungua Kitonga wakati wa kupanda approx 70 to 80kph...
Chimala hadi maeneo ya Nsonyanga Mbeya sababu ya barabara ina madimbwi na mashimo...
Mlandizi hadi pale mbele kidogo ya daraja la juu la treni, barabara ina mawimbi hatari...
Hii ilikuwa achieved wakati hapo Picha ya ndege hawajabomoa barabara, Kingolwira/Kingolwira Magereza hawajaanza chimba barabara, Iyovi hawajaanza kupanua barabara...
Nissan patrol ya kwaza. Kuendesha ilikuwa ya mzee fulani wa dodoma , trip ya dar to dom , gari ilikuwa auto halafu sijui kwa nini halikuwa na nguvu kabisa na ndio lilikuwa linetoka japan. toka siku hiyo nikayachukia kabisa hayo madude ,Mkuu Siri moja ya Nissan Patrol ukiwa off road ni comfortability. Ukiendesha L/Cruiser Hardtop, Defender au Pajero huwa hazina utulivu kama wa Nissan.
Hongera zimfikie mmiliki kwa kutunza, Nissan ni gari ya mjapani ambayo haitaki janja janja kama Toyota.