Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 30,567
- 86,748
Aisee! Hats off to you sir!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! Hats off to you sir!
Yeah tyre ile ni Bridgestone Nextry sema kwa namna ambavyo ilikuwa imeshiba sikufikiri zingekuwa na tatizo! Tia Pirelli kama ukikosa Micheline PremacyTire niliangalia brand na zilivyo kwenye hali ya upya siku zichunguza sana, hata Extrovert alizikubali sana, maana nilikua nae wakati naenda ichukua, nahisi zime expire na hatukuangalia
Asee jana sikupata mda hata wa kuchungulia humu pole sana chief😀😀😀 mkuu tunatafuta ugali uende kinywani . Wanasema liziki ya mtu ipo miguuni pake
Michelin sina wasiwasi nazo! Isipokuwa ile tyre ya bridgestone huenda ilikuwa expired tu ama zilishakakamaa sana! But ni tyre imara sanaSure na ndio naenda zivua zote niweke Michelin zitanifaa
Mzee baba naona Testing imenoga na chuma yetu kinanda 😅😅😅 angalia utakata mshale mzee unasumbua sana huko highway sahizi amna mtu anakugusaTabora moja hiyo 😀😀😀View attachment 1813237
Hahahah unatufaa wewe 😅😅😅Mzee unapiga roadtrip si mchezo! You are my role model!
Mimi nimewahi kupiga roadtrip za siku kadhaa mfululizo mara mbili tu na zote ni za kikazi tu! Ya kwanza ilikuwa Dar-Tanga-Kilimanjaro-Arusha. Ilikuwa ni safari ya usiku na mchana hakuna kupumzika na haikuwa safari ya moja kwa moja bali tulipitia kwenye wilaya kadhaa safari ilianzia Dar jioni via Bagamoyo, tukaingia Msata then tukaingia Tanga.
Tanga tulipitia wilaya za Korogwe, Handeni, Muheza, Pangani na Tanga mjini. Kilimanjaro tuliingia Mwanga ndani ndani, Moshi ndani ndani, Hai ndani ndani, na Siha ndani ndani then tukaenda Arusha mjini ambapo ndiyo ilikuwa mwisho wa safari yetu na pale ndiyo tukatafuta hotel tukapumzika.
Maana safari nzima tulikuwa tunalala kwenye gari then tunaamsha, na kulala kwenyewe ni nusu saa hadi lisaa limoja imeisha hiyo, maana tulikuwa watatu including dereva na dereva akawa anatuambia tusilale tumpigishe story ili asije akasinzia akachochora. Yaani tulikuwa tunashuka sehemu kula tu au kuchimba dawa na kuoga kwenye hivi vyoo na mabafu ya kulipia basi so tulivyofika Chuga ndiyo tukapumzika.
Tukajipa siku nzima off ambayo ndiyo tulipanga tulale hiyo siku nzima halafu kesho yake ndiyo tuamshe kurudi Dar. Wenzangu walikuwa wamechoka wakalala kama pono ila cha ajabu mimi kulivyokucha ndiyo kwanza nikawaacha, nikaingia town pale nikazurura kidogo then Baadaye nikaenda Rombo nako nikazurura kidogo hadi jioni then ndiyo nikarudi Arusha, kesho yake sasa ndiyo tukaamsha kurudi Dar.
Ya pili ni hizi za juzi hapa ila hizi angalau zilikuwa siku chache na hazikuwa za usiku na mchana maana tulifikia Mbeya mjini. Jumamosi ilikuwa Dodoma-Mbeya, Jumapili ilikuwa Mbeya-Chunya (kwenda na kurudi), Jumatatu ilikuwa Mbeya-Kyela (kwenda na kurudi) na jana Jumanne ndiyo tukaamsha Mbeya-Dar.
Mimi ninavyopenda safari yaani hata nisafiri vipi huwa niko fresh tu tena kadiri ninavyozidi kusafiri ndivyo ninavyotamani nisafiri zaidi na zaidi nifike sehemu ambazo sijawahi kufika. Yaani nimejigundia napenda sana safari na safari inapoanza huwa sitamani tufike tunakoenda sema tu ndiyo hivyo kazi haziruhusu.
