Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Tire niliangalia brand na zilivyo kwenye hali ya upya siku zichunguza sana, hata Extrovert alizikubali sana, maana nilikua nae wakati naenda ichukua, nahisi zime expire na hatukuangalia
Yeah tyre ile ni Bridgestone Nextry sema kwa namna ambavyo ilikuwa imeshiba sikufikiri zingekuwa na tatizo! Tia Pirelli kama ukikosa Micheline Premacy
 
Hahahah unatufaa wewe 😅😅😅
 
Nikajua umehamia kwenye IST ungezingua sana! Ila kwa MAJESTA ni Nuff Respect! Umeme huo naukubali sana comfortability na mwendo at the same time
 
Kuna gari zina sensor kabisa.

Tyre pressure ikiwa ndogo inakulimit kwenye speed na kukupigia alarm. Au kama unatumia tyres ambazo hazipo recomended nako zinakupigia alarm kwamba usizidi hiyo speed.
Mimi natumia common sense tu. Hakuna kitu kizuri kama kujua limits zako. Kila gari ninanyoendesha najitahidi nijue limits zake na si kufuata kisahani au ligi na mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…