Nawaonea sana wivu watu wanaofanya kazi zinazowalazimu kusafirisafiri kila mara na mimi starehe yangu siyo kuendesha bali kuwa mbele pale pembeni ya dereva mimi ndiyo huwa naenjoy zaidi. Mfano zile safari ambazo mnatakiwa mpeleke mizigo kwenye mikoa mbalimbali halafu mko na cruiser ama coaster wawili au watatu tu dereva na utingo halafu safari iwe day and night yaani huwa nafurahia acha kabisa.
Naamini huu kwangu ni mwanzo tu natamani ifike kipindi nipate safari za mfululizo kama wewe hadi nizikimbie mwenyewe. Halafu mimi sichaguagi usafiri mimi gari, meli, ndege au treni vyote twende tu tena huwa naenjoy slow transports kuliko fast ones mfano meli na treni, unless iwe ni safari ya dharura na haraka ila tofauti na hapo sipendagi haraka kwenye safari zangu, yaani mimi nikiambiwa meli au treni tunayopanda itachukua kuanzia siku mbili na kuendelea kufika tunapoenda ndiyo huwa nafurahia kweli yaani, mradi tu kuwe na basic needs pamoja na some luxuries humo ndani.
Nikajua umehamia kwenye IST ungezingua sana! Ila kwa MAJESTA ni Nuff Respect! Umeme huo naukubali sana comfortability na mwendo at the same timeHii gari niliipa sana sheeda ya kutosha. Nilinunua 2013 ishapiga sana arusha mwanza singinda huko nzega sijui wapi. enzi hizo ninayo mm na mwarabu mmoja hivi yupo Upanga. After few years nikaona vijana wananunnua nnua kama njungu. sasa mm nikaiuza. Sasa hivi nimehama huko nipo kwenye V8 ya Chini, Majesta gear 8. chombo ninatizo kina hama kama akina akili nzuriView attachment 1811789
View attachment 1811792
Hicho kidude ni 1.8T Quattro mzee ni umeme wa kwendaaa!Unasema?!! Hio ni 2.0fsi au 1.8T ?
Chief ni mwendo wa kumenya mkoa kwa mkoa tu! Aisee trip moja ya Mwanza lazma tupande wote kuleNimeona hiyo kitu.. ina raha sana hii kitu 😀😀
Rim za Dick Sound ni hewa tu hapo kingebaki kipande cha RIM kwa mwendo huoRim ya kichina ingesagika!
Mwanza pananoga 😀😀Chief ni mwendo wa kumenya mkoa kwa mkoa tu! Aisee trip moja ya Mwanza lazma tupande wote kule
Hahah wajane ni wengi! Vipi ushadondoka hapo mujini MZA. Recreation centreMwanza pananoga 😀😀
Nipo dodoma mkuu, badae nakuja Dar es Salaam 😀😀😀Hahah wajane ni wengi! Vipi ushadondoka hapo mujini MZA. Recreation centre
Aisee karibu sana ila hakikisha umetia viatu vipya mzee katika chombo. Usitie Goodride tu utafeli hapo ni Pirelli ama Michelin za mwaka huu huu! Kwa speed za kufuta sahani 260kph tutakuwa salama kwa muitaliano ama mfaransa tu!Nipo dodoma mkuu, badae nakuja Dar es Salaam 😀😀😀
Kuna gari zina sensor kabisa.Matairi ndio yananipa speed limit, kuna mwendo nikifika tu nakumbuka matairi yangu hayana guarantee!
Eti!Mkuu hii jana nimefuta sahani, nikashangaa watu wanao sema huwa hazifiki hadi mwisho 😀😀😀
Inatoboa vizuri sana tuDar mpaka Musoma kwa IST itafika kweli?
Mimi natumia common sense tu. Hakuna kitu kizuri kama kujua limits zako. Kila gari ninanyoendesha najitahidi nijue limits zake na si kufuata kisahani au ligi na mtu.Kuna gari zina sensor kabisa.
Tyre pressure ikiwa ndogo inakulimit kwenye speed na kukupigia alarm. Au kama unatumia tyres ambazo hazipo recomended nako zinakupigia alarm kwamba usizidi hiyo speed.